US Election Coverage 2008

Lakini hii ni society ambayo inaamini mwanamke na mwanaume wote ni sawa hakuna double standards when it comes to sex, i got the feeling Bill kumpigia debe Hillary basi tena ni kwa nia ya kumharibia tu, maybe ana some insecurities, labda mkewe akiwa raisi atakuwa better kuliko yeye alivyokuwa?
Hakutakiwa kulia kwa sababu yeye ni mwanamke wa kwanza kugombea nafasi kama hii, alitakiwa kuonyesha huu umma wa US kwamba wanawake sio watu wa emotions all the time kama inavyosemwa saa zote, kwa ku-prove them wrong.
Anyway just a thought

Inategemea ni kulia kupi unakokuzungumzia. Kama ni kule kwa 'empathy' aliyoionyesha katika kujibu lile swali la yule mama wa NH, huko kulimpandishia chati na kushinda.

Pamoja na ukweli kuwa Obama ni smart na kuwa na uwezo mkubwa kabisa kuwa rais wa nchi hiyo ya Marekani; nasikitika MwanaMama, hilo halitawezekana safari hii. Nasikitika, kwani hata mimi ningependa awe, lakini hilo ni jambo lisilowezekana bado katika nchi hiyo. Inawezekana kabisa akashinda katika mchepuko huu wa 'nomination' kwani humo humo wamo wengi wanaomchafua Hillary; lakini utakapofika uchaguzi, McCain atachukua kiurahisi kama mpinzani wake atakuwa ni Obama. Too bad, but that is how it works in this democrasy.
 
she's got to go! hakuna cha sympathy hapa wala nini.......hatuwezi kutawaliwa na familia mbili kila siku kama vile tupo kwenye ufalme!! that's absurd!! why? hii nchi ina watu millioni 400, sasa unataka kusema ni Bush au Clinton families ndizo pekee zenye uwezo wa urais??...................

NBC, projects Obama in MD by a significant margin, "significant margin."!!!! tumechoka politics za dynasty.




YournameisMINE asante!

Ni kweli kabisa kwa nini yeye anajiona kwa vile mumewe alikuwa raisi basi na sasa ni zamu yake, anaendeleza BUSHICANIZATION OF AMERICA? who is next sasa? Chelsea is the next president hah? oh I got that.
Mh maybe the rest of families in America are dumb enough not to be able to produce a president.
All in all Washington need a new face.
 
Inategemea ni kulia kupi unakokuzungumzia. Kama ni kule kwa 'empathy' aliyoionyesha katika kujibu lile swali la yule mama wa NH, huko kulimpandishia chati na kushinda.

Pamoja na ukweli kuwa Obama ni smart na kuwa na uwezo mkubwa kabisa kuwa rais wa nchi hiyo ya Marekani; nasikitika MwanaMama, hilo halitawezekana safari hii. Nasikitika, kwani hata mimi ningependa awe, lakini hilo ni jambo lisilowezekana bado katika nchi hiyo. Inawezekana kabisa akashinda katika mchepuko huu wa 'nomination' kwani humo humo wamo wengi wanaomchafua Hillary; lakini utakapofika uchaguzi, McCain atachukua kiurahisi kama mpinzani wake atakuwa ni Obama. Too bad, but that is how it works in this democrasy.

Tatizo baadhi ya watu wanasahau kuwa hizi ni primaries na caucuses za vyama. General election ni ballgame nyingine kabisa. Tutaona jinsi Obama atakavyo-fare dhidi ya McCain na atakavyohimili mikikimikiki ya swift boaters
 
YournameisMINE asante!

Ni kweli kabisa kwa nini yeye anajiona kwa vile mumewe alikuwa raisi basi na sasa ni zamu yake, anaendeleza BUSHICANIZATION OF AMERICA? who is next sasa? Chelsea is the next president hah? oh I got that.
Mh maybe the rest of families in America are dumb enough not to be able to produce a president.
All in all Washington need a new face.

Marekani hakuna royalty. Bush Dubya aligombea na akashinda kwa vile watu walimchagua. Msianze kulaumu ndugu. Kila mtu nchi hii (mwenye sifa of course) ana haki ya kugombea. So ku-insinuate kwamba Mama Clinton hapaswi au hakutakiwa kugombea kwa vile mumewe alikuwa raisi ni kuonyesha ignorance ya hali ya juu.
 
Nyani,

Kubali Potomac sweep na huyo Mike Henry aliyeachia manyanga leo kuwa mambo magumu Kambi ya Billary!
 
Tatizo baadhi ya watu wanasahau kuwa hizi ni primaries na caucuses za vyama. General election ni ballgame nyingine kabisa. Tutaona jinsi Obama atakavyo-fare dhidi ya McCain na atakavyohimili mikikimikiki ya swift boaters

swift boaters wapo out of gas, isitoshe moveon.org wata-counter na "ngoma" zitakuwa zina-cancell mumo kwa mumo!! Obama is no John Kerry......so bring it on.

huyo McCain mwenyewe hao swift boat wanataka kumfanyia noma, in SC walijaribu, ingawa ikasemekana ni "bootyleggers" sio wenyewe. McCain ana dirty laundry kibao. It will get nasty if they play it dirt, watapewa ile mentality ya "if you don't give a damn, we don't give a f@ck."
Mfupa umemshinda billary huu na strategy zake mediocre.
 
Hawa inaonekana wanatofauti...na hiki ndio kitu cha mwisho mama anataka kwenye team yake.


Mike Henry, a deputy campaign manager for Senator Hillary Rodham Clinton, has resigned from the Clinton team, writing in his farewell letter to the staff that he was stepping aside out of respect for the “new leadership team” led by Maggie Williams, who was installed as campaign manager on Sunday.

