Ushauri: Kazi ya aibu malengo hayatimii

Ushauri: Kazi ya aibu malengo hayatimii

Ndio uelezee hapa biashara mbadala sasa acha kuzunguka sana
Kwani dereva ukimpa pikipiki huwa unamuuliza anafanya kazi muda gani hadi muda gani? si unamkabidhi kisha jioni unataka hesabu yako? kama ni hivyo biashara yangu wewe yanini? wewe toa hela hiyo upewe hesabu Biashara gani ntaifanyaje hiyo sio kazi yako.
 
Kama upo twitter pitia huu uzi
Watu wametirirka humu
Walianza na mtaji wa kiasi gani
Wanaingiza faida kiasi gani
Na picha za biashara zao
 
kwani dereva ukimpa pikipiki huwa unamuuliza anafanya kazi muda gani hadi muda gani? si unamkabidhi kisha jioni unataka hesabu yako? kama ni hivyo biashara yangu wewe yanini? wewe toa hela hiyo upewe hesabu Biashara gani ntaifanyaje hiyo sio kazi yako.
Huo ni utapeli sasa kuchukua hela bila kuelezea kuna project gani?kwa mfano ukienda kuuzia bangi ukakamatwa si ndio basi mtaji wangu umekwenda na maji
 
Huo ni utapeli sasa kuchukua hela bila kuelezea kuna project gani?kwa mfano ukienda kuuzia bangi ukakamatwa si ndio basi mtaji wangu umekwenda na maji
Bodaboda akiibiwa pikipiki mtaji wako utakua haujaenda na maji?
 
Kwani ukufagia hadi zifike 6 kuna ubaya gani?
Hiyo kazi ya aibu??
Wanaoosha miguu ya wamama??
Kuwapaka rangi kucha??
 
300,000 toa zaka, 1.5m nenda kibesa nunua sehemu ,lima mihogo ya kupika, panda na papai pia, endelea na ufagizi huku ukisave hadi ufike 3m tena ikifika anza ufugaji wa kuku na mbuzi kwenye eneo lako
 
ndio mpaka aibiwe sasa,ila masaa 24 anakuwa nayo na inatambulika ni biashara halali wewe ukienda kuuzia bangi huoni ni biashara haramu
Ndio kashaibiwa sasa huoni kama mtaji ndio utakua umeshaenda na maji? na umeng'ang'ania biashara ya bangi sana unaonekana ndio biashara pekee haramu unayoijua,kweli nimeamini akili zako zimeishia kwenye kununua pikipiki uwape watu watengeneze maisha maana nina uhakika dereva anae endesha pikipiki yako ana maisha kuliko wewe na huwezi kulijua hilo kwasababu una dereva anaejua kula na kipofu.
 
Huwa naamua kuwadhamini tu vijana wakinufaika siumii
ndio kashaibiwa sasa huoni kama mtaji ndio utakua umeshaenda na maji? na umeng'ang'ania biashara ya bangi sana unaonekana ndio biashara pekee haramu unayoijua,kweli nimeamini akili zako zimeishia kwenye kununua pikipiki uwape watu watengeneze maisha maana nina uhakika dereva anae endesha pikipiki yako ana maisha kuliko wewe na huwezi kulijua hilo kwasababu una dereva anaejua kula na kipofu.
 
Pikipiki inauzwa 2200000.
Kama utafanya mkataba wa mwaka ni 300000x12=3600000
Chukua 3600000-2200000=1400000 hii ndio faida yako.
Service zote anafanya dereva hakuna service nitafanya mimi mmiliki.
Nadhani umenipata.
Other factors remained constant.....!?, basi sawa mkuu
 
300,000 toa zaka, 1.5m nenda kibesa nunua sehemu ,lima mihogo ya kupika, panda na papai pia, endelea na ufagizi huku ukisave hadi ufike 3m tena ikifika anza ufugaji wa kuku na mbuzi kwenye eneo lako
Ushauri mzuri mkuu
 
kwasiku anapokea 10,000 ambayo kwa mwezi ni sawa na 300,000 ukizidisha x 12 = 3,600,000 na bei ya pikipiki mpk unaikalia juu BOXER ni 2,500,000 ukitoa unapata faida kwa mwaka mzima kapata 1,100,000.

Kumbuka hapo sijaweka bei ya service kubwa ambayo n jukumu la boss mwenye pikipiki,tufanye kwa mwaka mzima service ya pikipiki katumia 100,000 ukitoa kutoka kwenye ile faida yake ya 1,100,000 unapata baki ya

kwa mwaka mzima amenunua pikipiki ya 2.5M inayompa faida ya 1,000,000. ukigawa kwa siku 365 = 3,013 kwa siku,hii maana yake wanaofanya biashara ya pikipiki wakawapa madereva mikataba Faida yao kwa siku ni BUKU 3.

Buku 3 tukimaanisha ELFU 3 biashara yenye mtaji wa 2.5M 🙌 🙌,kuna biashara zinahitaji moyo sana mtu kuzifanya,biashara yakutoa faida 3,000 kwa siku hivi nikiwa na mtaji wa 100,000 siwezi pata kweli? tuongelee hii faida kwa siku 3,000Tsh.

