Ushauri: Adhabu gani inamfaa mtu huyu

Ushauri: Adhabu gani inamfaa mtu huyu

Status
Not open for further replies.
Pole miss chaga,,, muue taratibu!!!!!! kuna sumu fulani ivi unamuwekea kidogo kidogo kwenye juise au chakula inamuua taratibu kwa mateso nywele zitamnyonyoka kama ana ukimwi vile hata akienda hosp hatapona zaidi ya kusubili kufa tu.
Alichokifanya ha deserve kusamehewa hata kidogo.

Khaaa mdada yaonekana we mjuzi wa mambo mengi. Ya papuchi kuwa mnato umo, ya bahili kuuza nyumba umo na sasa ya silence killing upo. Chuo kipi shost ulichojifunzia haya?
 
Last edited by a moderator:
unahitaji professional help (msaada wa kitabibu) psychiatric au psychologist...........

ni kweli huyo mwanaume amekuharibia maisha yako , lakini kadri muda unavyozidi kwenda utazidi kujiharibia maisha yako wewe mwenyewe.............

kitendo cha kutaka kumalizia hasira zako kwa wanaume wote kwa kitendo ulichofanyiwa na mwanaume mmoja , itakukula sana maishani............

nini ufanye.........

1. tafuta huyo mtaalamu hapo juu akusaidie uweze kutibiwa hiyo Post Traumatic Stress Syndrome.

2. hakikisha unakuwa na mwanaume ambaye unaweza kumuelezea matatizo yako kwa uwazi na akayakubali , ili akuhandle kwa care,,,,,,,, kama atajitambua na kukukubali mwisho wa siku utafurahia tendo la kujamiiana kwani atakupeleka taratibu mpaka uweze kufurahia.

3. Pull yourself out of that Mess , kama haupo tayari kutoka kwenye hiyo hali mwenyewe hata huo msaada kutoka kwenye 1 & 2 hautaweza kukusaidia.

4. sikushauri ulipe kisasi , kwani utawaumiza hata na ambao hawana hatia (kama watoto wake n.k) na pili utajiongezea stress zingine na utakosa furaha maishani , ila kama unaona ni lazima mmwagie tindikali au tafuta wazee wa kazi naye abakwe aone inafananaje.............

POLE SANA.

Asante mkuu kwa ushauri nitafanyia kazi.
 
Khaaa mdada yaonekana we mjuzi wa mambo mengi. Ya papuchi kuwa mnato umo, ya bahili kuuza nyumba umo na sasa ya silence killing upo. Chuo kipi shost ulichojifunzia haya?
Wengine hapa duniani wapo 'matitalentedi'
 

pole sana mdada
huyo si wa kusamehe
anatakiwa akatwe hiyo kitu yake
akome kuringa!!wanaumeeeeee??!!!!ptuuuuuuuuu!!!!

wanaume PTUUUUUUUU!!!!. Halafu ukitoka hapo unampekekea mwanaume K*ma yako anaitimuatimua, mwenzako miss chagga ametuita MBWA na baada ya kubakwa na MBWA wa mama yake mkubwa akawa na mahusiano na MBWA wengine wawili, na mpaka sasa kila akikutana na MBWA kimwili huwa anajisikia maumivu.
 
wanaume PTUUUUUUUU!!!!. Halafu ukitoka hapo unampekekea mwanaume K*ma yako anaitimuatimua, mwenzako miss chagga ametuita MBWA na baada ya kubakwa na MBWA wa mama yake mkubwa akawa na mahusiano na MBWA wengine wawili, na mpaka sasa kila akikutana na MBWA kimwili huwa anajisikia maumivu.
Nimecheka sana..... Nimejaribu kuwaza.... hivi mbwa si huwa anafanya mapenzi na mbwa mwenzie...??? Ni sawa na wale wazazi wanaowatukana watoto wao .... Mbwa weeee.... Wanasahau kuwa mbwa anazaliwa na mbwa
 
Usimue ila jitahidi ufanye namna hata kwa kumtishia bastola akiri uovu wake mbele ya mkewe na wanawe. Ikibidi mteke umpeleke mahali akiri mbele ya camera alichokufanyia halafu uwape huo mkanda familia yake hiyo inatosha kabisa. Ila usiuwe .
 
