Ushauri kwa Rais: Ili kukuza uchumi wa nchi na kupata fedha za ujenzi wa miundombinu, Mishahara ya watumishi wa umma na viongozi wa kisiasa ipunguzwe

Naunga mkono hoja! Watumishi wote wapunguzwe mshahara kwa asilimia 25% ili hiyo 25% iende kwenye maendeleo.

Sisi wananchi hatuna shida sana na mshahara kwa kuwa mahitaji ya msingi ni chakula tu ambacho awamu hii kimeshuka sana bei.

Watanzania tujitolee kufunga mkanda ili nchi yetu ipate maendeleo kwa haraka kama Mh rais anavyotuasa.

Au nakosea wazalendo wenzangu? 😊
Wivu tuu. Ulikimbia mwenyewe shule. Wenzako walikomaa sasa wanaishi maisha mazuri kuliko ya kwako. Roho mbayaaaa.
 
Hiyo mishahara wanayolipwa ni midogo bado unataka ipunguzwe? je, ukiambiwa huyo anayelipwa milioni 10 kiuhalisia alitakiwa alipwe milioni 40 utasemaje, sisi bado hatulipi mishahara bali tunalipa kitu kinachofanana na mshahara, toa roho mbaya acha watu walipwe kulingana na elimu zao na taaluma walizozihangaikia kwa muda mrefu.
 
Inatakiwa kila Mtanzania aumie ili tufanye jambo moja kwa umoja
Kabisa. Maana Kama wengine wananeemeka, utakuta mmegawanyika. Wapo wanaoisifu Serikali wapo ambao hawaipendi lakini wenye hiyo mishahara ndo wanaosikika Maana wanna sehemu ya kuongelea lakini Cha ajabu hawausemi ukweli.
 
Back
Top Bottom