Umeona eeehwanakagua vizuri ramani ili waje kujenga huku bongo
Siku si nyingi utaona hawa viongozi wetu nao wanajenga kama haya.
Umeona eeehwanakagua vizuri ramani ili waje kujenga huku bongo
ye mwenyewe hajiheshimu, kwa nini aheshimiwe!!! Hana maana, ni janga taifani mwetu!acheni kumdharau rais wetu. Unajua uchaguzi ulishapita kwa nini tusimheshimu tu? Ni wazo tu sikulazimishi.
acha uongo malkia wa uingereza mara ya mwisho kuja ilikuwa kabla ya uhuru wa tanganyika!Hata Malkia wa Uingereza alipotembelea hapo alitazama juu, kile kinaitwa chumba cha dhahabu na hakifunguliwi ila siku ya ujio wa Wageni wa Kitaifa wanaopigiwa mizinga 21. Hapo sasa. Nna uhakika unatamani kujuwa walikuwa wanashangaa nini kilichopo juu hapo. Niulize nikujuze.
Haya tena wazee wa kukuza mambo na vitu vidogo vidogo. Nani asiyeshanga akiona kitu kigeni kwake? Hata uliyeanzisha thread hii ulimshangaa Kikwete alivyokuwa anashangaa. Kwa kuwa kushangaa kwa kikwete ni jambo geni na jipya kwako ulishangaa ndio maana umetuambia hapa. Punguzeni kuanzisha mambo madogomadogo. Ni wakati wa Moderator kuhakiki na kuondoa vitu vidogovidogo kama hivi.
Watu wasitetee ujinga wa viongozi wetu hapa. Hii ni aibu na wala sio ufahari.
Yaani viongozi wa Tanzania wako ikulu ya Muscat wanafanya mazungumzo na mfalme wa Oman, macho na mawazo yao yako kwenye kuta na paa la ikulu ya mascat na sio kinachozunguzwa!!
Wameenda Ikulu kushangaa au kufanya mazungumzo?
ye mwenyewe hajiheshimu, kwa nini aheshimiwe!!! Hana maana, ni janga taifani mwetu!
Siwezi kusupport upumbavu kama huu.Mkuu dharau ni ipi hapo?
Ukweli ni ukweli hata kama ni mchungu.
Rubani anatuabisha sana, juzi juzi alikuwa Ghana anashangaa mananasi ya kawaida kabisa, kwa nini asiende Lushoto tu, mananasi yamejaa mpaka yanaoza.
Wewe huna akili, the same category na huyo sleeping mode Pilot.Haya tena wazee wa kukuza mambo na vitu vidogo vidogo. Nani asiyeshanga akiona kitu kigeni kwake? Hata uliyeanzisha thread hii ulimshangaa Kikwete alivyokuwa anashangaa. Kwa kuwa kushangaa kwa kikwete ni jambo geni na jipya kwako ulishangaa ndio maana umetuambia hapa. Punguzeni kuanzisha mambo madogomadogo. Ni wakati wa Moderator kuhakiki na kuondoa vitu vidogovidogo kama hivi.
kichenchede kimerudi!Hata Malkia wa Uingereza alipotembelea hapo alitazama juu, kile kinaitwa chumba cha dhahabu na hakifunguliwi ila siku ya ujio wa Wageni wa Kitaifa wanaopigiwa mizinga 21. Hapo sasa. Nna uhakika unatamani kujuwa walikuwa wanashangaa nini kilichopo juu hapo. Niulize nikujuze.
hahahahahaaa......hasira zote hizo kumbe issue ni Dr. Slaa tu!:eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows:Tafuta kazi za kufanya mbona ujamshauri Dokta Slaa aache kwenda Vatican kila mwezi.
unaumwa mavi kama sio uharo.Nilikuwa naangalia habari katika kituo kimoja cha runinga, nikaona mapokezi waliyopewa popo JK na vibaraka wake kwenye kasri la Sultan huko Muscat, kilichonivutia ni jins ****** na vibaraka wake walivyokuwa wanashangaa paa la kasri la sultan! Duh! Wote walikuwa wakiinua vichwa juu bila kujali kamera zilizokuwa mbele yao. Nikagundua kwa nn viongoz wetu wanapenda kusafiri, hakuna chochote cha maana zaidi ya kwenda kushangaashangaa nchi za watu. Kwa nn na nyie msiijenge Tanganyika yenu wenzenu waje kushangaa?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Nilikuwa naangalia habari katika kituo kimoja cha runinga, nikaona mapokezi waliyopewa popo JK na vibaraka wake kwenye kasri la Sultan huko Muscat, kilichonivutia ni jins ****** na vibaraka wake walivyokuwa wanashangaa paa la kasri la sultan! Duh! Wote walikuwa wakiinua vichwa juu bila kujali kamera zilizokuwa mbele yao. Nikagundua kwa nn viongoz wetu wanapenda kusafiri, hakuna chochote cha maana zaidi ya kwenda kushangaashangaa nchi za watu. Kwa nn na nyie msiijenge Tanganyika yenu wenzenu waje kushangaa?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
hahahahahaaa......hasira zote hizo kumbe issue ni Dr. Slaa tu!:eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows: