sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Tanzania wanyama tunaoishi nao wanateseka sana kwakweli, ni kama vile waliumbwa na shetani wakati tumeumbwa nao na Muumba wetu alietupa mamlaka tumsaidie kuwatunza, Watanzania tunasali sana na kuomba dua ila ya nini hivi vyote kama hatupo tayari kuukubali uumbaji wa viumbe vingine vilivyoumbwa na Baba wa mbinguni / Allah?
Ni mwaka unaisha sasa paka wako hujawahi hata kumpa zawadi ya samaki mzima.
Ni mwaka unaisha sasa mbwa wako hujawahi kwenda buchani umnunulie kilo ya nyama umchomee ama umchemshie.
Mbuzi ama kuku umemnunua wa kumchinja, yafaa umtendee haki walau kwenye safari yake ya mwisho umuandali malazi safi, chakula na maji viwepo, kisha kesho yake umchinje, si sawa apigwe na mvua ama upepo wa el nino, chakula umbanie na maji anywe kwenye vyombo vichafu kisha kwa unafki eti umuombe Mungu kabla ya kumchinja.
Paka ama mbwa kakuzoea hujawahi hata kukaa nae sehemu kumpeti peti, akija unamwambia tokaa, yupo kwao tayari aende wapi?
Mbwa wako kakuzoea hujawahi hata kucheza nae michezo ya kukimbizana ama mpira
Mbwa yumo kwenye banda kila siku, hujawai kutembea nae hata siku moja jioni
Ni mwaka unaisha sasa paka wako hujawahi hata kumpa zawadi ya samaki mzima.
Ni mwaka unaisha sasa mbwa wako hujawahi kwenda buchani umnunulie kilo ya nyama umchomee ama umchemshie.
Mbuzi ama kuku umemnunua wa kumchinja, yafaa umtendee haki walau kwenye safari yake ya mwisho umuandali malazi safi, chakula na maji viwepo, kisha kesho yake umchinje, si sawa apigwe na mvua ama upepo wa el nino, chakula umbanie na maji anywe kwenye vyombo vichafu kisha kwa unafki eti umuombe Mungu kabla ya kumchinja.
Paka ama mbwa kakuzoea hujawahi hata kukaa nae sehemu kumpeti peti, akija unamwambia tokaa, yupo kwao tayari aende wapi?
Mbwa wako kakuzoea hujawahi hata kucheza nae michezo ya kukimbizana ama mpira
Mbwa yumo kwenye banda kila siku, hujawai kutembea nae hata siku moja jioni