Bra-joe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,886
- 1,569
Pole. Kama unaweza kumwadhibu bila kupata madhara do it. Do it. Mtanisamehe kwa huu ushauri kwa kuwa hata mimi kuna mtu nimemweka kwenye mabano.
MBWA wako umemuweka kwenye mabano, halafu unataka MISS CHAGGA amuadhibu MBWA wa mama yake mkubwa. Halafu yakimkuta umcheke!