Mwanamke yeyote ambaye kishaonja "dushe" akiingia siku zake na zikiisha huwa ana akshi sana, hachagui mtu, sasa mume wake amuache tu huko Dar ila akiona tu katoka mwezini(kamaliza bleed) aombe hata siku nne aende kumkaza.Habarini wadau,
Nina rafiki yangu anahamia Dodoma sasa mke wake yupo benki hapa Dar es salaam kwahiyo anataka kumuhamishia huko Dodoma.
Tatizo nafasi kwenye hiyo benki hamna na anaogopa kuwa ikiwa atamuacha Dar es Salaam watu wanaweza kuanza kumla.
Sasa afanyeje maana amejaribu kuuliza uhamisho imekua ngumu.
Mrejesho; yule jamaa anatakiwa aende dodoma tarehe 31 january ndo uhamisho wake unaanza....Mpaka sasa bado anajiuliza itakuwaje
Sawa ntamwambiaaaMwanamke yeyote ambaye kishaonja "dushe" akiingia siku zake na zikiisha huwa ana akshi sana, hachagui mtu, sasa mume wake amuache tu huko Dar ila kiona tu katoka mwezini aombe hata siku nne aende kukaza.
Kuwa karibu na Mke wake uwe unamfariji 😁😁Habarini wadau,
Nina rafiki yangu anahamia Dodoma sasa mke wake yupo benki hapa Dar es salaam kwahiyo anataka kumuhamishia huko Dodoma.
Tatizo nafasi kwenye hiyo benki hamna na anaogopa kuwa ikiwa atamuacha Dar es Salaam watu wanaweza kuanza kumla.
Sasa afanyeje maana amejaribu kuuliza uhamisho imekua ngumu.
Mrejesho; yule jamaa anatakiwa aende dodoma tarehe 31 january ndo uhamisho wake unaanza....Mpaka sasa bado anajiuliza itakuwaje
Jamaa anajua kuwa mke anasambaza upendo?Mke anazidi kugawa tuu