Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Nimeona chama changu Cha mapinduzi na Seketarieti ya chama, kamati kuu na mawaziri wote wakiongozwa na waziri mkuu ,wanapita huku na huku kukusanya pesa za fomu ya urais 2025.
Ni kama Wana uoga Fulani kwa sababu muda wenyewe Bado sana!
Wameanza hata kumpigia kampeni mgombea mmoja kwamba ndio chaguo la wote! Na nimemsikia waziri mkuu akisema hata fomu ya urais itachapishwa Moja!
Naiomba cc ya chama ikiongozwa na mwenyekiti wetu, wafuate katiba ya chama chetu! Hata kama wao wanaona aliyepo anafaa lakini fungueni dirisha watu wachukue fomu wachuane ili huyo mtu wenu asije kuonekana kama hakuwa na sifa ila alibebwa!
Sio kweli kwamba nchi nzima wote hakuna mwenye nia ya kugombea ama kutia nia hata Mimi ninayo dhamira ya kutia nia.
Kama mmeruhusu watia nia waanze kuzunguka huku na huko kutafuta uungwaji mkono na hata kuchangiwa fomu basi na waomba mtoe tamko rasmi wote tuanze kutangaza nia nakuomba uungwaji mkono mapema kama mlivyoanza nyinyi.
Kinyume chake mkiendelea kuvunja katiba makusudi kwa ubabe ,sisi wengine haki yetu ya kikatiba ya kugombea nafasi ya urais tutaitafuta mahakamani.
Tutakwenda mahakamani kama wanachama hai wa CCM kudai haki yetu ya kikatiba na kupinga uvunjifu wowote wa katiba yetu.
Ni kama Wana uoga Fulani kwa sababu muda wenyewe Bado sana!
Wameanza hata kumpigia kampeni mgombea mmoja kwamba ndio chaguo la wote! Na nimemsikia waziri mkuu akisema hata fomu ya urais itachapishwa Moja!
Naiomba cc ya chama ikiongozwa na mwenyekiti wetu, wafuate katiba ya chama chetu! Hata kama wao wanaona aliyepo anafaa lakini fungueni dirisha watu wachukue fomu wachuane ili huyo mtu wenu asije kuonekana kama hakuwa na sifa ila alibebwa!
Sio kweli kwamba nchi nzima wote hakuna mwenye nia ya kugombea ama kutia nia hata Mimi ninayo dhamira ya kutia nia.
Kama mmeruhusu watia nia waanze kuzunguka huku na huko kutafuta uungwaji mkono na hata kuchangiwa fomu basi na waomba mtoe tamko rasmi wote tuanze kutangaza nia nakuomba uungwaji mkono mapema kama mlivyoanza nyinyi.
Kinyume chake mkiendelea kuvunja katiba makusudi kwa ubabe ,sisi wengine haki yetu ya kikatiba ya kugombea nafasi ya urais tutaitafuta mahakamani.
Tutakwenda mahakamani kama wanachama hai wa CCM kudai haki yetu ya kikatiba na kupinga uvunjifu wowote wa katiba yetu.