US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Ralph Nader for President!!! Taping ya meet the press imekwisha.....na habari mvujo ni kwamba, Yes, Ralph Nader will run again!!!.
 
Ralph Nader for President!!! Taping ya meet the press imekwisha.....na habari mvujo ni kwamba, Yes, Ralph Nader will run again!!!.

Nothing to fret about....he's a perrenial candidate that has become more and more irrelevant...
 
Nahisi kuna watu ambao wanaamini ya kuwa Obama ana substance simply kwa sababu ya kuwa kuna Pundits kwenye media wamesema hivyo Wakina Rush limbaugh, Sean Hannity . Unajua juzi Obama kwenye Debate alisema vizuri sana pale aliposema kuwa the idea that people who are supporting and voting for him are delusional or have been duped is ridiculuous. Kwa hiyo unataka kusema ya kuwa state kumi na moja Obama alizoshinda consecutively watu wake hawajui anasimama kwa kitu gani na wana jump tuu kwenye bandwagon...

Mimi nashindwa kuelewa naona kuna watu wanakariri hapa , alipokuwa South Carolina watu walisema hatashinda hapo kwa sababu majority ya wapiga kura ni Africans America .Sasa Obama ameshinda majimbo kumi na moja ... angalia pia hata base ya Hillary wanawake wanaanza kumkimbia. Ni lazima mjiulize kwa nini ? Obama ameweza kuclick na americans voters na hiko ni kitu muhimu sana. Jamani wamarekani ni watu smart na watu ambao hawalichukulii suala la uchaguzi simply kwa hiyo kusema hawajui wanachofanya ni matusi makubwa.

Nadhani itakuwa vizuri kama tukianza kuzungumzia ishu hapa . Obama kampeni yake mpaka sasa hivi ndio inayoongoza kwa kuwa well managed na well funded . Mama ameshindwa kumanage kampeni yake na ali-rely kwenye big donors ndio maana leo ana matatizo ya hela ...Obama kwa kutumia experience yake ya ucommunity Organizer ameweza kuraise hela nyingi tuu kuliko wote. Kwa kuwashirikisha watu wengi wenye kipato cha chini ! Pia angalia mishahara ya adviser wa Hillary kuna mmoja wanasema mpaka kampeni iishe atalipwa $ 11 millions dollars . Watu wanachojiuliza how can you be able to lead the country in day one while you have failed to manage your Campaign?

Issue ya Iraq ...Mccain anasema Marekani lazima iendelee kupigana hivyo vita indefinetely , hivi kweli uchumi wa marekani utaweza ku-sustain hivi vita ! National debt inazidi kuongezeka siku baada ya siku na wanaendelea kukopa tuu kutoka kwa wachina ! Vile vile Mccain amekiri ya kuwa hajui jambo lolote kuhusu ECONOMICS lakini nadhani watu wanaona hilo ni sawa. Jee watu wameshajiuliza ni wanajeshi wangapi ambao wameshapiga tripu zaidi ya nne huko Iraq...imagine kama ungekuwa wa hizo familia .

Obama pia anazungumzia kuhusu NAFTA na jinsi ambavyo imesababisha wamarekani wengi kupoteza kazi zao . Kwani makampuni mengi yamekimbiza offisi zao kwenye hizi nchi ili kuevade tax . Sasa obama anaposema this is not fair, y'all are calling it false hopes... Kumbuka mama alikuwa champion wa hii policy when her husband was in power.

Vipi kuhusu Talibans in Afghanistan are they getting weaker or Stronger ? Mimi nadhani ni muhimu kuangaliza hizu ishu kabla ya kuwaita watu wanamsupport Obama delusional.
 
It is already a law my friend. Check out the new I9 forms and you will know. Each employer is now (since December 07) is required to use a new form I9 which does force an applicant to show prrof of being US citizen, PR or work permit. Gone are state ID, and SSN!

