king kan
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,629
- 2,043
unafikiriaje aisee. Na kanisani kwenu mnafundishana mambo ya ajabu sana. Yeye hakwenda kumkamata muumini alienda kumchukua mkewe. Kwenye dini yako hamfundishwi mke amtii mumewe? Huyo mchungaji asiyejua Watoto wanatakiwa kunyonya ili waishi ana tofauti gani na yule muuaji wa Kenya?Haiko sawa angeenda polisi kufungua RB kuwa mke katelekeza watoto huwezi mtoa Padri Altereni au kumkamata muumini akisali kanisani bila ruksa ya uongozi wa kanisa
Huwezi kamata mtu kanisani bila kuwa na RB na kuwa na uongozi wa serikali ya mtaa au Kijiji ukiwa umeongozana na polisi Huwezi kamata mtu kienyeji hivyo mkamataji hakuzingatia Sheria ya ukamataji mhalifu
Kuna makosa makubwa kafanya polisi waweza muweka ndani aende na wadhamini kabisa
Taratibu za kisheria za kumkamata mtuhumiwa mke hakuzingatia .Waliomfungulia RB polisi wako sahihi
Mimi baada ya tukio hilo ingekuwa ni marufuku watu wanaohusika na kanisa kukanyaga au kuhusiana na mimi.