Maana yake boss ukipewa 10k kwa siku na dreva,yako ktk hiyo ten ni 3000 tu sasa ndugu zangu wamiliki pikipiki hizi hesabu mnazifahamu au hamna haja nazo?
Umeandika vyema vile nilikuwa nawaza.
Kwa hesabu hizi huwa sioni lengo la mkataba kwenye pikipiki.
Bila Shaka wenye uzoefu watakuja kutuelimisha vizuri,maana bado hainiingii kichwani kuita hii ni biashara labda tutafitie jina lingine
 
unasikia mkuu mimi sifanyi hii biashara kwa sababu ya kutajirika ila nafanya kwa lengo tu la kuulinda mshahara.

Yaani kitu ambacho sikipendi na kinaniuma sana ni kutumia mshahara kwa sababu ya kulisha tumbo,so mshahara wangu unakuwa na nafasi kubwa ya kufanyia maendeleo kama ujenzi na majukumu mengine.

Na mkataba unapoisha hainiumizi kichwa kununua nyingine maana nikijichanga mishahara yangu miwili tu nanunua pikipiki nyingine.
Kama nimekuelewa vizuri hii haipaswi kuitwa biashara.asante kwa ufafanuzi
 
Umeandika vyema vile nilikuwa nawaza.
Kwa hesabu hizi huwa sioni lengo la mkataba kwenye pikipiki.
Bila Shaka wenye uzoefu watakuja kutuelimisha vizuri,maana bado hainiingii kichwani kuita hii ni biashara labda tutafitie jina lingine
Iko hivi kuna historia ya huo mkataba kuanza kutumika.
Mwanzoni bodaboda zilivyoanza kutumika hapakuwa na mkataba.
Ilikuwa unanunua bodaboda unamkabidhi dereva kila siku anakuletea elfu 7 miaka yote bila mwisho.

Sasa ikaja kuonekana wale vijana wa kitanzania ambao ndio madereva umakini wao ni mdogo katika utunzaji wa chombo yaani hawakijali kwa sababu sio mali yao na hakiwahusu kwa hiyo wanakitumia very rough kwenye mashimo wanakipigiza tu halafu kila wiki unapigiwa simu imeharibika inahitaji matengenezo na wewe mmiliki ndio utoe pesa ya matengenezo unajikuta pesa yote inaishia kwenye matengenezo.

Na kingine tena kwa vile hakuna mkataba wowote kwenye kuleta pesa wakawa wanapiga chenga mtu anapotea hata wiki 2 au 4 halafu mnaanza kutafutana na kushitakiana polisi.

Ndio wamiliki wakakaa chini na kugundua kwamba kuwe na mkataba ambao ni commitment kwa mmiliki na dereva kila wiki alete elfu 70 akishindwa apokonywe chombo na mashahidi wametia saini lakini baada ya mwaka chombo kiwe chake.
Hivi ndivyo mkataba ulianzishwa.
 
Iko hivi kuna historia ya huo mkataba kuanza kutumika.
Mwanzoni bodaboda zilivyoanza kutumika hapakuwa na mkataba.
Ilikuwa unanunua bodaboda unamkabidhi dereva kila siku anakuletea elfu 7 miaka yote bila mwisho.
Sasa ikaja kuonekana wale vijana wa kitanzania ambao ndio madereva umakini wao ni mdogo katika utunzaji wa chombo yaani hawakijali kwa sababu sio mali yao na hakiwahusu kwa hiyo wanakitumia very rough kwenye mashimo wanakipigiza tu halafu kila wiki unapigiwa simu imeharibika inahitaji matengenezo na wewe mmiliki ndio utoe pesa ya matengenezo unajikuta pesa yote inaishia kwenye matengenezo.
Na kingine tena kwa vile hakuna mkataba wowote kwenye kuleta pesa wakawa wanapiga chenga mtu anapotea hata wiki 2 au 4 halafu mnaanza kutafutana na kushitakiana polisi.
Ndio wamiliki wakakaa chini na kugundua kwamba kuwe na mkataba ambao ni commitment kwa mmiliki na dereva kila wiki alete elfu 70 akishindwa apokonywe chombo na mashahidi wametia saini lakini baada ya mwaka chombo kiwe chake.
Hivi ndivyo mkataba ulianzishwa.
Nimekupata mkuu
 
Akiwa dereva wa bodaboda pesa hatuiona tena, wakina mama wana makusudi sana na madereva wa bodaboda, wakikaa nyuma wanajibinua, wanawagusisha vifua vyao madereva! Hayo mambo ya kusave yatakua ndio basi tena!
 
Wasalaam wapendwa

Mimi ni kijana nina miaka 26, nafanya kazi ya kufagia kwenye hotel moja. Nimejichanga sasa nina milioni 3 lakini nikiangalia mbele sioni mwanga wa kazi hii.

Naombeni ushauri niachane na hii kazi ya kufagia kwa sababu mimi ni mtoto wa kiume. Je, nikiacha mnanishauri nifanye biashara gani kwa mtaji huo wa milioni 3?

Karibuni kwa maoni yenu wakuu.
Sijapenda kwamba unasema unafanya kazi ya aibu.Start with your mind Then Set goals.Muhimu ni kuelewa uwezo wako na limits zako.You can be anything you want as long as you have the drive.
 
Back
Top Bottom