Usalama wa Taifa: Mpo likizo?

Status
Not open for further replies.
Usalama wa Taifa umeshindwa kucrack down pesa za Rostam Aziz au Patel. Who knows labda pesa za hawa watu zinafund magaidi? Who knows labda pesa zao ndio zinatumika kununua cockain and cracks kutoka Afrighanstan and Pakistan?

TISS is a political organization, ambayo ipo pale kulinda watu wachache.

Ili tufike safari yetu, we need Mahakama inayojitegemea na isiyohusiana na serikali, otherwise we will keep witnessing same thing over and over again.

Ndugu Mtanganyika, je, unasahau kuwa uchunguzi wa akina R.A na Patel bado unaendelea? na kwamba umefikia hatua fulani? Pengine tusubiri hawa jamaa wahitimishe kazi hii na tuwa evaluate?

Hii mahakama unayoongelea...ya kadhi au vipi?
 
One may ask what is Usalama wa Taifa? je usalama wa taifa ni kulinda kushambuliwa, kupinduliwa na kuwadhuru viongozi wakuu? what about security of Wananchi, security of mali and natural resources, security of our well being?

Reverend, tunashukuru sana kwa analysis nzuri na ya kizalendo hasa.
Maswali haya ni muhimu sana kujiuliza sio JF tu ambao tunaonekana kama washambenga; haya ni msawali wanayotakiwa kujiuliza TISS wenyewe kama idara ya Serikali. Iwe ni kama kioo cha kujiangalia kama wako safi au walishapoteza mvuto.

Inaonekana Watanzania hatuna pa kukimbilia. TISS ilikuwa ndio tumaini letu lakini ndio imegeuka kuwa ni kama baba anaelazimisha mtoto wake wa miaka 12 aolewe ili apate pesa ya wanzuki.

Hii kazi inayofanywa na JF ilitakiwa iwe ni kazi yao; hizi taarifa zinazopatikana humu walitakiwa ndio iwe chanzo muhimu sana kwa wao kupata taarifa kujua waanzie wapi kazi zao. Kama kweli wameamua kufanya kazi ya kuwasaka watanzania wa JF ili kuwadhibiti basi ujue tumeshauzwa.

Reverend nafikiri unakumbuka yale maandiko yanasema "Yeye asiye kinyume nasi yu upande wetu".

From that, someone can easly and logically deduce that:
  • JF inapigana dhidi ya mafisadi;
  • TISS haifurahii juhudi za JF;
  • TISS iko kinyume na vita dhidi ya ufisadi.
  • TISS haiko upande wetu;
  • TISS ni mafisadi.
 
Oh Lord! Sio kwamba hawafahamu pesa zimekwenda wapi au nani kachukua. Hakuna pesa inayotoka Benki bila kujulikana inakokwenda ............muda wa kuwakamata na kuwawajibisha haujafika, Uamuzi ukitoka leo yote yatawekwa hadharani. Tatizo ni usanii tu kila kitu kiko wazi.
 
On January 20th 1997, Mr. Benjamin William Mkapa the then president of United republic of Tanzania signed an Act to establish Tanzania Intelligence and Security Services, famoulsy known as TISS or Usalama wa Taifa.

Naona mwaka mmoja baadaye Kenya nao walifanya restructuring kwao vile vile, jee hii ilikuwa ni kwa ajili ya EAF?

National Security Intelligence Service (NSIS)

In 1998, a new act of Parliament in Kenya established the National Security Intelligence Service (NSIS) to replace the former Directorate of Security Intelligence which was commonly known as the "Special Branch" and which was part of the Kenya Police Department.

The NSIS brief, like all other intelligence organisations, is to gather and exploit secret information. It identifies conditions that threaten Kenya's political, economic and social stability. It subsequently develops opportunities and strategies to neutralise such threats.

In May 1999, President Daniel arap Moi appointed retired Brig. Wilson Bonett to head NSIS whose intelligence gathering work includes: internal, external and strategic intelligence. NSIS is divided into seven sections:

1. Administration
2. Information technology
3. Internal intelligence
4. External intelligence
5. Economic affairs
6. Operations
7. National Intelligence Academy

It changed name and relocated from its notorious Nyati House offices to new headquarters on the outskirts of the city, near the Windsor Golf and Country Hotel. As the Director general of NSIS, Retired Brig. Boinet is the principle advisor of the President on matters relating to national security. In April 1999, the Moi government appointed Mrs Pamela Mboya, the former Permanent representative to the Habitat, to head a Committee that was charged with formulating a scheme of service for NSIS officers.

Security of tenure given the director of NSIS is designed to protect him from such abuse by members of the governing elite. He has the opportunity to say 'no' to any unlawful or sectarian instructions from his bosses without fear of losing his job.

The position of intelligence boss is, therefore, crucial in maintaining democratic balance and, in Kenya's case, from taking it back to the torture chambers.
 
respect wachangiaji, respect rev, tz bwana hizi agencies its like they are virtually absent!kwa espionage, watu wanakuja tz wanafanya wanachotaka na wanaondoka, its a disgrace! luck enough ni kwamba hatuna maadui wengi waliotukamia otherwise ingekua misiba haiishi tz.hata presidaa wanavyomuanikaga namna ile ingekua hatari.ningeshauri kungekua na central agency ambayo ingesimamia other agencies ambazo zina tasks tofauti kama gathering internal na external intel,offensive intel, nyinginezo kusimamia rasilimali na uchumi in general, n.k, na watu wanaoajiriwa wawe competent according to their departments.RIP Walingozi.
 
Good analysis Rev.; ikitokea vita vya kigaidi, magonjwa na hata uhamisho wa mabilioni ya fedha hao TISS, TAKUKURU na wengine wameshindwa kutulinda. Kisa, eti JF inachochea! Ish!

Mie naona hawa wanausalama wana bifu na JF kwani kinamna tunawakumbusha kuwa hawafanyi kazi wanayotakiwa kufanya. Hebu jamani tujiulize...nchini Marekani, mtu awaye yote akideposit kiasi kinachozidi $9,999 ni lazima aripotiwe FBI (iwe ni kawaida/halali au sio kawaida/halali). Na mabenki yanatakiwa kuripoti nyendo zisizo za kawaida k.v. mtu anayejulikana kupata mshahara wa $1000 kwa mwezi na mara ana deposit $7,000 mara tatu kwa mwezi, huyo atachukuliwa tahadhari. Hivi kweli mabenki nyumbani yana sheria kama hii? Je hivi vyombo vya usalama (mind you, TISS na Jeshi la Polisi wana watu wao huko BoT) vilikuwa wapi wakati tulipoibiwa mabilioni? Kwanini hawakuwashuku na kuwachunguza wahusika kama vile Mh. Mramba?

Najiuliza, hivi kwanini serikali haitumii mabilioni yanayokwenda kununulia mashangingi ya mawaziri wasio na msingi, kununulia vifaa vya kuboresha majeshi yetu ya usalama? Au walau kuelimisha wananchi namna ya kujiandaa na mabaa kama ya mafuriko, moto nk? Kama POLISI walishindwa kuzuia kuyeyuka kwa Jeetu Patel huku wakijua amekwiba fedha nyingi tu za umma, wana (POLISI) biashara gani na JF inayoonesha udhaifu huu?

Mchungaji, topic nzuri na pengine wanaJF watafanya kile tunachojua kukifanya...kubadilishana mawazo na kutoa ushauri nasaha wa bure kwa serikali yetu!
 
Icadon,

Do we need to disband and reconstruct TISS, PCCB, DPP and DCI? Can each one of them have a director general ambaye anaidhinishwa na Bunge?

Then wakuu wa JWTZ, Magereza, Polisi na AG nao wadhinishwe na Bunge?
 
Icadon,

Do we need to disband and reconstruct TISS, PCCB, DPP and DCI? Can each one of them have a director general ambaye anaidhinishwa na Bunge?

Then wakuu wa JWTZ, Magereza, Polisi na AG nao wadhinishwe na Bunge?

Rev. Kwa maoni yangu PCCB, DCI ziwe chini ya TISS, na DG wao aidhinishwe na Bunge.

Alafu wizara ya sheria na katiba na hii ya mambo ya ndani zingeunganishwa...

Hivi DMI hiko chini ya TISS?
 
Rev. Kwa maoni yangu PCCB, DCI ziwe chini ya TISS, na DG wao aidhinishwe na Bunge.

Alafu wizara ya sheria na katiba na hii ya mambo ya ndani zingeunganishwa...

Hivi DMI hiko chini ya TISS?

