USHAURI: Ni sahihi kusoma certificate baada ya kuhitimu shahada ili kupata fursa za ajira?

USHAURI: Ni sahihi kusoma certificate baada ya kuhitimu shahada ili kupata fursa za ajira?

Mr Beach Boy

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2021
Posts
1,702
Reaction score
5,115
Kwenye kada za maendeleo ya jamii serikali wanaajili NTA level 4,5 na 6

Lakini kwa upande wa shahada za maendeleo ya jamii mara nyingi nafasi hizo hakuna.

Kwasasa mimi nimemaliza shahada ya maendeleo ya jamii je ni sawa kusoma NTA level 5 mwaka mmoja ili niweze kuomba KAZI kwa cheti husika?

Alafu baada ya kupata KAZI ndio nifanye recategorisation???

Au ntakuwa napoteza muda wakuu??
Ahsante
Naomba ushauri mzuri kwani ndio ntautumia
 
Back
Top Bottom