I said "system" and not "Law". Ni watu wangapi wanaendelea kupata kazi kwa green card and working permit fake?
 
Yes we can...ahahahahahaaa...hii inanikumbusha nguvu mpya, ari mpya, na kasi mpya....

Yaani nyie watu mnaomdharau McCain you have something coming your way. They will paint Obama an unpatriotic and believe me with John McCain the war hero...that is going to resonate. Tayari kina Obama wameshaanza ku-gaffe....sikiliza comment za Michelle...

Obama is real unpatriotic in both ways, as american and as Luo. Wala usimshangae Obama kuanza ku-gaffe ni m-Luo huyo.
 
According to the recent survey by The Associated Press, more than two dozen superdelegates have come to support of Barack Obama. This could be a big shock for Senator Hillary Clinton.

Barack Obama is in a very strong position right now. Many superdelegates have changed their opinion after 11 straight victories to credit of Barack Obama.

The fight between Senator Hillary Clinton and Barack Obama is very close and the support from superdelegates will be very crucial in the final decision. Both campaigns are trying their best to get the support from nearly 800 democratic superdelegates.

Senator Hillary Clinton has support of 241 superdelegates as per The Associated Press survey. However, Barack Obama has gained in the past two weeks. Hillary Clinton is losing the support from some influential superdelegates.

Barack Obama has gained more strength after recent endorsements from various labour unions across the country.

Super delegate Christine Samuels said that Barack Obama can help unite the country and supported him. In New Jersey, two superdelegates shifted to Obama. Similarly, two democratic superdelegates from Utah have withdrawn their support to Hillary Clinton.

The statistics from delegates are also in favor of Barack Obama. As per the latest estimates by MSNBC, Barack Obama has support of 1183 delegates while Hillary Clinton has 1031.

Posted February 24th, 2008 by Zach Blaney
http://www.topnews.in/usa/superdelegates-favor-barack-obama-269
 
Ebo!!! Mtakeni mwenzenu radhi mtamfananishaje na JK...Hivi kipimo cha kuwa Mzalendo ni nini hasa kuweka lapel pin/kuimba wimbo wa taifa/kuweka mkono kifuani wakati wa wimbo wa taifa?

All Hat No Cattle-rubbish hivi kuna ugumu gani wa kwenda kuwauliza wananchi wa Chicago alikokuwa Organizer... Was Obama wrong aliposema ataibomb Pakistan kama kuna intel ya kuaminika kuhusu magaidi? maana kuna wengi walimshambulia na kumuita naive, lakini kwa jinsi mambo yanavyokwenda Musharraf hana siku nyingi ofisini kazi kwenu.
 
Kwanza nianze kwa kukiri kwamba nimewa-miss sana kwenye hii thread hata akina Nyani Ngabu maana debates zetu humu zinafurahisha sana!
Back to US politics: Nyani; huyo babu yako Mccain hana ujanja wowote, hebu cheki anavyokimbia waandishi baada ya kubambwa 'live'akisema uongo, au hukusoma ile story ya Washington Post iliyobaini kuwa alikutana na client wa Iseman anayeitwa Paxsons na alikiri hilo alipohojiwa Congress miaka ya nyuma? Sasa suala la campaign manager na aides wake kuwa lobbyists on the payroll imendelea kumwumiza na ameshindwa kurespond. hajaongea na press kwa siku 3 sasa! Soma link hii: http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2008/02/22/AR2008022202634.html?hpid=topnews
This will definitely hurt him especially with independents waliodhani ni mtu clean na anti-lobbyists. Na Obama amesharusha kombora in this issue!
Mimi nadhani Obama is much tougher than we think, na ataweza kuhimili vyema mashambulizi ya Republicans. Lakini kibibi sasa naomba hata nyie mashabiki wake muandikie akapumzike maana naona anazeeka vibaya, kabaki kugombagomba!("shame on you, senator Obama!" did you see the clip on CNN? She reminds everyone of a shrill nagging wife/mother/mother-in-law/teacher)
Tehehehe!
 
