Mtoto wa Golden Paste
Senior Member
- Jul 7, 2020
- 166
- 121
Unapatikana wapi kwa sasa mkuu?Wasalaam wapendwa
Mimi ni kijana ninamiaka 26 nafanya kazi ya kufagia kwenye hotel moja nimejichanga. Sasa nina milioni 3 lakini nikiangalia mbele sioni mwanga wa kazi hii
Naombeni ushauri niachana na hii kazi ya kufagia kwa sababu mimi ni mtoto wa kiume je nikiacha mnanishauri nifanye biashara gani kwa mtaji huo wa milioni 3?
Karibuni kwa maoni yenu wakuu