ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,694
- 24,741
Anayo climber kaiandika dar nairobi ila inaishia arusha
Anayo climber kaiandika dar nairobi ila inaishia arusha
😂😂😂Unajijua kuwa umeandika 'Upuuzi' sana?
🤣🤣🤣🤣🤣Alisikika Tajiri mmoja wa kisasa akimshauri bwana abudi
Niko Msamvu bus terminal hizo Abood 4 kwa saa moja sioni, na ziko bus zingine kibao tuu...Hisabati ni Ngumu?!!!..kila lisaa About anakua na Basi 8 (4 zinaenda 4 zinarudi)..Haya sawa
zile ni 2×2 mkuuAnayo climber kaiandika dar nairobi ila inaishia arusha
😀😀😀Niko Msamvu bus terminal hizo Abood 4 kwa saa moja sioni, na ziko bus zingine kibao tuu...