unahitaji professional help (msaada wa kitabibu) psychiatric au psychologist...........
ni kweli huyo mwanaume amekuharibia maisha yako , lakini kadri muda unavyozidi kwenda utazidi kujiharibia maisha yako wewe mwenyewe.............
kitendo cha kutaka kumalizia hasira zako kwa wanaume wote kwa kitendo ulichofanyiwa na mwanaume mmoja , itakukula sana maishani............
nini ufanye.........
1. tafuta huyo mtaalamu hapo juu akusaidie uweze kutibiwa hiyo Post Traumatic Stress Syndrome.
2. hakikisha unakuwa na mwanaume ambaye unaweza kumuelezea matatizo yako kwa uwazi na akayakubali , ili akuhandle kwa care,,,,,,,, kama atajitambua na kukukubali mwisho wa siku utafurahia tendo la kujamiiana kwani atakupeleka taratibu mpaka uweze kufurahia.
3. Pull yourself out of that Mess , kama haupo tayari kutoka kwenye hiyo hali mwenyewe hata huo msaada kutoka kwenye 1 & 2 hautaweza kukusaidia.
4. sikushauri ulipe kisasi , kwani utawaumiza hata na ambao hawana hatia (kama watoto wake n.k) na pili utajiongezea stress zingine na utakosa furaha maishani , ila kama unaona ni lazima mmwagie tindikali au tafuta wazee wa kazi naye abakwe aone inafananaje.............
POLE SANA.