unaweza kuwaficha wanadamu, lkn huwezi kumficha mwenyezi MUNGU, na adhabu yake kamwe haikwepeki. Matukio katika maisha yetu ni mzunguko wa matendo ya vizazi vilivyotangulia, chochote utakachomfanyia mtoto wa mwenzio na wako atafanyiwa hivyo hivyo, hata ukitembea na mke/mume wa mtu na wako ataliwa. Najaribu kusema kwamba tutatendewa kama tunavyowatendea wengine.

Kwa hiyo kitendo alichofanyiwa miss chagga ni matokeo ya wazazi wake pia kumfanyia binti wa mwingine unyama huo?
Na kama sivyo kwanni siyo wakati muafaka sasa wa miss chagga kumtendea bamkubwa exactly kama alivomtenda?? Mi si support kuua, vile bamkubwa hajaua. Ila na support kubakwa kama vilevile alivyombaka bi Dada.
 
miss chagga kila siku nasemaga hizi episodes mbona rahisi kuzi handle?

Technology imetusaidia vingi, kwanini uteseke? Kwanini usifurahie tendo la ndoa ati sababu ya huyo baba mkubwa?

Muwekee mtego. Hapa itahitaji umakini wa hali ya juu.

Jifanye kama unakuwa karibu nae. Lazima kwa tamaa atataka tena mzigo na sasa hivi si umependeza zaidi!

Basi sogea nae taratibu tu kisha weka mazingira ya kumwambia kuwa alivyokutoa bikra kipindi kile mpaka leo unammiss......HAKIKISHA UNAMREKODI AKICONFESS... maana bichwa lake litakuwa kubwa.

Hakikisha anaongea kila kitu, ataomba msamaha etc, mwambie wala hakuna tatizo na kilichotokea kimetokea.

Kumbuka lengo lako si kuvuruga ndoa, ila kuhakikisha analipa kwa aliyoyafanya(ingawa anahukumu Mungu tu) na wewe pia upate amani ya moyo. Wanaume wote sio m.b.w.a kama ulivyotuita.

Ukishapata record yake nzuri kabisa, wasiliana na fichua maovu(kama hautaki wasiliana na watu wa haki za akina mama).

Ingawa ushahidi wa kubakwa kwako haupo lakini sauti yake na akiconfess inaongeza uzito.

Aisee natamani hii kesi niishughulikie maana huyo baradhuli lazma aingie kingi.
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli inauma sana. Hata mm ni meanaume ila kwa upumbavu huu wakuwatesa dada dada zetu au mama zetu sikubaliani nao. What I can advice kama upo tayari kwa lolote na unahitaji kufikisha ujumbe kwa jamii juu ya ukatili kwa mtoto wa kike ..... tafuta mashine ya kupasulia mbao fanya mpango wakumkata mguu wake mmoja mpaka unatoka kabisa umpe kilema ambacho hatasahau maishani mwake kama ww unavyoteseka mpaka kesho. Nabaada ya hapo kimbilia police jisalimishe. Nawasilisha
 
Jifunze kusamehe...itakusaidia maishani,then mtafute mtu ambaye unampenda umpe mzigo kwa moyo wako wote then utaona tu raha yake
 
Kiukweli inauma sana. Hata mm ni meanaume ila kwa upumbavu huu wakuwatesa dada dada zetu au mama zetu sikubaliani nao. What I can advice kama upo tayari kwa lolote na unahitaji kufikisha ujumbe kwa jamii juu ya ukatili kwa mtoto wa kike ..... tafuta mashine ya kupasulia mbao fanya mpango wakumkata mguu wake mmoja mpaka unatoka kabisa umpe kilema ambacho hatasahau maishani mwake kama ww unavyoteseka mpaka kesho. Nabaada ya hapo kimbilia police jisalimishe. Nawasilisha
Kweli JF imesheheni watu wa aina mbalimbali.... Kuna waliosema ampe sumu, kuna wa kukata miguu kwa mashine ya mbao... Yaani, we acha tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom