mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 10,349
- 14,250
Natoa kutoka kwenye mshahara,yaani ni sawasawa tu hela ya pikipiki ningeiweka halafu nikatumia asilimia fulani ya mshahara wangu kwa ajili ya kula hakuna utofauti.Mkuu anakuletea elfu kumi kwa siku kwa mwaka pikipiki mali yake unanunua nyingine,zinakusaidia kupata pesa ya kula mshahara wako unafanyia mambo mengine....sorry pesa ya kununua pikipiki nyingine huwa unaitoa wapi?
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Isipokuwa natumia hela ya pikipiki kula kwa ajili ya kujilimit matumizi kujibana nisitumie hela kwa vurugu