peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,829
- 21,460
Ninaomba kutoa ushauri kuwa, Wanachama wengi wa CCM wanaonyesha kutaka kutia nia kugombea Urais kupitia CCM mwaka 2025.
Ili kuwa wana-CCM uhuru na haki ya kuchagulia ninashauri fomu za kugombea Urais ziwekwe kwenye mtandao na malipo yake yalipwe online.
Hii itaongeza uwazi wa uchukuaji fomu na kupunguza gharama za watia nia wengi kufuata kuchukua fomu Dodoma.
Cc: Katibu Mkuu wa CCM TAIFA
Ili kuwa wana-CCM uhuru na haki ya kuchagulia ninashauri fomu za kugombea Urais ziwekwe kwenye mtandao na malipo yake yalipwe online.
Hii itaongeza uwazi wa uchukuaji fomu na kupunguza gharama za watia nia wengi kufuata kuchukua fomu Dodoma.
Cc: Katibu Mkuu wa CCM TAIFA