JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,022
Kitila Mkumbo,
..Wanachosema watu ni kwamba Mama ni mzuri katika debate na policy analysis. Lakini katika masuala ya hotuba na presentation Obama amemzidi.
..Labda umesahau lakini mimi ndiyo niliyewa-alert members hapa kwamba hotuba za Obama ni za kusoma kwenye teleprompter. Katika mazingira kama hayo hutafutwa "words smith" mzuri wa kuandika hotuba halafu mgombea ana-concentrate kwenye presentation.
..Mama anao uwezo hilo halina ubishi. Nimediriki kusema kwamba anao uwezo kuliko hata Mzee Bill Clinton ktk masuala ya policy.
..Kinachonivunja moyo ni kwamba Mama Clinton ameshindwa kuleta "style" in her campaign. Pia sioni kama anajitahidi ku-address suala hilo.
..Hii campaign slogan ya Obama ya "yes we can" inapagawisha watu. Hata wa-spanish na wenyewe wanaitikia "si se puede." Nilichokuwa najaribu kusema ni kwamba Hillary na yeye alipaswa kutafuta namna ya kuwapagawisha wapiga kura.
..Please..please..siyo kama namkandia Hillary.
NB:
Kitila...wewe upo katika siasa. naomba nikushauri ndugu yangu: pundits are only in 100s, but voters are in millions. kura zingekuwa zinapigwa pale UDSM huenda Dr.Mvungi, Dr.Lipumba, au Prof.Shayo, wangekuwa maraisi. zingatia hilo ktk safari yako ya kisiasa.
..Wanachosema watu ni kwamba Mama ni mzuri katika debate na policy analysis. Lakini katika masuala ya hotuba na presentation Obama amemzidi.
..Labda umesahau lakini mimi ndiyo niliyewa-alert members hapa kwamba hotuba za Obama ni za kusoma kwenye teleprompter. Katika mazingira kama hayo hutafutwa "words smith" mzuri wa kuandika hotuba halafu mgombea ana-concentrate kwenye presentation.
..Mama anao uwezo hilo halina ubishi. Nimediriki kusema kwamba anao uwezo kuliko hata Mzee Bill Clinton ktk masuala ya policy.
..Kinachonivunja moyo ni kwamba Mama Clinton ameshindwa kuleta "style" in her campaign. Pia sioni kama anajitahidi ku-address suala hilo.
..Hii campaign slogan ya Obama ya "yes we can" inapagawisha watu. Hata wa-spanish na wenyewe wanaitikia "si se puede." Nilichokuwa najaribu kusema ni kwamba Hillary na yeye alipaswa kutafuta namna ya kuwapagawisha wapiga kura.
..Please..please..siyo kama namkandia Hillary.
NB:
Kitila...wewe upo katika siasa. naomba nikushauri ndugu yangu: pundits are only in 100s, but voters are in millions. kura zingekuwa zinapigwa pale UDSM huenda Dr.Mvungi, Dr.Lipumba, au Prof.Shayo, wangekuwa maraisi. zingatia hilo ktk safari yako ya kisiasa.