Ushauri: Rafiki yangu anahamia Dodoma, mke anabaki Dar

Ushauri: Rafiki yangu anahamia Dodoma, mke anabaki Dar

Daah sasa huyu mke wake wametoka naye mbali ndo mana anaogopa kusalitiwa
Mkuu mi niko nchi za watu huku naweza kaa hata miezi sita au mitatu bila kuludi na siwekei akilini swala la kuibiwa. naangalilia mipango yangu, huwezi mchunga binadamu mwinzio hata kama mnalala kitanda kimoja
 
Yaaani changamoto sana!

Kuna siku mwanamke anajisikia kutaka mechi Kali!
Halafu haupo!

Dom usiku baridi sana ,halafu kuna warangi na wasandawi warembo balaaaa!

Yaani hapa nami nawaza ,jamaa yangu anahamia huko ,sijui itakuaje anasema mie nibaki kwanza na watoto, sijui hizi genye za utu uzima ntafanyaje jamani!

Mie sio mlevi ,ila nna nyege hatari!
Labda niwe naota!


Kama ni mtoto mkali asimwacheeee!
Kwa hio aache kibarua abaki analelewa kama sijui uchee nani yule wa kwa shilole[emoji3] [emoji3]
 
Hivi inakuwaje mtu mmekutana ukubwani unamwonea wivu kiasi cha kumnusa hata akitoka msalani?? Mambo ingine naona ni ujuha tu. Kwa hiyo akiwa hapo dar huwa anaifungia kwa kufuli asubuhi na kuifungua jioni arudipo kazini?? Mwambie, hakuna majitu mabaya kama mameneja na ma directors wa maofisi makubwa. Humo humo ofisini during Tea time na Lunch time.
Mmhh...ina mana huwa wanapindwa ofisini
 
Mkuu mi niko nchi za watu huku naweza kaa hata miezi sita au mitatu bila kuludi na siwekei akilini swala la kuibiwa. naangalilia mipango yangu, huwezi mchunga binadamu mwinzio hata kama mnalala kitanda kimoja
Sawa lakin watu wanatofautiana inaelekea jama na mke wake labda wanapenda xna kuduu
 
Kama yeye ni mchepukaji basi atakuwa anaogopa kuwa mke atapata nafasi ya kuchepuka lakini kama nimwaminifu atahama polepole
 
Huyo rafiki ndio wewe? Kwani ukikaa na mkeo Nyumba moja ndio haliwi? Unajidanganya
 
Jamaa ana mawazo maana mke wake anabaki dar then yeye dodoma
 
Habarini wadau,

Nina rafiki yangu anahamia Dodoma sasa mke wake yupo benki hapa Dar es salaam kwahiyo anataka kumuhamishia huko Dodoma.

Tatizo nafasi kwenye hiyo benki hamna na anaogopa kuwa ikiwa atamuacha Dar es Salaam watu wanaweza kuanza kumla.

Sasa afanyeje maana amejaribu kuuliza uhamisho imekua ngumu.
amuachishe kazi na kumfungulia biashara dom
 
Kwan akiwa nae huko ndo hawez kuliwa? Mwambie hivi

Mwanamke hatulii mpka aamue kutulia.

Mwanaume hatulii mpk atulizwe... kuliwa au kutokuliwa ni maamuz ya mliwaji mwenyewe
Nimeipenda hiyo mwanamke hatulii mpaka aamuwe yeye mwenyew. Na mwanaume hatulii mpaka atulizwe...
 
Kama mtu ni mwaminifu ni mwaminifu tu, wajipange tu jinsi ya kutembeleana mara kwa mara.
 
Kama make/mume wako ni rafiki yako(yaani kuna zaidi ya ile mume na mke)aisee kukaa mbali mbali ni sawa na kupelekwa Segerea hata kama hamtosalitiana. Kama ni zile ndoa za status kwamba nimeoa/nimeolewa hizo hakuna noma kuishi mbali mbali tena ni mzuri zaidi kuishi mbali mbali maana mukiishi pamoja ni mwendo wa kukerana yaani hata kama huna issue kitaaa utakaa tu kijiweni ili kupoteza muda ukifika nyumbani ni kulala tu.

Mwisho kabisa ni ukweli husiopingika kwamba umbali unaongoza risk ya kusalitiana maana nyege hazina adabu kabisa utazizibiti mwisho utaziachia vinginevyo kipato chote atajichukulia Shabiby.
 
Hakika Utumishi ni UTUMWA.......na ukweli ni kwamba lazima Usaliti ufanyike hata malaika ashuke
 
Yaaani changamoto sana!

Kuna siku mwanamke anajisikia kutaka mechi Kali!
Halafu haupo!

Dom usiku baridi sana ,halafu kuna warangi na wasandawi warembo balaaaa!

Yaani hapa nami nawaza ,jamaa yangu anahamia huko ,sijui itakuaje anasema mie nibaki kwanza na watoto, sijui hizi genye za utu uzima ntafanyaje jamani!

Mie sio mlevi ,ila nna nyege hatari!
Labda niwe naota!


Kama ni mtoto mkali asimwacheeee!
Warangi wana vimiguu vyembamba.
 
akili finyu.,acha utoto na wivu mavi.........mwanamke akitaka kuliwa hata na house boy wako ataliwa tu.....tafuteni hela jipangeni kwa ajili ya watoto wenu na maendeleo yenu...mambo ya kuliwa ni tabia...
 
Back
Top Bottom