US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Mukuu YRS,

Giants baby, yaani Manning sasa ni the best ever, si unajua New York, wiki tano zilizopita alikuwa She-Lie, kina Steve Smith kule ESPN, sasa wanalia kwa kejeli zao chafu!


Georgia State,

Obama 10, Hillary 0!
 
Icadon,
NN alisema hiyo kwamba GA na AL zitaenda kwa Obama. Lakini ukweli ni kwamba, jamaa atashinda white states kama Idaho kabla usiku huu haujakwisha!!!. NJ, CT, MA na Cali zote ni toss up, ka-usiku katakuwa karefu na huu mchakato utaenda Denver kuwa settled.
 
FMES,
She-lie no more!!! kuna Pats mmoja kakamatwa na drugs, na sasa tuna "spygate 2, the return of Belichik taping," now showing in theaters near you. kama tuhuma hizi ni za kweli basi huu pia ni UFISADI wa kimichezo!!!.

Mama anavunjwa mgongo leo, aliyesema endorsements hazi-tlanslate kuwa votes, nadhani aanze kujiandaa kumeza maneno yake!!. something unforeseen is happening, america is ready for black president......mmmmh atleast democrats wapo tayari ku-nominate one!. Go Obama.
 
Its too early wazee kusema lolote sasa hivi
 
Its too early wazee kusema lolote sasa hivi

true, true.........tutanza kupata picha nzuri mitaa ya saa nne EST!!!.
Romney analalamika foul play in WV, jamaa ni sole loser!!
 
YR uliona ule mchezo wa Fox walioanzisha mchana? alafu nasikia NJ mashine zilibuma(msemo wa kijiweni).

Whities wa GA wamewashinda wa SC, good signs.
tusibirie sasa maana most polling stations zinafungwa in 15 minutes
 
YR uliona ule mchezo wa Fox walioanzisha mchana? alafu nasikia NJ mashine zilibuma(msemo wa kijiweni).

Whities wa GA wamewashinda wa SC, good signs.
tusibirie sasa maana most polling stations zinafungwa in 15 minutes

Still Obama hapati majority (meaning zaidi ya 50%) kitu ambacho itakuwa key ktk general election. Halafu mkumbuke kwamba hata ktkt general election za weusi huwa wanavoti kwa asilimia hizo hizo kwa Democratic candidate...sign ambayo sii nzuri kwa Obama kwa sababu kama hataweza ku-crack 50% ya weupe atakuwa na wakati mgumu sana
 
UPDATE:Obama wins Democratic primary in Georgia; GOP race too close to call. (AP) » Read more

Obama wins Ga. with strong black support



ATLANTA - Democratic presidential hopeful Barack Obama coasted to victory in Georgia over rival Hillary Rodham Clinton, riding a wave of support from the state's large black population.

ADVERTISEMENT

On the Republican side, Sen. John McCain, former Massachusetts Gov. Mitt Romney and former Arkansas Gov. Mike Huckabee were locked in a three-way contest.

Blacks comprise about half of the Democratic primary vote in Georgia, and exit polls showed they lined up overwhelmingly behind Obama, an Illinois senator seeking to become the nation's first black president.

"Obama is just better because he makes people, like myself, get up and want to do something positive," said Felix Omigie, a black 42-year-old truck driver from Riverdale. "I can see that he is trying to tap more into the younger generation. He can relate to them."

The Associated Press made its call based on surveys of voters as they left the polls.

Obama had cultivated black support in the state, speaking from the pulpit of the Rev. Martin Luther King Jr.'s church the day before the federal holiday honoring the slain civil right leader. But Clinton made him work for the win. The former first lady had the backing of prominent black leaders such as Rep. John Lewis, a civil rights hero, and former Atlanta Mayor Andrew Young.

Many voters in Georgia said Tuesday they were moved by Obama's message more than his skin color.

"I didn't want to vote for Obama just because he was black," said Jacqueline Jenkins, 42, a black administrative assistant and part-time college student who voted outside Albany. "I didn't want to vote for Hillary just because she's a woman. I think both bring a lot to the table. I just think Obama would be a better choice."

The election was the first statewide in which Georgia required a photo identification of all voters casting their ballots in person. Some sporadic problems were reported, in part because people could not wait out delays caused by the ID checks before they had to leave for work.


Email Story IM Story Printable View RECOMMEND THIS STORY
Recommend It:

Average (5 votes)
» Recommended Stories
 
I Dare Predict Obama Will Win Alabama!!!!!!!!!!!!!!!!!! Time Now Is 7:55pm And The Polls Close At 8:00pm
 
YNIM uko wapi kaka....naona mama ana early lead MA...halafu imenishangaza kidogo huko TN...mama kashinda....
 
Kheeeee....Fox News inaproject Clinton anachukua MA....bwahahahahahahahaha....sina la kusema...nimebaki nacheka tuu
 
Bill Clinton is still very popular among democrats. IMO he the reason why Hillary is still in the race.
 
NN,
TN ilikuwa obvious, MA in roads zilianza late.......usije kukashangaa mwisho wa siku Obama ana-delegates wengi kushinda billary!! Cha msingi hapa ni kwamba HRC hapati landslide wins!.
 
Back
Top Bottom