Ushauri: Pesa ya Tanzania isiwekwe wanyama

Mtu asiye na dini anatakiwa aape kwa nani?

Kwani hao wanaomuamini Mungu su ndio wanaongoza kwa wizi.?

Na kuna wasiomuamini Mungu ni watu safi kabisa au hulijui hilo?

Exposure ni muhimu tembea duniani huku ujionee.
Mtu ambaye haamini uwepo wa Mungu asiwe kiongozi...

Mamlaka ni ya Mungu...

Kiongozi anayetoka au hofu ya Mungu hawezi kuwa mwizi, Wala hawezi kujipenda mwenyewe...

Atawafikiria wengine, maana anajua ya kuwa aliyemuweka pale ni Mungu na anajua kusudi la kuwa pale...

Hata baraka zitokazo kwa Mungu zitawafikia watu...
 
Achana na kuiga nchi za watu...
Achana na kuiga nchi za watu...
Tanzania Kingunge Ngombale Mwiru alikuwa ni mchanganyiko wa Marxist na Communist je hakuwa kiongozi?

Ukimuweka mzee Kingunge kwenye mizania na viongozi wanaoapa kwa Biblia au Quran na ni majizi na yeye aliyekuwa anaapa kwa kushika katiba unaweza kuta wanaoapa kwa Biblia na Quran ndio majizi makubwa kuliko huyo aliyekuwa hana upande.

Kwa kumbukumbu zangu mzee Kingunge kama anazo skendo za wizi bado hazikuzidi majizi ya EPA, Dowans,Kagoda , Meremeta , Richmond , Escrow,Loliondo gate, Ngorongoro , DP World ambayo majizi yaliapa mbele ya kamera kibao yameshika Biblia au Quran.
 
Tanzania Kingunge Ngombalemwiru alikuwa ni mchanganyiko wa Marxist na Communist je hakuwa kiongozi?

Ukimuweka mzee Kingunge kwenye mizania na viongozi wanaoapa kwa Biblia au Quran na ni majizi na yeye aliyekuwa anaapa kwa kushika katiba unaweza kuta wanaoapa kwa Biblia na Quran ndio majizi makubwa kuliko huyo aliyekuwa hana upande.

Kwa kumbukumbu zangu mzee Kingunge kama anazo skendo za wizi bado hazikuzidi majizi ya EPA, Dowans,Kagoda , Meremeta , Richmond , Escrow ambayo majizi yaliapa mbele ya kamera kibao yameshika Biblia au Quran.
Kiongozi asiyemjua Mungu hafai...

Anaturudisha Utumwani, wakati tunatakiwa twende Kanani
 
Kwako wewe au kwa watu wote?

Maana hueleweki unaposimamia .

Nimekupa simple fact and very easy to grasp kuwa hakuna uhusiano baina ya kiongozi kuwa mzuri na Mungu kwani hata hao wanaomuamini huyo Mungu ndio wezi, wauaji na maovu mengine mengi wanaongoza kwa kuyatenda je ndio huyo Mungu kanisani anayafundisha hayo ?

Wapi imetajwa kiongozi mzuri lazima amuamini Mungu.?

Wapi imeandikwa kiongozi asiyemuamini Mungu hawezi kuwa bora .?

Unamjua Nick Clegg ?

Unamjua Mao Zedong?
Kiongozi asiyemjua Mungu hafai...

Anaturudisha Utumwani, wakati tunatakiwa twende Kanani
 
Kwako wewe au kwa watu wote?

Maana hueleweki unaposimamia .

Nimekupa simple fact and very easy to grasp kuwa hakuna uhusiano baina ya kiongozi kuwa mzuri na Mungu kwani hata hao wanaomuamini huyo Mungu ndio wezi, wauaji na maovu mengine mengi wanaongoza kwa kuyatenda je ndio huyo Mungu kanisani anayafundisha hayo ?

Wapi imetajwa kiongozi mzuri lazima amuamini Mungu.?

Wapi imeandikwa kiongozi asiyemuamini Mungu hawezi kuwa bora .?

