huyu mleta mada si ndio alichokifanya ametahadharisha, ameeleza maeneo na majina ametaja au mwenzetu umelegea kabla ya jua kaliJukumu la ulinzi na kuangalia nyendo zinazotia shaka sidhani kama ni la vyombo vya ulinzi na usalama pekee...hata wewe mwananchi mchango wako ni mkubwa,unatakiwa kutoa taarifa badala ya kulalama!