Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Mashambulizi ya kuogofya Nigeria
Waathiriwa wa mapigano mjini Maiduguri
Ndio maana nimetumia siku hizi kupinga viboko haramu vya mbagala....
Mashambulizi ya kuogofya Nigeria
Waathiriwa wa mapigano mjini Maiduguri
Kitu kama kigeni kwako lazima ushangae wazungu mbona wanatoka Marekani Ulaya wanakuja kumshangaa Fisi anakunywa maji.
Rais harekebishwi Jamii forum, hapa ni chuki, lugha chafu za kuudhi, fikra finyu kwa kwenda mbele. Ila angekuwa #$%%%^^ tungesema anatafakari kwa kuangalia juu. Fanyeni analysis ya nini kimefanyika katika kipindi chake angalia miundo mbinu mfano mdogo. Kipindi cha Nyerere, Mwinyi, Mkapa na nini kila mmmoja alichokifanyia nchi kitakachodumu. Hatuangalii utakatifu hapa. Tembeeni muone. Siyo kuishia tu kwenye runinga na FB.
Chuki utakuwa nazo wewe na wala sio sisi tunaotaka kumrekebisha rais wetu.
Anatia aibu sana, kutwa kuzurura duniani kwa kodi zetu wakati nchi yetu inazidi kuchoka zaidi.
Mama Salma naye ameanza kulalamika pia, maana Rubani siku hizi anasafiri mwenyewe na kumwacha mkewe bongo, kisa ana mtoto mchanga.
huko uarabuni wamefata kubembeleza wawekezaji au? au wanataka watulipe fidia jinsi wwaliyotesa babu zetu utumwani?
Hizi ndio sare mpya za wafungwa Tanzania?Ndio mlivyodanganywa?
Na hawa no wajomba zako? wanateswa na shangazi zako?
Na hapa unadhani Sultan alikuwa anashangaa nini!!??
dogo acha 'kujipendekeza'.... huwezi kumdharau rais wako kwa kumuita 'popo'! shame of you! naona uhuru wako umezidi mipaka hata unamtuka baba wa seriakali yetu! take care somebody might come behind your neck! nakushauri tu my dogo, usicheze na serikali like that! utajuta!Nilikuwa naangalia habari katika kituo kimoja cha runinga, nikaona mapokezi waliyopewa popo JK na vibaraka wake kwenye kasri la Sultan huko Muscat, kilichonivutia ni jins ****** na vibaraka wake walivyokuwa wanashangaa paa la kasri la sultan! Duh! Wote walikuwa wakiinua vichwa juu bila kujali kamera zilizokuwa mbele yao. Nikagundua kwa nn viongoz wetu wanapenda kusafiri, hakuna chochote cha maana zaidi ya kwenda kushangaashangaa nchi za watu. Kwa nn na nyie msiijenge Tanganyika yenu wenzenu waje kushangaa?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Unataka kutuambia Fisi wa Marekani Ulaya hawanywi maji?
Nilikuwa naangalia habari katika kituo kimoja cha runinga, nikaona mapokezi waliyopewa popo JK na vibaraka wake kwenye kasri la Sultan huko Muscat, kilichonivutia ni jins ****** na vibaraka wake walivyokuwa wanashangaa paa la kasri la sultan! Duh! Wote walikuwa wakiinua vichwa juu bila kujali kamera zilizokuwa mbele yao. Nikagundua kwa nn viongoz wetu wanapenda kusafiri, hakuna chochote cha maana zaidi ya kwenda kushangaashangaa nchi za watu. Kwa nn na nyie msiijenge Tanganyika yenu wenzenu waje kushangaa?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Hawezi kulalamika maana anajua wako wengi.