Ushamba wa JK na mawaziri wake Muscat

hakuna ubaya kulishangaa kasri, hata wazungu na wageni wengine huwa wanatushangaa kwa mambo mengi sana, kwa mfano jinsi unavyo fikiri!!!

Hii mada gani ya kutuletea? Wewe hujawahi kwenda sehemu kwa mara ya kwanza ukashangaa??

mbona unatoka povu? Au kwa sababu ya mdini wako kikwete
 
Rais harekebishwi Jamii forum, hapa ni chuki, lugha chafu za kuudhi, fikra finyu kwa kwenda mbele. Ila angekuwa #$%%%^^ tungesema anatafakari kwa kuangalia juu. Fanyeni analysis ya nini kimefanyika katika kipindi chake angalia miundo mbinu mfano mdogo. Kipindi cha Nyerere, Mwinyi, Mkapa na nini kila mmmoja alichokifanyia nchi kitakachodumu. Hatuangalii utakatifu hapa. Tembeeni muone. Siyo kuishia tu kwenye runinga na FB.
 
rais harekebishwi jamii forum, hapa ni chuki, lugha chafu za kuudhi, fikra finyu kwa kwenda mbele. ila angekuwa #$%%%^^ tungesema anatafakari kwa kuangalia juu. Fanyeni analysis ya nini kimefanyika katika kipindi chake angalia miundo mbinu mfano mdogo. Kipindi cha nyerere, mwinyi, mkapa na nini kila mmmoja alichokifanyia nchi kitakachodumu. Hatuangalii utakatifu hapa. Tembeeni muone. Siyo kuishia tu kwenye runinga na fb.

hapo nilipo-bold kiongozi nahisi umetumia nguvu nyingi kufikiri na si akili nyingi kufikiri....jf kuna watanzania na wananchi wake tuliomchagua kuiongoza nchi..pia tunayohaki na wajibu wa kumkosoa kiongozi wetu pindi kila mmoja wetu anapo-hisi kuwa kakosea.

Haya ya kulinganisha nani kiongozi kafanya nini nadhani ni baada ya yeye aliyepo madarakani kutoka ndipo watu watatoa tathmini yao...pia ikilinganishwa na ahadi alizoahidi wakati anapewa uongozi.

Hili la kushangaa majengo mazuri ya waarabu inajulikana dunia nzima kuwa kule hata uwe nani utashangaa...ishu hapa ni waheshimiwa wetu wakiwa katika kikao kizito ndani ya ikulu wanashangaa badala ya ku-concentrate kwenye issue za kujenga taifa na kusaini mitataba muhimu iliyowapeleka...worse enough mbele ya camera.
 
Mkuu dharau ni ipi hapo?
Ukweli ni ukweli hata kama ni mchungu.
Rubani anatuabisha sana, juzi juzi alikuwa Ghana anashangaa mananasi ya kawaida kabisa, kwa nini asiende Lushoto tu, mananasi yamejaa mpaka yanaoza.

Hakuna dharau hapo, Vasco anashangaa dhahabu ilivyopamba dali bila kuelewa kuwa huko Oman hawana mgodi wa dhahabu na kwavile hawa waarabu walikuwa watawala wa Zanzibar ya 10 mile coastal strip ya East Africa basi dhahabu pamoja na vipusa na pemebe za ndovu vyote walivitoa huku !!! Sijui kama Dhaifu hata anakumbuka historia hiyo.
 
Wewe nawe umelala usingizi, watu wanaongea wali wewe unaongea mbege.


Photo: Their Majesties. Image Credit: Mohammed Mustafa, Gulf
fo29no-oman-uk.jpg

kweli bwana nilivamia treni kwa mbeli sikusoma thread yako vizuri!
nimeona mkuu
 
walikuwa wanashangaa pamoja na kukwapua mali zetu usiku na mchana hawajafanikiwa kujenga hata nusu ya kile kitu! Waarabu ni noumer ndo maana Myaudi na Marekani hawaachi kutafuta chokochoko kila kukicha!

Waarabu ni noumer kwa kufadhili vikundi vya ugaidi Mbagala na uamsho na JK kapeleka ripoti ya mafanikio ya kupunguza idadi ya makanisa (majengo) na lawama kuwa makanisa (mioyo) yanazidi kuongezeka na waislamu wanaokoka kwa kasi
 
Chuki utakuwa nazo wewe na wala sio sisi tunaotaka kumrekebisha rais wetu.

Anatia aibu sana, kutwa kuzurura duniani kwa kodi zetu wakati nchi yetu inazidi kuchoka zaidi.

Mama Salma naye ameanza kulalamika pia, maana Rubani siku hizi anasafiri mwenyewe na kumwacha mkewe bongo, kisa ana mtoto mchanga.

Kumbe mama Salma ananyonyesha; ndio maana jamaa amekwenda na yule mbunge aliyemteua na kupa uwaziri kwemye huo msafara!! Vasco ndio mwenyewe kwa zile mambos!!
 
Waarabu ni noumer kwa kufadhili vikundi vya ugaidi Mbagala na uamsho na JK kapeleka ripoti ya mafanikio ya kupunguza idadi ya makanisa (majengo) na lawama kuwa makanisa (mioyo) yanazidi kuongezeka na waislamu wanaokoka kwa kasi

[h=1]Mashambulizi ya kuogofya Nigeria[/h]
16 Oktoba, 2012 - Saa 10:20 GMT



120501184938_maiduguri_304x171_bbc_nocredit.jpg
Waathiriwa wa mapigano mjini Maiduguri


Milipuko ya sauti ya juu pamoja na milio ya risasi ilisikika leo mjini Maiduguri, Kaskazini mwa Nigeria, mji ambao umeshuhudia ghasia na vurugu zinazosababishwa na kundi haramu la wapiganaji wa kiisilamu la Boko Haram.
Taarifa kuhusu mashambulizi hayo bado hazijatolewa , lakini inaarifiwa angalau watu kumi wameuawa ikiwemo wanajeshi kadhaa.
 
Nilikuwa naangalia habari katika kituo kimoja cha runinga, nikaona mapokezi waliyopewa popo JK na vibaraka wake kwenye kasri la Sultan huko Muscat, kilichonivutia ni jins ****** na vibaraka wake walivyokuwa wanashangaa paa la kasri la sultan! Duh! Wote walikuwa wakiinua vichwa juu bila kujali kamera zilizokuwa mbele yao. Nikagundua kwa nn viongoz wetu wanapenda kusafiri, hakuna chochote cha maana zaidi ya kwenda kushangaashangaa nchi za watu. Kwa nn na nyie msiijenge Tanganyika yenu wenzenu waje kushangaa?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Ushamba huu wa hali ya juu niliuona jana tena mkulu mwenyewe pamoja na Membe ndo walilishangaa paa kupita kiasi. Nusura nizime TV kusitiri aibu ya rais wangu kwani haikuwa comfortable kabisa kumwona rais wangu akishangaa dari ya kasri kana kwamba ni mara ya kwanza kusafiri nje ya nchi!!!!!. Kwani huwa hawapewi orientation kwanza au akipanga safari usiku anaondoka asubuhi?
 
Rais harekebishwi Jamii forum, hapa ni chuki, lugha chafu za kuudhi, fikra finyu kwa kwenda mbele. Ila angekuwa #$%%%^^ tungesema anatafakari kwa kuangalia juu. Fanyeni analysis ya nini kimefanyika katika kipindi chake angalia miundo mbinu mfano mdogo. Kipindi cha Nyerere, Mwinyi, Mkapa na nini kila mmmoja alichokifanyia nchi kitakachodumu. Hatuangalii utakatifu hapa. Tembeeni muone. Siyo kuishia tu kwenye runinga na FB.

Ujinga huwa haukosekani kwenye mambo ya msingi. Wenzako wanakwenda kulia wewe unakwenda kushoto, wapi na wapi broo!!!
 
acha uongo malkia wa uingereza mara ya mwisho kuja ilikuwa kabla ya uhuru wa tanganyika!

We obama wa bongo ndo hujaelewa! Anasema malikia wa uingereza alipotembelea kwenye jumba hilo huko uarabuni aliko Rubani wetu!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Chuki utakuwa nazo wewe na wala sio sisi tunaotaka kumrekebisha rais wetu.

Anatia aibu sana, kutwa kuzurura duniani kwa kodi zetu wakati nchi yetu inazidi kuchoka zaidi.

Mama Salma naye ameanza kulalamika pia, maana Rubani siku hizi anasafiri mwenyewe na kumwacha mkewe bongo, kisa ana mtoto mchanga.


Mkuu ni kweli ana mtoto mchanga?
 
We obama wa bongo ndo hujaelewa! Anasema malikia wa uingereza alipotembelea kwenye jumba hilo huko uarabuni aliko Rubani wetu!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Nimesha muelewa kaka!
nilisoma juu juu
thanx kwa umakini wako!
 
