Ushauri: Fomu za kugombea Urais 2025 kupitia CCM ziwekwe kwenye mtandao ili zijazwe online

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
12,829
21,460
Ninaomba kutoa ushauri kuwa, Wanachama wengi wa CCM wanaonyesha kutaka kutia nia kugombea Urais kupitia CCM mwaka 2025.

Ili kuwa wana-CCM uhuru na haki ya kuchagulia ninashauri fomu za kugombea Urais ziwekwe kwenye mtandao na malipo yake yalipwe online.

Hii itaongeza uwazi wa uchukuaji fomu na kupunguza gharama za watia nia wengi kufuata kuchukua fomu Dodoma.

Cc: Katibu Mkuu wa CCM TAIFA
 

Attachments

  • 7EED7705-FB01-4ABF-9148-5897428CE6B8.png
    7EED7705-FB01-4ABF-9148-5897428CE6B8.png
    549.5 KB · Views: 4
Back
Top Bottom