Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 891
Hivi kwa nini kaka Barack anaonekana kukwepa debates na dada Hillary? Au ndio yaleyale ya JK wetu ya kukataa debates na akina Lipumba 2005?
Hii argument imesha-expire muda mrefu sana! Wamesha-debate mara 18 na Obama amekubali 2 more debates, bringing the total to 20! Sasa kibibi kilitaka debate 5 in 4 weeks! Obama kamwambia anakubali debate 2 na zaidi ya hapo NO kwa sababu yuko busy kujitambulisha kwa wananchi wake. Which is fair considering the fact that Clinton is a household name while Obama ndo ameanza kujulikana na wamarekani!