Hahaha naona na wewe kaka sasa umeshaanza kuchotwa na Obama-mania...hawa wawili ktk sera hawana tofauti..kumbuka wote ni Democrats..kwa hiyo huwezi kuona tofauti kubwa sana. Tofauti kubwa iliyopo ni ya personality na style.

Mimi kinachoniudhi ni hawa washabiki wa Obama na wao kushambulia na kumtukana Mama hadi kufikia kusema kama akipata nomination hawatampigia kura. Come on, that's low down for them to be that way...they are both Democrats and whoever gets the nomination then all should rally behing him or her in November. Lakini hata iweje Republicans will win in November because they always resonate with the majority of the people in the US

Hapana kabisa kaka. Ila nilitaka kuweka sawa hili maana kuna wengine wanarahisha mno kusema jamaa mweupe kabisa, hapana ana vitu japokuwa havimfikii mama. Unajua baada ya jamaa kuwa front runner tumeanza kuwajua zaidi akina Obama. Baadhi ya media zimeshaanza kuwatafuna. Inaonekana mke wake huko mbele atakuwa ni liability kubwa badala ya asset. Katika wiki moja mambo kibao yameshaibuka kuanzia kutokuwa proud na America hadi mumewe alipokuwa anagombea urais na alipoona anataka kushinda hadi kushindwa kuji-integrate pale chuoni kama alivyojifunua kwenye thesis yake mwenyewe. Na hili jipya la kugunduka kwamba kumbe huyu mdada hatoki kwenye working class kama alivyosema na kwamba hajawahi kuwa na interest ya maisha ya watu zaidi ya kuhangaika na utajiri kama ilivyoripotiwa leo kwa kina kwenye Mail on Sunday. Eee bwana kazi ipo huko mbele. Ngoja tusubiri mpambano utakavyokuwa.

Lakini mkuu baada ya kusema yote hayo pamoja na mapenzi yangu kwa dada Hillary, lazima nikiri kwamba mshikaji ni kiboko, maana ame-defy conventional wisdom katika siasa duniani kote. Jinsi alivyojenga hoja na kubadilisha kabisa kwamba swala la experience sio asset, bali linaweza kuwa liability kubwa katika siasa na hili wazo lake likakubalika nimechoka. Kwa hoja hiihii atawatesa sana Republicans kama atapata nomination, kazi bado ipo!
 
Ebo!!! Mtakeni mwenzenu radhi mtamfananishaje na JK...Hivi kipimo cha kuwa Mzalendo ni nini hasa kuweka lapel pin/kuimba wimbo wa taifa/kuweka mkono kifuani wakati wa wimbo wa taifa?

All Hat No Cattle-rubbish hivi kuna ugumu gani wa kwenda kuwauliza wananchi wa Chicago alikokuwa Organizer... Was Obama wrong aliposema ataibomb Pakistan kama kuna intel ya kuaminika kuhusu magaidi? maana kuna wengi walimshambulia na kumuita naive, lakini kwa jinsi mambo yanavyokwenda Musharraf hana siku nyingi ofisini kazi kwenu.

Icadon waache walalamike na waseme watakacho maana kibibi kilichukua vijisenti vyao akaenda kutanua na ma-advisors wake kule Fours Seasons na walispend 100,000 USD on food in Las Vegas alone! Sasa wanatafuta label zooote wanazoweza wambandike Obama but it does not stick!
Kuhusu Pakistan FYI, after a few months, the CIA did exactly what Obama said na ilienda kurusha bomu na kumwua senior AlQueda figure in Pakistan.
Hivi wanaosema Obama hana expereince waniambie Hillary ana experience gani ya maana ambayo ni ya kwake peke yake si ya mume wake nadhani ni hii ya Senate? kama anataka kutumia nafasi yake kama first lady na kujizolea sifa basi akubali na mabaya yake kama NAFTA na aache kuleta mizengwe ya kugombagomba eti kapakaziwa. You can't pick and choose which experience is good for you.

Lakini turudi kwenye kulinganisha: Obama is no JK by the simple fact that JK alipata ki-bachelor of economics in UDSM in 1 year or 2 years (look what he did to the economy of our country in 2 years. Jamani walimu wa UDSM tuambieni, ilikuwaje graduate wenu kafanya hivyo, maana hata Yale iliyomtoa Bush kimasomaso wana mengi ya kujibu). Wakati Obama is Harvard graduate. Ukilinganisha ya kuwa Kiwkete has been kada wa chama not delaing with people at grass root level, in fact Kikwete had much more expereince in politics na chama - si alikuwa Foreign minister for 10 years and minister of Finance, hata Nishati na Madini! Sasa wapi na wapi? Obama ameonyesha uwezo wake katika grass root organizing etc. Also Kikwete has been hostage to special interest and rich people (like Clinton), wakati Obama has not received any money from a lobby group.
Mi nadhani mkitaka kufananisha Ari mpya nguvu mpya slogan, take hillary's slogan (sijui ni ya ngapi BTW maana anazidi kubadili) "ready to lead on day 1" ambayo sasa imechukuliwa na babu McCain who even stole Obama's line Fired up and ready to go!
Obama is original, JK was part of the establishment for decades with nothing to show (more like Hillary Clinton).
 
Hapana kabisa kaka. Ila nilitaka kuweka sawa hili maana kuna wengine wanarahisha mno kusema jamaa mweupe kabisa, hapana ana vitu japokuwa havimfikii mama. Unajua baada ya jamaa kuwa front runner tumeanza kuwajua zaidi akina Obama. Baadhi ya media zimeshaanza kuwatafuna. Inaonekana mke wake huko mbele atakuwa ni liability kubwa badala ya asset. Katika wiki moja mambo kibao yameshaibuka kuanzia kutokuwa proud na America hadi mumewe alipokuwa anagombea urais na alipoona anataka kushinda hadi kushindwa kuji-integrate pale chuoni kama alivyojifunua kwenye thesis yake mwenyewe. Na hili jipya la kugunduka kwamba kumbe huyu mdada hatoki kwenye working class kama alivyosema na kwamba hajawahi kuwa na interest ya maisha ya watu zaidi ya kuhangaika na utajiri kama ilivyoripotiwa leo kwa kina kwenye Mail on Sunday. Eee bwana kazi ipo huko mbele. Ngoja tusubiri mpambano utakavyokuwa.

Lakini mkuu baada ya kusema yote hayo pamoja na mapenzi yangu kwa dada Hillary, lazima nikiri kwamba mshikaji ni kiboko, maana ame-defy conventional wisdom katika siasa duniani kote. Jinsi alivyojenga hoja na kubadilisha kabisa kwamba swala la experience sio asset, bali linaweza kuwa liability kubwa katika siasa na hili wazo lake likakubalika nimechoka. Kwa hoja hiihii atawatesa sana Republicans kama atapata nomination, kazi bado ipo!

Salaam Kitila!
Hayo uliyoyasema kuhusu Michelle Obama naona umeya mislead deliberately. she didn't say she's not proud of her country alisema "Fr the first time in my adult life, I am REALLY proud of my country"na iligundulika ya kuwaFox news waliedit na kutoa neno ''Really'. Naomba hilo lieleweka, maana hata issue hii imekufa kimyakimya baada ya watu kuona kwamba haina kichwa wala miguu.
Hiyo issue ya kwamba hakutoka kutoka familia ya middle class kama alivyodai naomba link ili niisome kwanza kabla sijacomment.
Asante
 
Hapana kabisa kaka. Ila nilitaka kuweka sawa hili maana kuna wengine wanarahisha mno kusema jamaa mweupe kabisa, hapana ana vitu japokuwa havimfikii mama. Unajua baada ya jamaa kuwa front runner tumeanza kuwajua zaidi akina Obama. Baadhi ya media zimeshaanza kuwatafuna. Inaonekana mke wake huko mbele atakuwa ni liability kubwa badala ya asset. Katika wiki moja mambo kibao yameshaibuka kuanzia kutokuwa proud na America hadi mumewe alipokuwa anagombea urais na alipoona anataka kushinda hadi kushindwa kuji-integrate pale chuoni kama alivyojifunua kwenye thesis yake mwenyewe. Na hili jipya la kugunduka kwamba kumbe huyu mdada hatoki kwenye working class kama alivyosema na kwamba hajawahi kuwa na interest ya maisha ya watu zaidi ya kuhangaika na utajiri kama ilivyoripotiwa leo kwa kina kwenye Mail on Sunday. Eee bwana kazi ipo huko mbele. Ngoja tusubiri mpambano utakavyokuwa.

Lakini mkuu baada ya kusema yote hayo pamoja na mapenzi yangu kwa dada Hillary, lazima nikiri kwamba mshikaji ni kiboko, maana ame-defy conventional wisdom katika siasa duniani kote. Jinsi alivyojenga hoja na kubadilisha kabisa kwamba swala la experience sio asset, bali linaweza kuwa liability kubwa katika siasa na hili wazo lake likakubalika nimechoka. Kwa hoja hiihii atawatesa sana Republicans kama atapata nomination, kazi bado ipo!

Unajua swala la uzoefu halijawahi kuwa hoja ktk siasa za Marekani. Rais wa Marekani au nchi ingine yoyote ile hana peer ndani ya nchi. So hakuna mtu ambaye atakuwa na hoja zaidi ya mwenzake kwenye hilo na nadhani wananchi wanalitambua hilo. Na sidhani kama Obama amejenga hoja yoyote kuhusu hilo zaidi ya ku-point mtoto Bush na Clinton. Kama uzoefu ingekuwa hoja basi Clinton asingemshinda Bush mkubwa aliyewahi kuwa makamu wa raisi kwa miaka nane na raisi kwa miaka minne kabla ya kubwagwa. Au hata Bush mdogo asingemshinda Al Gore maana umakamu wa raisi ndio cheo pekee kinachokaribia uraisi. Tatizo hawa Ma-Obama-maniacs wameamini yale ambayo yamekuwa yakisemwa na Republicans kuhusu Mama hadi na wao wamefikia hatua ya kusema ABC...Anybody But Clinton...Ma-Republicans ni majanja sana. Yameshawagawa Democrats na kilichobaki ni ushindi tu Novemba.
 
Salaam Kitila!
Hayo uliyoyasema kuhusu Michelle Obama naona umeya mislead deliberately. she didn't say she's not proud of her country alisema "Fr the first time in my adult life, I am REALLY proud of my country"na iligundulika ya kuwaFox news waliedit na kutoa neno ''Really'. Naomba hilo lieleweka, maana hata issue hii imekufa kimyakimya baada ya watu kuona kwamba haina kichwa wala miguu.
Hiyo issue ya kwamba hakutoka kutoka familia ya middle class kama alivyodai naomba link ili niisome kwanza kabla sijacomment.
Asante

Acha ku-spin wewe Michelle alisema hayo aliyosema na watakuja kujutia hiyo Novemba.
 
Salaam Kitila!
Hayo uliyoyasema kuhusu Michelle Obama naona umeya mislead deliberately. she didn't say she's not proud of her country alisema "Fr the first time in my adult life, I am REALLY proud of my country"na iligundulika ya kuwaFox news waliedit na kutoa neno ''Really'. Naomba hilo lieleweka, maana hata issue hii imekufa kimyakimya baada ya watu kuona kwamba haina kichwa wala miguu.
Hiyo issue ya kwamba hakutoka kutoka familia ya middle class kama alivyodai naomba link ili niisome kwanza kabla sijacomment.
Asante


Mkuu ile statement yake kuhusu kuwa proud usifikiri imepita, subiri kampeni zianze baada ya nomination. Walichofanya sasa hao Republicans ni kuiweka pembeni ili wasionekane wana mtanagza Obama kama ndiye mgombea wa Democrats. Tupo hapa tutaelezana.

