Ushauri gani UNAIPA nafsi yako, wakati huu?

Ushauri gani UNAIPA nafsi yako, wakati huu?

Itulizane tuu kwa sasa mambo hayapo upande wangu.
😟😟😟
 
Mimi:Nafsi yangu nakuomba utulie acha tamaa ,subiri siku zipite nitakupeleka bar ,ramadhani haina muda imeisha usitake nionekane mtu wa hovyo kabisa ,jikaze tusogeze walau kawiki tutaendelea na utaratibu wetu au sio ndugu yangu ?

Nafsi 😛amoja bingwa haujawahi kufeli kaka mkubwa
 
Mimi:Nafsi yangu nakuomba utulie acha tamaa ,subiri siku zipite nitakupeleka bar ,ramadhani haina muda imeisha usitake nionekane mtu wa hovyo kabisa ,jikaze tusogeze walau kawiki tutaendelea na utaratibu wetu au sio ndugu yangu ?

Nafsi 😛amoja bingwa haujawahi kufeli kaka mkubwa
🤣 ijikaze

Ramadhani iliweza kusubiri?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom