huyu mleta mada si ndio alichokifanya ametahadharisha, ameeleza maeneo na majina ametaja au mwenzetu umelegea kabla ya jua kaliJukumu la ulinzi na kuangalia nyendo zinazotia shaka sidhani kama ni la vyombo vya ulinzi na usalama pekee...hata wewe mwananchi mchango wako ni mkubwa,unatakiwa kutoa taarifa badala ya kulalama!
weka ushahidi wa yeye kuhusika na alshabab na kutengeneza cd hizo.
Jukumu la ulinzi na kuangalia nyendo zinazotia shaka sidhani kama ni la vyombo vya ulinzi na usalama pekee...hata wewe mwananchi mchango wako ni mkubwa,unatakiwa kutoa taarifa badala ya kulalama!
Kama ni hivyo hata hizi movie zinazoonyesha mafunzo ya kivita na zenyewe zipigwe marufuku?, tusitake kukuza vitu kijingajinga na kueneza mambo ya kijinga kama ni masuala ya kufundisha watu uharamia tumeshuhudia CCM wakiweka makambi yao na kufundisha watu jinsi ya kudhuru binadamu wenzao na hata kuwaua nafikiri tungeanzia na hapo ndio tuangalie haya mengine.
Hapana lolote hapa ni chuki za kidini inawezeka huyu jamaa ana msimamo mzuri tu wadini yake, maana hapa sio wageni wa haya kila mwenye msimamo wa dini ile kuitwa gaidi.
Jukumu la ulinzi na kuangalia nyendo zinazotia shaka sidhani kama ni la vyombo vya ulinzi na usalama pekee...hata wewe mwananchi mchango wako ni mkubwa,unatakiwa kutoa taarifa badala ya kulalama!
Sasa wewe Horseshoe Arch ulitaka atoe taarifa zipi zaidi ya hizo,na amelalama nini hapo,au na wewe ni mtu wa usalama unataka kuanza kukwepa majukumu yako kama ilivyo kawaida yenu ya kusubiria walipue watu ndio mjifanye kufuatilia!Jukumu la ulinzi na kuangalia nyendo zinazotia shaka sidhani kama ni la vyombo vya ulinzi na usalama pekee...hata wewe mwananchi mchango wako ni mkubwa,unatakiwa kutoa taarifa badala ya kulalama!
Habari zenu wakuu nachukua hatua hii muhimu kwa ajili ya kuokoa nchi yangu ya tanzania dhidi ya mtu huyu ambaye ni wazi kabisa anauhusiano na kikundi cha alshaba cha nchini somalia.
Huyu bwana anatumia mtandao wa FACEBOOK kueneza mafunzo yake anakwenda kwa jina la KIO NGOZI. Ameandaa CD za mafunzo ya kujitoA muhanga na chuki dhidi ya watu wa dini nyingine pia kuna CD ya maelekezo juu tya kutumia bunduki aina ya AK 47.
Ana wafuasi wengi sana akiwemo AZIZI JUMA ambaye ni askari wa jeshi la wananchi wa Tanzania kambi ya ANGA PASIANSI MWANZA.
Chukueni hatua mapema dhidi ya watu hawa kabla hawajaleta madhara hapa nchini kama wale wa kilindi manake pia wana mahusiano nao pia.
Habari zenu wakuu nachukua hatua hii muhimu kwa ajili ya kuokoa nchi yangu ya tanzania dhidi ya mtu huyu ambaye ni wazi kabisa anauhusiano na kikundi cha alshaba cha nchini somalia.
Huyu bwana anatumia mtandao wa FACEBOOK kueneza mafunzo yake anakwenda kwa jina la KIO NGOZI. Ameandaa CD za mafunzo ya kujitoA muhanga na chuki dhidi ya watu wa dini nyingine pia kuna CD ya maelekezo juu tya kutumia bunduki aina ya AK 47.
Ana wafuasi wengi sana akiwemo AZIZI JUMA ambaye ni askari wa jeshi la wananchi wa Tanzania kambi ya ANGA PASIANSI MWANZA.
Chukueni hatua mapema dhidi ya watu hawa kabla hawajaleta madhara hapa nchini kama wale wa kilindi manake pia wana mahusiano nao pia.
Hapana lolote hapa ni chuki
za kidini inawezeka huyu jamaa ana msimamo mzuri tu wadini yake, maana
hapa sio wageni wa haya kila mwenye msimamo wa dini ile kuitwa
gaidi.