Haya hiyo link ya Mrs O hii hapa, soma halafu lete maneno: http://www.mailonsunday.co.uk/pages/live/femail/article.html?in_article_id=517824&in_page_id=1879
 
Tatizo hawa Ma-Obama-maniacs wameamini yale ambayo yamekuwa yakisemwa na Republicans kuhusu Mama hadi na wao wamefikia hatua ya kusema ABC...Anybody But Clinton...Ma-Republicans ni majanja sana. Yameshawagawa Democrats na kilichobaki ni ushindi tu Novemba.

Unajua kama Republicans watashinda this time pamoja na blunder zote alizofanya Bush basi nitajua hawa democrats ni vilaza hasa na nitaanza ku-question allegiance yangu kwao!
 
Yes we can...ahahahahahaaa...hii inanikumbusha nguvu mpya, ari mpya, na kasi mpya....

Yaani nyie watu mnaomdharau McCain you have something coming your way. They will paint Obama an unpatriotic and believe me with John McCain the war hero...that is going to resonate. Tayari kina Obama wameshaanza ku-gaffe....sikiliza comment za Michelle...

Mi huwa nakuja humu ndani, nasoma then nakula zangu kona. BUT statements like these make lurkers like me come out swinging. Kama ulikuwa hujui babu, the whole John McCain campaign is run by lobbyists, kuanzia campaign manager wake mpaka his top donors, Mark Penn, chief strategist of Hillary is a lobbyist. Chelsea Clinton WORKS for a lobbyist. If u think hawa jamaa wanatoa mshiko wao for nothing in return utakuwa unakosea.

So as shit to get done, u need 65% approval au sio? without having the ability to bring dems and pubs together nothing will get done, and that is the intangible that Barack brings mezani. Nyie mnakuja kusema Barack has no substances, hivi u guys watched the same debate I watch last time? the guy was on point kulaleki facts, and figures on how to get shit done.

There is a reason why he won 11 states in a row.
 
Unajua kama Republicans watashinda this time pamoja na blunder zote alizofanya Bush basi nitajua hawa democrats ni vilaza hasa na nitaanza ku-question allegiance yangu kwao!
Mzee naona unafuatilia kwa makini hii kitu bila ushabiki. Siasa za US is not about chama kama kwetu bongo. Humo humo ndani ya Republican kuna watu wengi tu wanampinga Bush tena wazi wazi na mtu anapogomania anabeba sera zake siyo za chama. Kwa hiyo utaon akabisa Bush hana madhara yoyote kwenye uchaguzi ujao. Hawa Republican waacha kama walivyo toka 2000 wamepunguza EV nyingi kwenye blue state na always vyombo kama Pentagon, CIA, FBI vinakuwa upande wao ukiongea na watu waliokula chumvi nyingi wanamsikitikia sana Obama kwani wanaamini anything linaweza kutokea sasa hivi kwenye maisha yake. Hivi Mkumbo nikikuuliza ni kivipi Bush ameshinda uchaguzi mara mbili unaweza kuniambia? Do not play with republican. Hivi unakumbuka ule uchaguzi wa kwanza Bush alikuwa hajui hata aongee nini dhidi ya kipanga Gore lakini alishinda. Kama alivyosema Nyani, Republican wameshashinda wanasubiri uchaguzi, labda mama ashinde kwani McCain na mama ni marafiki wakubwa na the Bush wako upande wa mama. Kitu ambacho Dems kingewafanya washinde kwa ulaini ni kama mama angegombea na obama angekuwa makamu lakini kwa sasa imeshaharibika. Mama angewagawa republic all time. Obama anaweza kushinda the nomination kwana Dems na GOP wote wanataka hivyo.
Kama ulivyosema, huyu Obama ni kiboko na ni mtu smart sana ukimsikiliza once bila kutafakali anachosema umekwisha. Mimi nikishajua mtu ni smart huwa lazima niwe makini baada ya madhara ya nyerere kuniimbisha kwa miaka yote "UJAMAA NA KUJITEGEMEA NDIYO NJIA PEKEE YA KUJENGA JAMII YA WATU WALIO SAWA NA HURU, SHIKAMOO MWALIMU". Ila hawa wakina Obama siwezi kuwalinganisha na Nyerere, yeye alikuwa anasema vitu na kuwa brainwash watu kwa mambo ambayo alikuwa anayaamini na alikuwa anaona yanawezekana. Hawa wakina Obana wanaongea mambo kwa ajiri ya kura. I hate that shit. Mimi nadhani Obama inaweza kuwa test ya IQ, mchukue mtu asikilize hotuba za Obama halafu muulize unaamini anayosema? He is too smart jinsi anayowakilisha hotuba zake. Kwa watu waliosoma US watakubaliana na mimi kuna soma linaitwa Public Speech, mimi nilisoma kwa ajiri ya credit tu lakini baada ya kumaliza hiyo kozi nilijifunza mengi sana angawa mimi ni kilaza kwenye public speech na jinsi ya kuwakilisha hoja mbele ya jamii. Kwa Obama that's an A. Mtu kama Bush kuna wakati anaongea points lakini kama akianza kuongea kwenye TV, 95% ya watu wana flip channel na hiyo 5 iliyobaki hawamuelewi, ninaweza kumpa D.
Kuna mtu mmoja anaitwa January, he is kind of a friend to me but behind the Internet I hate him. He is very very smart guy next to our president. Kila siku yumo humu na ndiyo kazi yake, mambo mnayosema yote humu anayafanyia kazi kama hakuna kitu kingine chochote kutokea basi CCM itapa zaidi ya 70% ya kula kwenye uchaguzi ujayo kwa nini nasema hivi, wapinzani wanakosa vitu viwili muhimu sana, agenda na mtu nitazungumza hili kwenye mada nyingine huko baadaye.
 
Mkuu ile statement yake kuhusu kuwa proud usifikiri imepita, subiri kampeni zianze baada ya nomination. Walichofanya sasa hao Republicans ni kuiweka pembeni ili wasionekane wana mtanagza Obama kama ndiye mgombea wa Democrats. Tupo hapa tutaelezana.

Haya hiyo link ya Mrs O hii hapa, soma halafu lete maneno: http://www.mailonsunday.co.uk/pages/live/femail/article.html?in_article_id=517824&in_page_id=1879

Asante Kitila,
Nimeisoma article na I am sorry there's nothing there! Hawa Mail walikuwa wanantafuta story pale ambapo there wasn't ngoja nikuonyeshe walipojikanyaga:
The Robinsons grew up on the upper floor of a house built in the Twenties. Number 7436 South Euclid Avenue - a classical reference to the Greek mathematician which found an appropriate echo in Michelle's subsequent respect for traditional learning - even has a small garden, shaded by a large elm tree, and an ornate stone bench.


The South Side of Chicago has long had its share of gang-infested housing 'projects' but with the University of Chicago hospital close by, there were plenty of white professionals in the area as well as hard-working families in the Robinsons' own image.


No one could pretend they were rich and it is true that her father, Frasier Robinson, spent some time as a maintenance worker for Chicago's Department of Water Management.


However, he was a good deal more than the labourer that many seem to imagine.


Indeed, according to family friends, Michelle's father was a volunteer organiser for the city's Democratic Party, a by-word for machine politics in America, and his loyalty was rewarded with a well-paid engineering job at Chicago's water plant. Even before overtime, he earned $42,686 - 25 per cent more than High School teachers at the time.


Michelle's mother stayed at home and devoted her energies to her and her older brother Craig. Marian Robinson nurtured great ambitions for both her children, along with the traditional values which are now serving Michelle so well.


Television was all but banned in favour of homework, debates about the issues of the day and improving games of chess.
Michelle alizungumzia haya yote na hajawahi kukataa kuwa familia yake ilikuwa middle class!
Kuhusu collection yake ya nguo na Jimmy Choo shoes, this was discussed before about her style of dressing na aliambiwa a-tone down but let me tell you one thing: she worked her butt off for every single cent to earn those shoes!
and about Renzo - sorry that's old news, if you want to continue on that line nitakutafutia links kibao tht shows that this is a non story. Including ile story ya nyumba yao.
Kila mtu anajua kuwa kabla hajaandika kitabu Obama and Michelle were trying to pay back their college loans (maana higher education is not free in the US) and after the book deal, waliweza kupay off the loan na waliweza kununua nyumba - hii anaizungumzia Michelle openly.
Mail on Sunday is a conservative paper and it would prefer Hilary over Obama due to teh closenes of Clinton with Europeans (it's true of many European coutnries), also article haijawa balanced without interview from the Obamas. Sasa endelea ku-propagate articles kama hizi maana there's other 2 dozens out there to refute it.

Nyani: kuhusu Michelle, Mrs McCain alijaribu kulizungumzia lakini alinyamaza ghafla because she has a loto f sh*** in her background including drug use na aliiba drugs from her own charity! So Cindy was told to shut it, maana wakianza kummaliza kabla ya general election hakuna kitu watakachobaki kusema in general elections.
The spin is not in what I am saying but in what you are saying. Unabisha kwamba Fox hawaku-edit? Unabisha kile alichosema? Michelle alisema she stands by what she said na alieleza tena what she meant.
Msitafute story pale ambapo hakuna story!
 
Haya ili kumaliza mjadala huu naomba niweke hapa alichorespond leo Obama:
Democratic presidential candidate Barack Obama defended himself and his wife Sunday against suggestions that they are insufficiently patriotic.
Asked during a town hall meeting in Lorain, Ohio, about "an attempt by conservatives and Republicans to paint you as unpatriotic," a questioner cited the fact that Obama once failed to put his hand over his heart while singing the national anthem.

The questioner also noted that the Illinois senator does not wear an American flag lapel pin, has met with former members of the radical anti-Vietnam War group, Weather Underground, and his wife was quoted recently as saying she never felt really proud of the United States until recently.

Asked how he would fight the image of being unpatriotic, Obama said, "There's always some nonsense going on in general elections. Right? If it wasn't this, it would be something else. If you recall, first it was my name. Right? That was a problem. And then there was the Muslim e-mail thing and that hasn't worked out so well, and now it's the patriotism thing.

"The way I will respond to it is with the truth: that I owe everything I am to this country," he said. Obama said it was a speech about his love for this country that put him in the national spotlight. He shot down the idea that failing to put his hand over his heart during the national anthem makes him unpatriotic.

"If that were the case, that would disqualify about three-quarters of the people who have ever gone to a football game or baseball game."

Obama said his wife, Michelle, had already explained her comments. "She simply misspoke," he said. "What she was referring to was this was the first time she has been proud of politics in America.

Maana anachonifurahisha Obama ni kwamba yuko straightforward - mnatafuta tu hila lakini wapi! Tena nampa kumi zoote maana amesema "Michele misspoke" and I watched that piece and she was right in what she said, basi tu wanamtafutia sababu, na kaona hamna haja y akuwapa sababu. Lakini Obama ameonyesha that things don't stick to him. Maana ana face all allegations with honesty.
People are tired of good old Washington politics!
 
Back
Top Bottom