Alikuwa hajaolewa, lakini alikuwa na mahusiano na mtu kama Boyfriend na Girlfriend. Mimi huwa situmii wake za watu mkuu....Yaani kwa kifupi ni Kama uende kumuuliza Sheikh Mkuu wa Tanzania ya kwamba "Nikutengenezee Rosti au Kavu" kwa Sauti ya juu. Wanawake ni wengi sana ulimwenguni. Ukiona mwenzako ametuma wazee wa kwao kuchumbia, akatoa mahali, akaitisha vikao vya harusi, akakusanya michango kwa masimango na matusi huku akitumia bodaboda, siku moja kabla ya harusi akagegedewa mke wake mtarajiwa, siku ya harusi akapakwa yomboo (Super black) kichwani kama lami ya Msata. Hakika mwanaume huyo ni shujaa na anastahili kuheshimiwa MKE wake mkuu.