Ushauri: Pesa ya Tanzania isiwekwe wanyama

Ushauri: Pesa ya Tanzania isiwekwe wanyama

Habari wakuu,

Hausika na kichwa cha habari hapo juu,

Nashauri pesa za Tanzania zisiwekwe wanyama kwakuwa ni Sanamu.

Mungu Muumba wa mbingu na nchi yeye mwenyewe ndio aliyesema fedha, Mali, dhahabu ni Mali yake.

Sasa inakuwaje tukaamua kuweka wanyama kama picha.

Ni kama tunaabudu wanyama kwa kuwapa thamani ya kukaa kwenye pesa.

Hii ni moja kati ya dhambi ambayo ndio imefanya tumelaaniwa na Mungu.

Moja kati ya amri ya Mungu ni msiiabudu miungu mingine ila mimi.

Ni bora pesa ya Tanzania iwe na picha za watu lakini sio wanyama.

Ndio maana nchi inakila kitu imebarikiwa ila vinachumwa na wengine.

Watanzania wanabaki kuwa masikini kwakuwa wamelaaniwa.

Kosa sio la Watanzania linaanzia kwenye mamlaka za juu.

Mamlaka ya uongozi wa nchi unaanzia kwa Mungu muumba nchi na vyote.

Viongozi nao wamejipa mamlaka yao ndio maana wakaweka wanyama.

Uongozi mmepewa na Mungu msisahau hili viongozi wa Tanzania.

Pesa yenyewe haina thamani kwakuwa imejaa miungu ya wanyama.

Nyie hata kumpa Mungu heshima ya kuwa pesa ni yake na kumpa utukufu.

Wamerekani wao wamemtukuza Mungu katika pesa yao ya Dola wamempa Mungu sifa kwa kuweka neno "IN GOD WE TRUST"

Dola ndiyo pesa inayojulikana Duniani kote pamoja na kuwa zipo zingine.

Nashauri litafutwe neno la kumtukuza Mungu liwekwe kwenye pesa yetu.
😂😂😂Serikali haina dini...unda serikali yako na nchi yako
 
Habari wakuu,

Hausika na kichwa cha habari hapo juu,

Nashauri pesa za Tanzania zisiwekwe wanyama kwakuwa ni Sanamu.

Mungu Muumba wa mbingu na nchi yeye mwenyewe ndio aliyesema fedha, Mali, dhahabu ni Mali yake.

Sasa inakuwaje tukaamua kuweka wanyama kama picha.

Ni kama tunaabudu wanyama kwa kuwapa thamani ya kukaa kwenye pesa.

Hii ni moja kati ya dhambi ambayo ndio imefanya tumelaaniwa na Mungu.

Moja kati ya amri ya Mungu ni msiiabudu miungu mingine ila mimi.

Ni bora pesa ya Tanzania iwe na picha za watu lakini sio wanyama.

Ndio maana nchi inakila kitu imebarikiwa ila vinachumwa na wengine.

Watanzania wanabaki kuwa masikini kwakuwa wamelaaniwa.

Kosa sio la Watanzania linaanzia kwenye mamlaka za juu.

Mamlaka ya uongozi wa nchi unaanzia kwa Mungu muumba nchi na vyote.

Viongozi nao wamejipa mamlaka yao ndio maana wakaweka wanyama.

Uongozi mmepewa na Mungu msisahau hili viongozi wa Tanzania.

Pesa yenyewe haina thamani kwakuwa imejaa miungu ya wanyama.

Nyie hata kumpa Mungu heshima ya kuwa pesa ni yake na kumpa utukufu.

Wamerekani wao wamemtukuza Mungu katika pesa yao ya Dola wamempa Mungu sifa kwa kuweka neno "IN GOD WE TRUST"

Dola ndiyo pesa inayojulikana Duniani kote pamoja na kuwa zipo zingine.

Nashauri litafutwe neno la kumtukuza Mungu liwekwe kwenye pesa yetu.
Sasa Mungu anaingiaje kwenye serikali isiyoamini Mungu
 
Inamaana Serikali inamiungu yake, inayoabudu...

Amri inasema Mimi ni Bwana Mungu wako usiwe na miungu mingine ila mimi...

Mungu ni mwenye wivu...
Hapana kwa Mujibu Wa katiba Yetu Tanzania haishikamani na Mungu yeyote...secular state..
Kumbuka kuwa Nchini Tanzania kuna Dini zaidi ya Saba hapa ..
Kuna Wayahudi...
Kuna Wakristo..
Kuna Budhist
Kuna Islam
Kuna Hinduism(na wana misikiti yao kibao tu)
Kuna wanaoamini katika Jadi
Kuna wanaoamini Mababu na Mila desturi..
Kuna Atheist (Ambao wao hawaamini katika Mungu wala miungu)
Kuna wanajikita katika Matter

Na kuna wapo wanaoamini kuhusu Nature

Just imagine Wewe kwakuwa ni mkristo mmoja ya kundi hao watanzania useme Watoe hao wanyama kwa kuwa wewe Dini yako hairuhusu vipi kuhusu wanaoamini Nature wakisema Wanataka iwepo Vipi kuhusu Wahindu,Vipi kama wengine nao wakisema Kuhusu Sheria zao na miungu Yao na Hoja zao Zisikilizwe?

Hiyo ndo maana Serikali yetu haina Dini na haifati matakwa ya Dini yoyote ...
 
Back
Top Bottom