Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,169
- 48,681
Hello!
Sasa hivi kwenye sekta ya utalii fursa ziko wazi, kwenye sekta ya madini fursa ziko wazi, kwenye sekta karibu zote kuna fursa nyingi.
Kijana badala ya kushinda kwenye mitandao ya kijamii kusubiri post inayohusu serikali ukomenti negative tumia huu muda kuhakikisha aidha unaingia kwenye ajira ya serikali, ajira rasmi sekta binafsi au unakuwa na ofisi Yako ya kudumu yenye kukuingizia kipaeto cha uhakika kila siku.
Kama mna wadogo zenu wahamasisheni wasomee kozi fupi za uhandisi na udaktari, madini na zingine. Hii ni kwa familia za tia maji tia maji.
Lengo ni kwamba Samia akitoka akuache kwenye system, ukienda JKT kwa mujibu wa Sheria ingia JWTZ kabisa maana njia inakuwa nyeupe ukisema tarudi nikimaliza degree imekula kwako.
Kuna hatari 2030 atapatikana Rais mwenye sera za Magufuli. Uwezekano huu ni mkubwa sana.
Rais Magufuli ndani ya miaka yake yote ya uongozi hakuweza kuajiri watumishi wa umma angalau 5000. Hakuweza kabisa
Rais Magufuli ndani ya miaka yake yote ya uongozi aliweza kuua ajira rasmi sekta binafsi kwa wingi sana. Rais Magufuli aliweza kuua biashara na kampuni ndogo ndogo bila sababu za msingi. Nami nilikuwa mhanga.
Kijana soma hata kozi fupi uingie kwenye system mambo mengine yatakaa sawa mbele. Kuna mtu atakuja kufuta maono yote mazuri ya Samia na kusimamisha kila kitu eti anaanza upya.
Atakuja mtu na sera ya serikali ya viwanda lakini ndiye muuaji wa viwanda na mtamshangilia.
Umri haurudi nyuma, hebu nenda kwenye kioo angalia sura yako uone unavyozeeka mdogo mdogo.
Sasa hivi kwenye sekta ya utalii fursa ziko wazi, kwenye sekta ya madini fursa ziko wazi, kwenye sekta karibu zote kuna fursa nyingi.
Kijana badala ya kushinda kwenye mitandao ya kijamii kusubiri post inayohusu serikali ukomenti negative tumia huu muda kuhakikisha aidha unaingia kwenye ajira ya serikali, ajira rasmi sekta binafsi au unakuwa na ofisi Yako ya kudumu yenye kukuingizia kipaeto cha uhakika kila siku.
Kama mna wadogo zenu wahamasisheni wasomee kozi fupi za uhandisi na udaktari, madini na zingine. Hii ni kwa familia za tia maji tia maji.
Lengo ni kwamba Samia akitoka akuache kwenye system, ukienda JKT kwa mujibu wa Sheria ingia JWTZ kabisa maana njia inakuwa nyeupe ukisema tarudi nikimaliza degree imekula kwako.
Kuna hatari 2030 atapatikana Rais mwenye sera za Magufuli. Uwezekano huu ni mkubwa sana.
Rais Magufuli ndani ya miaka yake yote ya uongozi hakuweza kuajiri watumishi wa umma angalau 5000. Hakuweza kabisa
Rais Magufuli ndani ya miaka yake yote ya uongozi aliweza kuua ajira rasmi sekta binafsi kwa wingi sana. Rais Magufuli aliweza kuua biashara na kampuni ndogo ndogo bila sababu za msingi. Nami nilikuwa mhanga.
Kijana soma hata kozi fupi uingie kwenye system mambo mengine yatakaa sawa mbele. Kuna mtu atakuja kufuta maono yote mazuri ya Samia na kusimamisha kila kitu eti anaanza upya.
Atakuja mtu na sera ya serikali ya viwanda lakini ndiye muuaji wa viwanda na mtamshangilia.
Umri haurudi nyuma, hebu nenda kwenye kioo angalia sura yako uone unavyozeeka mdogo mdogo.