Escotter20
JF-Expert Member
- Jul 20, 2020
- 465
- 842
Habar wakuu
Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs
Nimekuja hapa kuomba ushauri, nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu... Hivyo nimekuja kuomba ushauri naacha chuo ili nijikite zaidi huko.. Hoja zangu Ni kama ifuatavyo
1. Shule naona inapoteza muda na lengo la shule ni kutafuta hela as long as nimepata shortcut ya pesa why niendelee na shule?
2. Kujiepusha kuwa miongon mwa wahanga wa ajira mbeleni, ni heri nijiondoe mapema nikajitafute!!
3. Kitu ninachokisoma sijawahi kufikiria kama ningesoma, naona nilifata mkumbo, kuepusha majuto zaidi Ni heri nijichomoe mapema?
4. All in all what determines a man is his/her success, u choose to be part of success through FOrex
Hizo ndio points zangu.. Naomba ushauri na mawazo, ningeweza kuomba watu wanaonizunguka but najua sio rahisi wao kumkubalia na na mimi, but naamin humu JF kuna watu wenye upeo mkubwa, nakaribisha michango.
Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs
Nimekuja hapa kuomba ushauri, nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu... Hivyo nimekuja kuomba ushauri naacha chuo ili nijikite zaidi huko.. Hoja zangu Ni kama ifuatavyo
1. Shule naona inapoteza muda na lengo la shule ni kutafuta hela as long as nimepata shortcut ya pesa why niendelee na shule?
2. Kujiepusha kuwa miongon mwa wahanga wa ajira mbeleni, ni heri nijiondoe mapema nikajitafute!!
3. Kitu ninachokisoma sijawahi kufikiria kama ningesoma, naona nilifata mkumbo, kuepusha majuto zaidi Ni heri nijichomoe mapema?
4. All in all what determines a man is his/her success, u choose to be part of success through FOrex
Hizo ndio points zangu.. Naomba ushauri na mawazo, ningeweza kuomba watu wanaonizunguka but najua sio rahisi wao kumkubalia na na mimi, but naamin humu JF kuna watu wenye upeo mkubwa, nakaribisha michango.