Wasi wasi wangu ni pale atakapoamua kujenga lake kule Msoga kwa ela ya watz
 
Nilikuwa naangalia habari katika kituo kimoja cha runinga, nikaona mapokezi waliyopewa popo JK na vibaraka wake kwenye kasri la Sultan huko Muscat, kilichonivutia ni jins ****** na vibaraka wake walivyokuwa wanashangaa paa la kasri la sultan! Duh! Wote walikuwa wakiinua vichwa juu bila kujali kamera zilizokuwa mbele yao. Nikagundua kwa nn viongoz wetu wanapenda kusafiri, hakuna chochote cha maana zaidi ya kwenda kushangaashangaa nchi za watu. Kwa nn na nyie msiijenge Tanganyika yenu wenzenu waje kushangaa?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Unajua inabidi kuwaheshimu viongozi wetu? Assuming angekuwa baba yakob ungeweza kuandika maneno ya namna hii juu yake? Kama sivyo, kwa nini uandike juu ya hawa watu heading ya kuwakashfu hivyo, hata kama wasingekuwa viongozi wa Taifa? Heshimuni mamlaka iliyopo madarakani hata kama hamuipendi, ni Mungu ameiruhusu kuwepo pale vinginevyo isingekuwepo. T

uachaneni na kashfa na kudharauliana, mimi huwa ninaamini mtu ambaye anaonyesha dharau kwa mtu mwingine bila sababu ya Msingi, ni yeye mwenyewe huwa amejidharau kwanza, au huwa an-feel kudharauliwa sometimes, hivyo na yeye anajaribu kulazimisha kudharau hata wale ambao hawezi kuwadharau ili afidie gap la majeraha yake. Kuonyesha dharau kwa wenzako bila sababu za Msingi ni utumwa!
 
Walikuwa wanaangalia usanifu wa hilo jengo make kuna mpango wa kujenga jiji jipya la Kisasa kule Kigamboni labda hilo kasiri litahamishwa zimazima mazee huwezi jua. Hivi naomba niulize baba anayependa kusafiri mbali na familai yake na yule anaye kaa na familia yake kwa muda mrefu, ni nani kati ya hawa atajua matatizo ya familia yake na kuyatatua? Tafakari chukua hatua!!!!!!!!!!!!!
 
Unajua inabidi kuwaheshimu viongozi wetu? Assuming angekuwa baba yakob ungeweza kuandika maneno ya namna hii juu yake? Kama sivyo, kwa nini uandike juu ya hawa watu heading ya kuwakashfu hivyo, hata kama wasingekuwa viongozi wa Taifa? Heshimuni mamlaka iliyopo madarakani hata kama hamuipendi, ni Mungu ameiruhusu kuwepo pale vinginevyo isingekuwepo. T

uachaneni na kashfa na kudharauliana, mimi huwa ninaamini mtu ambaye anaonyesha dharau kwa mtu mwingine bila sababu ya Msingi, ni yeye mwenyewe huwa amejidharau kwanza, au huwa an-feel kudharauliwa sometimes, hivyo na yeye anajaribu kulazimisha kudharau hata wale ambao hawezi kuwadharau ili afidie gap la majeraha yake. Kuonyesha dharau kwa wenzako bila sababu za Msingi ni utumwa!

kikwete+na+mkewe.jpg


wanafunzi+hawana+madawati-kinole.JPG


2696735731_25cd381cd9_o.jpg
 
Waarabu ni noumer kwa kufadhili vikundi vya ugaidi Mbagala na uamsho na JK kapeleka ripoti ya mafanikio ya kupunguza idadi ya makanisa (majengo) na lawama kuwa makanisa (mioyo) yanazidi kuongezeka na waislamu wanaokoka kwa kasi

mkuu naona umejikita kwenye udini, mi sipo huko nina heshima kwa imani ya kila mmoja siamini dunia nzima ikiwa na wakristo ndo kutakuwa na amani duniani bali itakuwa ni chachu ya kutafuta kuwatenga zaidi eg kimadhehebu so am not on your side on that point!!!!!!!!!!
 
mkuu naona umejikita kwenye udini, mi sipo huko nina heshima kwa imani ya kila mmoja siamini dunia nzima ikiwa na wakristo ndo kutakuwa na amani duniani bali itakuwa ni chachu ya kutafuta kuwatenga zaidi eg kimadhehebu so am not on your side on that point!!!!!!!!!!

Najua, lakini kwa wiki niache nitiririke kiudini, hawa washenzyy wamevuka mpaka.......tuonane wiki ijayo kwa post murua kuberwa
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom