Ushauri: Rafiki yangu anahamia Dodoma, mke anabaki Dar

Ushauri: Rafiki yangu anahamia Dodoma, mke anabaki Dar

Sawa....lakin unajua benki vishawishi vingi hivyo ndo mana anataka awe naye karibu
Uzur huwez kumtuliza mwanamke bila mwenyewe kuamua kutulia,,,hakuna mwanaume kiboko ya mwanamke,wala huwez kumchunga maana wakiamua hao anaweza kuliwa wakat ww unaangalia mpira sebulen,na ukiona mume ana wasiwas sana ujue ndo tabia zake.. maana maandiko yanasema hatuoni vitu jinsi vilivyo bali sisi tulivyo... mlinz wa mwanaume siku zote ni mke so mwambie kipimo cha uadilifu na uaminifu ni hapo..

Wengine wenza wetu wapo nje mwaka wa nne lakin tunaona maisha saf tu,,dodoma tu anawayawaya???
 
Uzur huwez kumtuliza mwanamke bila mwenyewe kuamua kutulia,,,hakuna mwanaume kiboko ya mwanamke,wala huwez kumchunga maana wakiamua hao anaweza kuliwa wakat ww unaangalia mpira sebulen,na ukiona mume ana wasiwas sana ujue ndo tabia zake.. maana maandiko yanasema hatuoni vitu jinsi vilivyo bali sisi tulivyo... mlinz wa mwanaume siku zote ni mke so mwambie kipimo cha uadilifu na uaminifu ni hapo..

Wengine wenza wetu wapo nje mwaka wa nne lakin tunaona maisha saf tu,,dodoma tu anawayawaya???
Duuhh...miaka 4
 
Mwambie jamaa huyo dem lazma ataliwa tuu piga ua.hakunaga mpenz ya mbal trust mi,nikujilipua tuu,na ndo itakua chanzo cha mgogoro wa hyo ndoa,..askudanganye mtu hapa,..yaan dem huyo atajitahid mwanzon ila baadae watamla tu..tena unasema mkali.mamama
 
mbona umejiunga jamii forum leo? na leo leo umepost hahaha

bila shaka ni wewe unayehama wala sio rafiki yako.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

tehe tehe, tena shemela kashazoea DSM

usikute anakuzunguka shem hataki kuhama anawaambia wakujibu hakuna nafasi,,,

Changamoto ya kuoa mtumishi hahahaha
 

Attachments

  • Screenshot_20180121-174539.png
    Screenshot_20180121-174539.png
    58.9 KB · Views: 98
Habarini wadau...nina rafiki yangu anahamia dodoma sasa mke wake yupo benki hapa dar es salaam khy anataka kumuhamishia huko dodoma tatizo nafasi kwenye hyo benki hamna na anaogopa kuwa ikiwa atamuacha dar watu wanaweza kuanza kumla...sasa afanye mana amejaribu kuulizia uhamisho imekua ngumu

Ushauri wa hapa hautamsaidia!!!! atafute watu wa karibu naye na mke wake hao ndio wamshauri!
 
Habarini wadau...nina rafiki yangu anahamia dodoma sasa mke wake yupo benki hapa dar es salaam khy anataka kumuhamishia huko dodoma tatizo nafasi kwenye hyo benki hamna na anaogopa kuwa ikiwa atamuacha dar watu wanaweza kuanza kumla...sasa afanye mana amejaribu kuulizia uhamisho imekua ngumu
Kwa vile wewe ni rafiki yake msaidie huyo mke. Kuliwa ataliwa tu hata kama wako ofisi moja.
 
Habarini wadau...nina rafiki yangu anahamia dodoma sasa mke wake yupo benki hapa dar es salaam khy anataka kumuhamishia huko dodoma tatizo nafasi kwenye hyo benki hamna na anaogopa kuwa ikiwa atamuacha dar watu wanaweza kuanza kumla...sasa afanye mana amejaribu kuulizia uhamisho imekua ngumu
Mkuu pole sana japo umetumia kivuli cha mtu mwingine lkn nakupa pole,vumilia tu ikibidi acha kazi au yeye aache akufate wewe.
 
Back
Top Bottom