Unamjua Nick Clegg ?

Unamjua Mao Zedong?
Wewe ni wa upande wa pili, kwa ndugu zetu waislamu huwezi nielewa...

Kama ni Mkristo basi ni Mkristo jina...
 
Wewe ni wa upande wa pili, kwa ndugu zetu waislamu huwezi nielewa...

Kama ni Mkristo basi ni Mkristo jina...
Mimi sio mwislamu..

That's hasty generalization.

Kwamba kila anayekwenda tofauti na misimamo ya kidini kwa mkristo ni muislam na kinyume chake.

Mimi ninasimamia the fact kwamba hakuna uhusiano wowote kwenye kumuamini Mungu na kuwa kiongozi bora.

Uongozi bora unatokana na vitu muhimu vitatu , Integrity, Competence and Vision

Nimefika Vietnam ,South Korea na China kwa nyakati tofauti ukitafuta hayo makanisa na misikiti ni ya kuhesabu ila njoo katika upande wa maendeleo kwa hizo nchi.

Unaweza kuta Tanzania inazidi idadi ya makanisa na misikiti ila ukija katika nyanja ya maendeleo ya vitu na watu ni aibu hata kulinganisha.

Na unakwepa swali la msingi sana mwisho umeingia kwenye kunipa upande wa dini wakati mimi sijasimama upande wowote.

Na swali lenyewe la msingi ni hili kama uongozi bora ni kumuamini Mungu mbona wanaoapa kwa Biblia na Quran ndio majizi, wauaji, waporaji wa ardhi na maovu mengine mengi .

Je huyo Mungu wanayesema mwishoni kwenye kiapo awasaidie ndio anawasaidia kufanya hayo maasi?
 
Donatila, iweje Mungu mwenye upendo aruhusu mfumo wa pesa ndo uwe njia ya mwanadamu kujipatia riziki? Si unajua mfumo wa pesa uko centralized(unasimamiwa na watu/mamlaka maalum mfano benki ya dunia, IMF), sio kwamba wana uwezo tu, wanatumia mamlaka hayo kujinufaisha na kukandamiza maskini.

Kwanini aruhusu? Kwanini asisimamie yeye mwenyewe?
Huu mfumo wa fedha ni mzuri saana

Kama wasio wema wameutumia vibaya ni basi tu kuharibu mifumo mizuri kabisa inayojulikana na mwanadamu kurahisisha maisha yake.

Fikiria watu wote wakaanza kama maskini. Na kila mmoja anamiliki buku tu. Akatokea mwamba mmoja akawatengenezea bidhaa wote wakafaidika wakampa mia tano mia tano. Jamaa anakuwa tajiri na sasa ni zamu yake kuwatuma wamfanyie kazi au kumpatia bidhaa ili awape mia tano mia mbili nk

Mfumo ukitumika vizuri kama ilivyopangwa. Aliye mkubwa katika wote atakuwa yule aliye mtumishi wa wote🤔. Yaani kama Mungu alivyopanga.

Onaa mfano sasa;
Bhakresa, Mo ni watu wazito maana kila siku wanawatengenezea juisi na unga wa kulisha mamilioni ya watu.
Serikali nayo ina hela kwa kuwa inawatumikia watu millioni sitini+

Shetani akitumia vibaya uumbaji au ugunduzi mzuri lawama zisiende kwa Mungu. In fact wanaadamu kwa tamaa mbaya na ukaidi wakikosesha matumizi ya vitu vyema wa kulaumiwa si Mungu tena.

Pole, li article limekuwa reeeeeeeeeeeeefu🙏
 
Mimi sio mwislamu..

That's hasty generilization.

Kwamba kila anayekwenda tofauti na misimamo ya kidini kwa mkristo ni muislam na kinyume chake.

Mimi ninasimamia the fact kwamba hakuna uhusiano wowote kwenye kumuamini Mungu na kuwa kiongozi bora.

