peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,823
- 21,427
Kuna wimbi limeanza kujinadi kuchukua fomu ya kugombea Urais kupitia CCM na kundi hilo linakubalika.
Iwapo fomu ya kugombea Urais kupitia CCM itatolewa fomu moja ni wazi kuwa wagombea hao wataamua kuchukua fomu za kugombea urais kupitia upande wa pili.
Wananchi walio wengi wamekumbwa na taharuki ya kupanda kwa maisha kupita kiasi ambapo wanatarajia kufanya mabadiliko ya kiuongozi 2025.
Pia kuna kila dalili wabunge wengi wa ccm kukutana ha upinzani mkubwa ndani na nje ya CCM kwani wameshindwa kutafsiri au kuelezea hali ngumu ya maisha iliyopo majimboni mwao.
Baadhi ya wananchi mfano Jimbo la monduli wananchi wanapata mlo mmoja kwa siku na hakuna msemaji wa ccm amefika kujionea au kuwafariji wananchi hao
Iwapo fomu ya kugombea Urais kupitia CCM itatolewa fomu moja ni wazi kuwa wagombea hao wataamua kuchukua fomu za kugombea urais kupitia upande wa pili.
Wananchi walio wengi wamekumbwa na taharuki ya kupanda kwa maisha kupita kiasi ambapo wanatarajia kufanya mabadiliko ya kiuongozi 2025.
Pia kuna kila dalili wabunge wengi wa ccm kukutana ha upinzani mkubwa ndani na nje ya CCM kwani wameshindwa kutafsiri au kuelezea hali ngumu ya maisha iliyopo majimboni mwao.
Baadhi ya wananchi mfano Jimbo la monduli wananchi wanapata mlo mmoja kwa siku na hakuna msemaji wa ccm amefika kujionea au kuwafariji wananchi hao