Mlinzi Nipo, hiyo ndiyo shughuli yangu, mwambie mie nitamlindia mkewe asiwe na shida..Habarini wadau,
Nina rafiki yangu anahamia Dodoma sasa mke wake yupo benki hapa Dar es salaam kwahiyo anataka kumuhamishia huko Dodoma.
Tatizo nafasi kwenye hiyo benki hamna na anaogopa kuwa ikiwa atamuacha Dar es Salaam watu wanaweza kuanza kumla.
Sasa afanyeje maana amejaribu kuuliza uhamisho imekua ngumu.
Mrejesho; yule jamaa anatakiwa aende dodoma tarehe 31 january ndo uhamisho wake unaanza....Mpaka sasa bado anajiuliza itakuwaje
Aende tu tujilie Hakuna namna nyingine. Ila mshauri tu, yote yanategemea stability ya mke wake, ata akienda nae Dodoma Kama wa kuliwa ataliwa tu.Habarini wadau,
Nina rafiki yangu anahamia Dodoma sasa mke wake yupo benki hapa Dar es salaam kwahiyo anataka kumuhamishia huko Dodoma.
Tatizo nafasi kwenye hiyo benki hamna na anaogopa kuwa ikiwa atamuacha Dar es Salaam watu wanaweza kuanza kumla.
Sasa afanyeje maana amejaribu kuuliza uhamisho imekua ngumu.
Mrejesho; yule jamaa anatakiwa aende dodoma tarehe 31 january ndo uhamisho wake unaanza....Mpaka sasa bado anajiuliza itakuwaje
Duuuh mkuuu umemjuaje.....ndo yeye aisee yupo tawi la mlimani city...ni bank teller pale mweupe hv na ana mwanyaNa mashaka na huyo mwanamke inaonekana s mtulivu au ndio yule anafanya pale tawi la city mlimani
Usimwambie mshikaji yule teyar Mara moja tu nilimramba pale lamada mpya[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]Duuuh mkuuu umemjuaje.....ndo yeye aisee yupo tawi la mlimani city...ni bank teller pale mweupe hv na ana mwanya
Daahhh aiseerUsimwambie mshikaji yule teyar Mara moja tu nilimramba pale lamada mpya[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Sasa mshahara si utaishia barabaraniKama mtu ni mwaminifu ni mwaminifu tu, wajipange tu jinsi ya kutembeleana mara kwa mara.
KawaidaHatimaye yule ashaanza kuliwa huku na wanaume..
.jamaa hana amani
hii itafaa zaidiAmbaye ana mshahara mdogo amfuate mwenye mshahara mkubwa
daah aiseeeChakula ya wanaume wa Dar hiyo!
Akiwa naye karibu vishawishi vinakimbia?Sawa....lakin unajua benki vishawishi vingi hivyo ndo mana anataka awe naye karibu
atamdhibitiAkiwa naye karibu vishawishi vinakimbia?