Sorry lad, what is DMI?
 
Directorate of Military Intelligence.
Wewe uliongea kiruga sikukuelewa mapema.

I would have thought DMI is under TPDF and has colaboration efforts with TISS when it comes to mambo ya Ujasusi kwa kulinda mipaka na interest za nchi ambazo zitalazimu Jeshi liingilie kati na kufanya kazi yake.

By the way, yule Jasusi wa kwanza kufungwa Tanzania in 80's alikuwa akiitwa nani vile? Was it Zomba/Zangira or something? nakumbuka alikuwa akifanya kazi Kilimanjaro Hotel. Je bado yupo hai?
 
Wewe uliongea kiruga sikukuelewa mapema.

I would have thought DMI is under TPDF and has colaboration efforts with TISS when it comes to mambo ya Ujasusi kwa kulinda mipaka na interest za nchi ambazo zitalazimu Jeshi liingilie kati na kufanya kazi yake.

By the way, yule Jasusi wa kwanza kufungwa Tanzania in 80's alikuwa akiitwa nani vile? Was it Zomba/Zangira or something? nakumbuka alikuwa akifanya kazi Kilimanjaro Hotel. Je bado yupo hai?

Najua Lt Gen Imran Kombe(RIP) alitokea huko DMI.
Unajua kwa nini nimeuliza?maan kuna a lot of TISS agents ambao wako DMI na ni active TPDF na TISS vile vile.

Sijui kuhusiana na huyo jamaa.
 
Najua Lt Gen Imran Kombe(RIP) alitokea huko DMI.
Unajua kwa nini nimeuliza?maan kuna a lot of TISS agents ambao wako DMI na ni active TPDF na TISS vile vile.

Sijui kuhusiana na huyo jamaa.

It is easy to move from DMI to TISS one would think than moving from TISS to DMI especially as a ranking officer!

I think his name wa Juma Thomas Zangira!
 
It is easy to move from DMI to TISS one would think than moving from TISS to DMI especially as a ranking officer!

I think his name wa Juma Thomas Zangira!

Back to the Topic,

Tanzania kuna security Organ(s) ngapi, TISS imegawanyika vipi(Vitengo)?
 
Back to the Topic,

Tanzania kuna security Organ(s) ngapi, TISS imegawanyika vipi(Vitengo)?

You are asking a wrong guy! Muulize Dar Es Salaam, Kulikoni na Binti Thumuni.

I would have thought that using the American model of security and intelligent system tulipaswa kuwa na;-

  • NSA, ambayo ingekusanya CDF, IGP, DMI, TISS na Waziri wa mambo ya Ndani
  • TISS modeled after CIA, MI6 and working with Jeshi
  • DCI ambayo ingekuwa kama FBI, Surete na MI5
  • PCCB, DEA, FCU (Financial crimes Unit), FFU, Polisi, Uhamiaji na Magereza chini ya wizara ya mambo ya ndani.
Halafu kuwe na Kitengo maalumu kwa ajili ya Walinzi wa Raisi.

Lakini kwa kuwa TISS ni kama NSA, basi ningekuwa mwenye madaraka ningeigawanya namna hii;

  1. Internal Intelligence services
  2. External clandestine unit
  3. Research
  4. IT and Financial Intelligence
  5. Anti Terrorism & Guerilla Movements
Mengine unaweza jazia...

Tuendelee.
 
Naomba turudi kwenye hoja asili, maana naona tumepotea na kuanza kuulizana ni vipi idara zimegawanyika na mipango mingine.

Swali ni kwa nini vyombo hivi vimekuwa dhaifu kufanya kazi zao kwa makini? je ni udhaifu wa makusudi au ni ukosefu wa watendaji makini ambao kumechlea kulea uzembe?

Would we have seen this kind of crap let say 1984?
 
You are asking a wrong guy! Muulize Dar Es Salaam, Kulikoni na Binti Thumuni.

I would have thought that using the American model of security and intelligent system tulipaswa kuwa na;-

  • NSA, ambayo ingekusanya CDF, IGP, DMI, TISS na Waziri wa mambo ya Ndani
  • TISS modeled after CIA, MI6 and working with Jeshi
  • DCI ambayo ingekuwa kama FBI, Surete na MI5
  • PCCB, DEA, FCU (Financial crimes Unit), FFU, Polisi, Uhamiaji na Magereza chini ya wizara ya mambo ya ndani.
Halafu kuwe na Kitengo maalumu kwa ajili ya Walinzi wa Raisi.

