ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,279
- 22,010
Esther anaMkuu kuna baadhi ya biashara ukiangalia flow yake unaona zinakosa uhalisia , Sauli anajulikana ni mfanya biashara wa dhahabu, kwake yeye kununua basi zile ilikuwa sahihi kabisa na hata struggle ya kuongeza gari nyingine unaona kabisa kuna connection ya hustling. Esther hana hata miaka 10 kwenye game yet ana magari ya kumwaga , sidhani kama ana gari chini ya namba' D'. Kampuni mpya zinazokuwa kwa kasi ya ajabi mara nyingi zinakuwa na connections za wanasiasa .
Basi nane rombo dar
Basi nne arusha dar
Huko singida dar sijui idadi yake