Ushauri: Pesa ya Tanzania isiwekwe wanyama

Longo longo zote hizo za nini? umezungumzia trickle down economics, yaani mtu akitajirika basi atasaidia wengine kutoboa, ila sio picha halisi. Atakwepa kodi, Hatolipa wafanyakazi stahiki yao na atawazuia kuunda vyama vya kuomba haki, ataharibu ushindani(biashara za watu wengine), atafanya kila namna kukuza kampuni yake. fedha nyingi zinamilikiwa na wachache.

Mungu hayupo, dunia inajitawala kwa kanuni zake, angalia mambo kwa undani mkuu, usichoke kuchimba taarifa.
Basi huko ndio kutumia ushetani (ubaya) kwenye kazi ya kimungu (njema)
 
Hivi kuna sehemu yenye wizi mkubwa na WA wazi kama kwenye dini?
Dini ni njia au shule ya kumjua Mungu...

Hivyo wezi wengi wanajificha hapa shule...

Ila wachache Huwa wanafaulu shule ya dini na kuwa na Imani na Mungu...

Wenye Imani ya kweli na Mungu sio wezi
 
Mtu ambaye haamini uwepo wa Mungu asiwe kiongozi...

Mamlaka ni ya Mungu...

Kiongozi anayetoka au hofu ya Mungu hawezi kuwa mwizi, Wala hawezi kujipenda mwenyewe...

Atawafikiria wengine, maana anajua ya kuwa aliyemuweka pale ni Mungu na anajua kusudi la kuwa pale...

Hata baraka zitokazo kwa Mungu zitawafikia watu...
Mungu huyo huyo ambae ameruhusu utumwa kwenye bible na Quran
 
Umasikini na laana ya Tza ni matokeo ya maagano kati ya shetani na wazee wa nchi hii wakati wa Uhuru.
Umasikini ni kafara.
 
It is very customary for a colonized mind to delude itself rather engaging in other areas of intellectual pursuits

This kind of cheap scrupulosity will get you nowhere.
Uzi wangu upo kiimani kama huna Imani na Mungu huwezi elewa kitu ninachomaanisha...

Hata hao wanaowaoa kwa kutumia Biblia nimekwambia wanaapa kimwili ila mioyo yao Haina Imani na
 
Basi huko ndio kutumia ushetani (ubaya) kwenye kazi ya kimungu (njema)
Na uone dini inavyocheza na akili yako sasa😂

Kila mfanyabiashara anamuomba Mungu asimamishe biashara yake, kwahiyo wenye biashara zinazofanana na zake wapungukiwe..... Idadi ya wateja ina kikomo, mzunguko wa pesa una kikomo, ila kila mfanyabiashara anataka Mungu amdekeze, ampe yeye tu. Mwisho wake ni masikitiko
 
Hapa Sasa tunaelewana...

Kuna maagano ambayo walifanya na Mizimu
Sio mizimu Bali shetani mwenyewe mapangoni ndie aliwapa mwenge ili kuwaroga watu wasifikirie nje ya box thus ukitoka nje ya Tza akili inachangamka
 
Sasa inakuwaje tukaamua kuweka wanyama kama picha.
Picha ya Sanamu la Mwinyi, Nyerere nazo vipi zichomolewe alafu tuweke Kanisa la Kuhani Musa Kimara Temboni kwenye kila shilling uliambiwa Serekali Ina dini nani? Serekali ni Pagani haina dini yoyote
 
Habari wakuu,

Hausika na kichwa cha habari hapo juu,

Nashauri pesa za Tanzania zisiwekwe wanyama kwakuwa ni Sanamu.

Mungu Muumba wa mbingu na nchi yeye mwenyewe ndio aliyesema fedha, Mali, dhahabu ni Mali yake.

Sasa inakuwaje tukaamua kuweka wanyama kama picha.

Ni kama tunaabudu wanyama kwa kuwapa thamani ya kukaa kwenye pesa.

Hii ni moja kati ya dhambi ambayo ndio imefanya tumelaaniwa na Mungu.

Moja kati ya amri ya Mungu ni msiiabudu miungu mingine ila mimi.

Ni bora pesa ya Tanzania iwe na picha za watu lakini sio wanyama.

Ndio maana nchi inakila kitu imebarikiwa ila vinachumwa na wengine.

Watanzania wanabaki kuwa masikini kwakuwa wamelaaniwa.

Kosa sio la Watanzania linaanzia kwenye mamlaka za juu.

Mamlaka ya uongozi wa nchi unaanzia kwa Mungu muumba nchi na vyote.

Viongozi nao wamejipa mamlaka yao ndio maana wakaweka wanyama.

Uongozi mmepewa na Mungu msisahau hili viongozi wa Tanzania.

Pesa yenyewe haina thamani kwakuwa imejaa miungu ya wanyama.

Nyie hata kumpa Mungu heshima ya kuwa pesa ni yake na kumpa utukufu.

Wamerekani wao wamemtukuza Mungu katika pesa yao ya Dola wamempa Mungu sifa kwa kuweka neno "IN GOD WE TRUST"

Dola ndiyo pesa inayojulikana Duniani kote pamoja na kuwa zipo zingine.

Nashauri litafutwe neno la kumtukuza Mungu liwekwe kwenye pesa yetu.
Walokole sijui akili mmeachia wachungaji wenu! Hujui kwamba kwenye Dola kuna picha ya George Washington? Na sanamu kubwa ya mtu aliyeshika mwenge/ the great Statue of Liberty ambayo ni sanamu kubwa zaidi duniani?!

Je kati ya sanamu ya Nyerere na sanamu ya twiga ipi Mungu anaona sio dhambi kuweka kwenye hela zetu? Tuachie hapo.
 
Back
Top Bottom