Chelian
Senior Member
- Oct 1, 2012
- 107
- 40
Mi pia nililiona hilo la Rais pamoja na Waziri wake kushangaa shangaa hovyo mbele ya kamera,
mi sipingi kushangaa kwao ila why washangae kinoma noma hivyo
halafu ndo wamefika tuu, hata ile kupotezea kwanza wasome ramani?
lol... Aibu si aibu sijui hata niiiteje
ndio wana haki ya kushangaa na tena ni ugenini!
Lakini ushangaaji ule Hapana!!
mi sipingi kushangaa kwao ila why washangae kinoma noma hivyo
halafu ndo wamefika tuu, hata ile kupotezea kwanza wasome ramani?
lol... Aibu si aibu sijui hata niiiteje
ndio wana haki ya kushangaa na tena ni ugenini!
Lakini ushangaaji ule Hapana!!