Uongozi bora unatokana na vitu muhimu vitatu , Integrity, Competence and Vision

Nimefika Vietnam ,South Korea na China kwa nyakati tofauti ukitafuta hayo makanisa na misikiti ni ya kuhesabu ila njoo katika upande wa maendeleo kwa hizo nchi.

Unaweza kuta Tanzania inazidi idadi ya makanisa na misikiti ila ukija katika nyanja ya maendeleo ya vitu na watu ni aibu hata kulinganisha.

Na unakwepa swali la msingi sana mwisho umeingia kwenye kunipa upande wa dini wakati mimi sijasimama upande wowote.

Na swali lenyewe la msingi ni hili kama uongozi bora ni kumuamini Mungu mbona wanaoapa kwa Biblia na Quran ndio majizi, wauaji, waporaji wa ardhi na maovu mengine mengi .

Je huyo Mungu wanayesema mwishoni kwenye kiapo awasaidie ndio anawasaidia kufanya hayo maasi?
Uzi wangu upo kiimani kama huna Imani na Mungu huwezi elewa kitu ninachomaanisha...

Hata hao wanaoapa kwa kutumia Biblia nimekwambia wanaapa kimwili ila mioyo yao Haina Imani na Mungu...

Hawamaanishi...
 
Huu mfumo wa fedha ni mzuri saana

Kama wasio wema wameutumia vibaya ni basi tu kuharibu mifumo mizuri kabisa inayojulikana na mwanadamu kurahisisha maisha yake.

Fikiria watu wote wakaanza kama maskini. Na kila mmoja anamiliki buku tu. Akatokea mwamba mmoja akawatengenezea bidhaa wote wakafaidika wakampa mia tano mia tano. Jamaa anakuwa tajiri na sasa ni zamu yake kuwatuma wamfanyie kazi au kumpatia bidhaa ili awape mia tano mia mbili nk

Mfumo ukitumika vizuri kama ilivyopangwa. Aliye mkubwa katika wote atakuwa yule aliye mtumishi wa wote🤔. Yaani kama Mungu alivyopanga.

Onaa mfano sasa;
Bhakresa, Mo ni watu wazito maana kila siku wanawatengenezea juisi na unga wa kulisha mamilioni ya watu.
Serikali nayo ina hela kwa kuwa inawatumikia watu millioni sitini+

Shetani akitumia vibaya uumbaji au ugunduzi mzuri lawama zisiende kwa Mungu. In fact wanaadamu kwa tamaa mbaya na ukaidi wakikosesha matumizi ya vitu vyema wa kulaumiwa si Mungu tena.

Pole, li article limekuwa reeeeeeeeeeeeefu🙏
Longo longo zote hizo za nini? umezungumzia trickle down economics, yaani mtu akitajirika basi atasaidia wengine kutoboa, ila sio picha halisi. Atakwepa kodi, Hatolipa wafanyakazi stahiki yao na atawazuia kuunda vyama vya kuomba haki, ataharibu ushindani(biashara za watu wengine), atafanya kila namna kukuza kampuni yake. fedha nyingi zinamilikiwa na wachache.

Mungu hayupo, dunia inajitawala kwa kanuni zake, angalia mambo kwa undani mkuu, usichoke kuchimba taarifa.
 
Gavana wa BOT njoo uone mwananchi analalamika pesa zina picha ya wanyama matokeo yake pesa zinakimbia anashindwa kuzikamata over
 
Hapa ndipo Serikali ilipofeli kusema haina dini, wakati mamlaka ya Duniani yote ni ya Mungu...

Warumi 13
Hakuna Mamlaka iyotoka kwa Mungu...
Huyo ni Mungu wa wayahudi sio wa dunia na sio wa Tanzania...ndo maana Tanzania Kuna wakristo waislamu wahindu wabudha wasio na dini na wote wanaheshimiwa kikatiba
 
Mungu anaetukuzwa kwenye dollar ni yule wa jicho moja na Sio Jehovah anaitwa big brother au all eyes on me.
Big brother is watching
 
Back
Top Bottom