Lakini kwa kuwa TISS ni kama NSA, basi ningekuwa mwenye madaraka ningeigawanya namna hii;

  1. Internal Intelligence services
  2. External clandestine unit
  3. Research
  4. IT and Financial Intelligence
  5. Anti Terrorism & Guerilla Movements
Mengine unaweza jazia...

Tuendelee.
Mfano wa uganda wana
CMI(Military Intel)
ISO(Internal Sec Org)
ESO(External Sec ORG)
PGB(Presidential Guard Brigade)
Inspector General of Government
Polisi

Ukiangalia US wana Organs nyingi tukianza kuzilist hapa tutajaza Page nzima,
ila kwa kuanzia tunaanza na Intelligence Community ambayo inashirikiana na,

# Director of National Intelligence
# Undersecretary of Defense for Intelligence
# Air Force Intelligence
# Army Intelligence
# Central Intelligence Agency
# Coast Guard Intelligence
# Defense Intelligence Agency
# Department of Energy
# Department of Homeland Security
# Department of State
# Department of the Treasury
# Drug Enforcement Administration
# Federal Bureau of Investigation
# Marine Corps Intelligence
# National Geospatial-Intelligence Agency
# National Reconnaissance Office
# National Security Agency
# Navy Intelligence
 
IDARA YA USALAMA WA TAIFA IMESHINDWA KUFANYA KAZI YAKE


Hoja za Mwafrika wa Kike, Happness Katabazi, Rev. Kishoka na wengine kuhusu Idara ya Usalama wa Taifa ni za msingi na Idara hiyo inatakiwa kuzifanyia kazi ili kudumisha imani ya wananchi kwa chombo hiki.

Pamoja na kukubali ukweli juu ya mapungufu yaliyoelezwa ni vizuri pia tukumbuke kuwa yapo mazuri mengi tu yaliyofanywa na Idara hiyo. Kwa msingi huo kukihukumu chombo hicho kuwa hakifai, kimeshindwa kufanya kazi yake ni hoja ambayo inahitaji kutazamwa kwa mapana zaidi.

Tanzania ni nchi inayosifika barani Afrika na hata ulimwenguni kuwa ni nchi ya amani na utulivu. Je Idara ya Usalama wa Taifa haina mchango wake katika hili? Sipingi kitendo cha kuikosoa Idara ya Usalama wa Taifa lakini pia ni vizuri tufahamu kuwa kwa misingi ya utendaji kazi wa Idara hizo duniani, mara nyingi siyo rahisi kutambua mafanikio yao kwa kuwa hazifanyi kazi kwa kujitangaza kama zilivyo taasisi nyingine.
 
Good analysis Rev.; ikitokea vita vya kigaidi, magonjwa na hata uhamisho wa mabilioni ya fedha hao TISS, TAKUKURU na wengine wameshindwa kutulinda. Kisa, eti JF inachochea! Ish!

Mie naona hawa wanausalama wana bifu na JF kwani kinamna tunawakumbusha kuwa hawafanyi kazi wanayotakiwa kufanya. Hebu jamani tujiulize...nchini Marekani, mtu awaye yote akideposit kiasi kinachozidi $9,999 ni lazima aripotiwe FBI (iwe ni kawaida/halali au sio kawaida/halali). Na mabenki yanatakiwa kuripoti nyendo zisizo za kawaida k.v. mtu anayejulikana kupata mshahara wa $1000 kwa mwezi na mara ana deposit $7,000 mara tatu kwa mwezi, huyo atachukuliwa tahadhari. Hivi kweli mabenki nyumbani yana sheria kama hii?

ningependa kukufahamisha kuwa tanzania pia tunayo sheria ya namna hiyo kama unayoitaja. inaitwa money laundering act. katika sheria hii mabenki yanatakiwa kuripoti katika kitengo kinachoitwa financial investigation unit all unusual transaction of money. the only problem hapa tanzania siyo ukosefu wa sheria. tunazo sheria nzuri tu. kinachokosekana ni utashi wa kisiasa na tabia ya watanzania kuchukulia mabo mazito kirahisi.

mpaka hili libadilike tutaibiwa sana na mafisadi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom