Wasalaam wapendwa
Mimi ni kijana nina miaka 26, nafanya kazi ya kufagia kwenye hotel moja. Nimejichanga sasa nina milioni 3 lakini nikiangalia mbele sioni mwanga wa kazi hii.
Naombeni ushauri niachane na hii kazi ya kufagia kwa sababu mimi ni mtoto wa kiume. Je, nikiacha mnanishauri nifanye biashara gani kwa mtaji huo wa milioni 3?
Karibuni kwa maoni yenu wakuu.
Mimi ni kijana nina miaka 26, nafanya kazi ya kufagia kwenye hotel moja. Nimejichanga sasa nina milioni 3 lakini nikiangalia mbele sioni mwanga wa kazi hii.
Naombeni ushauri niachane na hii kazi ya kufagia kwa sababu mimi ni mtoto wa kiume. Je, nikiacha mnanishauri nifanye biashara gani kwa mtaji huo wa milioni 3?
Karibuni kwa maoni yenu wakuu.