Mr. Henry was recruited to the campaign by Patti Solis Doyle, who was replaced as campaign manager last weekend after Mrs. Clinton’s losses to Senator Barack Obama in Washington, Louisiana, and Nebraska.
 
Siku Obama aliposhinda Iowa Caucas...kulikuwa na nay sayers. Nafikiri tukiangalia mitundiko ya mwanzoni mwa hii thread tutaona...I wish these people I am not naming them could come here now kama ambavyo Democrats walienda kutubu na kusema kura zao za kuidhinisha vita ya Iraq ilikuwa ni a Major mistake na hawa wana JF wenzetu wawe tayari kusema kwamba they under estimated Obama, kwa sababu what we are about to see katika hii nchi ya wenzetu ni HISTORIA in the making. Moto wa huyu jamaa (Obama) hauzimiki...ana support ya Republicans, Undecided, Democrats, young, old, whites, blacks, some latinos are starting to come his way, educated, uneducated, high income, low income, everything naangalia MSNBC hapa sasa hivi nikisubiri matokeo ya Maryland na namuona Hillary anahutubia gallery kule El Paso, Texas. Mama anajitahidi kutoa tabasamu maskini lakini sura inaonyesha mambo sio mazuri. Kampeni yake imeanza kuchomoka magurudumu tena ya mbele...wana down play defeats kutoka super tuesday na leo usiku. Campaign manager mmoja ameondoka (quited) jana na kulikuwa na shake up pia... fundings zinakuwa ni issue..last week after super tuesday Hillary aliingia mfukoni kuikopesha kampeni yake $5 million. Sasa hivi they are not sure kama wataweza kushinda Ohio, Texas na Penn State, kwa sababu polls zina change na wapiga kura wana jump into the exciting Barack Obama's train. Inavyoonekana na pundits wanavyosema..leo usiku Obama atakuwa na another big Victory.
Lets sit and wait. Because this is more than the audacity of hope.
 
Nyani,

Kubali Potomac sweep na huyo Mike Henry aliyeachia manyanga leo kuwa mambo magumu Kambi ya Billary!

Ni kweli mambo si mazuri kwa Mama na nadhani Obama atapata nomination. So on behalf of the Mac...I tell your Obama...bring it on kid.
 
superdelegates ni party officials kama vile senators, representatives, governors, former presidents na kadhalika. Democrats wanao takribani 400.......hawa nao wana-vote on top ya delegates ambao candidates wana-win ktk hizi primaries!!! HRC anao wengi kushinda Obama so far, lakini hawa pia hawaja pledge, which means wanaweza ku-change votes zao siku hiyo huko Denver!! Pia wanatabia ya ku-reflects the say of their constituents, maana yake ni kwamba aliyeshinda wengi wa kura na delegates toka primaries, atashinda anyway!!.......kwahiyo booooooo HRC.

.............thanks YNIM kwa kumuelewesha majita............nilipata wageni hapa tukawa tunashuhudia Obama anavyokanyaga.........woow!!
 
swift boaters wapo out of gas, isitoshe moveon.org wata-counter na "ngoma" zitakuwa zina-cancell mumo kwa mumo!! Obama is no John Kerry......so bring it on.

huyo McCain mwenyewe hao swift boat wanataka kumfanyia noma, in SC walijaribu, ingawa ikasemekana ni "bootyleggers" sio wenyewe. McCain ana dirty laundry kibao. It will get nasty if they play it dirt, watapewa ile mentality ya "if you don't give a damn, we don't give a f@ck."
Mfupa umemshinda billary huu na strategy zake mediocre.

Kwikwiwkiiiii hao moveon.org hawakufua dafu '04...waligalagazwa vibaya mno.

Sasa mbona wajomba zako Kerry na Kennedy siwaoni tena wakimpigia debe Obama...kulikoni? Au baada ya kutolewa nishai na Mama kwenye backyard yao wameamua kukaa pembeni?
 
Nyani just wait and see the BIG MOMENTUM inavyokwenda................mama yeye kajificha EL PASO kwa Latinos..........ghost winds za Obama zinaanza kumfikia fikia sasa akae chonjo..................nilikuwa na wasiwasi kuwa Obama asingeshinda Virginia.......lakini ndio hivyo kachukua kwa hiyo ni ishara tosha kwa mama kuwa.......HE IS FIRED UP AND READY TO GO!!...................go jaluo goo
 
Gavana wa PA ameleta tena mambo ya rangi!

Nimeona comment yake...dah!!

“You’ve got conservative whites here, and I think there are some whites who are probably not ready to vote for an African-American candidate,”
Gov. Ed Rendell
 
Uliona hata Herbie Hancock alimpa Mzee Ojwang turufu juzi uskiku aliposema "Yes we Can"?

Huyo Has Been Hancock hana lolote....abaki kutunga muziki tu.

Kuhusu Gov. wa PA, alichokisema wala sio uongo. Ni ukweli ambao watu wengi wanakwepa kuuzungumzia ingawa ukweli wa mambo race itakuwa ishu Novemba. Swali la kujiuliza, will people vote for pride or prejudice? Black people will definitely vote for pride. What about white people?
 
Unajua binadamu ni watu ambao hata ufanyeje kuna watakaokukosoa na watakaokupongeza. Bill angeamua kukaa pembeni na kutomkampenia mke wake watu wangesema labda hataki mke wake naye awe raisi.


Nyani,
If you can't beat them join them. It is not too late to join the bandwagon. I voted today and it was Obama all the way. Achana na huyo McCain. Kwanza ni mzee na hana lolote. Na hata wale ambao wangemnyanyua wanasema he is not conservative enough.
 
Back
Top Bottom