US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

[media]http://www.youtube.com/watch?v=XL0KxjeKlrM[/media]
 
..icadon,

..mi sijamwelewa vizuri mcsame na hii gamble yake.

..ina maana akifa kwa cancer huyu mama kijana ndio atakuwa POTUS?

..nashindwa hata ku-imagine.

Kama umebahatika kutembelea blogs kadhaa jana na leo, watu wameanza kubring hii kitu up na afya ya McCain...ikitokea wakachaguliwa at one point lazima huyu bibie atakaimu urais sasa akina Putin au Ahmadinejad waamue kushow off their muscles huyu carrying, gun totting conservative si anaweza kuauthorize vita.

Ofcourse atapata kura za akina mama wa GOP ambao wangempigia McCain anyways, lakini akina mama wa Clinton au independents leo hii uwaambie choice ni illegal hmm sijui kama watakuelewa...After all Clintonites aren't that stupid, hawakumpigia kura Hillary kwa sababu ni mwanamke bali kwa kile anachoamini(kama wao).
 
Naona Wachangiaji wengi kwenye huu mjadala (nadhani wanajijua) wamevimba vichwa kujiona kama wao ni "Wataalamu", "Wachambuzi" au penginepo "Wasomi" wa mambo ya siasa za Marekani. Wengi wanaishia kusoma hoja (au arguments) za watu wengine kwenye blogs au news sites mbalimbali au pengine kusikia kwenye malumbano ya luninga halafu wanakuja humu kuzitema utadhani walizitunga wao, bila ya kutaja vyanzo vya hoja/habari zao. Ujumbe wangu kwao ni: Asilimia 99.9% ya hoja zinazoandikwa kwenye hii mada ni za kukopa (au tuseme kuibwa) na zinakosa "sense of originality". Shame on you fellas! We aren't fooled!
 
Naona Wachangiaji wengi kwenye huu mjadala (nadhani wanajijua) wamevimba vichwa kujiona kama wao ni "Wataalamu", "Wachambuzi" au penginepo "Wasomi" wa mambo ya siasa za Marekani. Wengi wanaishia kusoma hoja (au arguments) za watu wengine kwenye blogs au news sites mbalimbali au pengine kusikia kwenye malumbano ya luninga halafu wanakuja humu kuzitema utadhani walizitunga wao, bila ya kutaja vyanzo vya hoja/habari zao. Ujumbe wangu kwao ni: Asilimia 99.9% ya hoja zinazoandikwa kwenye hii mada ni za kukopa (au tuseme kuibwa) na zinakosa "sense of originality". Shame on you fellas! We aren't fooled!

WoW!! "Shame on you fellas" , nice way to start a conversation! Karibu katika thread yetu and if you are not pleased with what you read, please move on. Kuna mtu amekwambia kwamba hapa kuna pundits, wasomi, n.k? Hebu soma alivyosema mwenzetu hapo nyuma.... kabla hujapanda basi soma kibao kinasemaje!!
And by the way instead of coming and talking BS, njoo na pointi zako hapa na si kuwatukana wenzako. Just your post shows that you are full of insecurities and don't have an original thought in your mind! Shame on you, DUDE!!!!!
 
The Worst Vice-Presidential Nominee in U.S. History

There was a TV ad for deodorant that said, "Never let them see you sweat." The John McCain campaign has just showed the world that it is drenched.

Selecting Sarah Palin as its choice for a vice presidential candidate is perhaps the worst such choice in American History. To be fair, maybe there are worse choices, but I don't know how bad William O. Butler was when he ran with Lewis Cass against Zachary Taylor.

But it's far worse than Dan Quayle, who was a sitting senator. Worse even than Geraldine Ferraro, who at least served in Congress for three-terms. And far worse than William Miller, a choice so obscure when selected by Barry Goldwater that he (honestly) later did an American Express commercial asking, "Do you know me?" And that ad was after the election. But even Miller had been a Congressman for 12 years. And been a prosecutor during the Nuremberg War trials against Nazis. Sarah Palin lists her credits as a hockey mom.

There was a point during the Republican primaries when I was trying to figure out who I hoped got the presidential nomination. Someone so weak he'd be easy for the Democrats to beat, or someone more challenging who at least wouldn't be a disaster for America. I decided on the latter because America has to resolve its serious problems and can't afford risking some glitch where another George Bush got elected. And so I felt that John McCain, for all his weaknesses, was the lesser of all evils and was glad he got the nomination. Throw that out the window. McCain-Palin is an unthinkable disaster.

I completely understand the reasoning behind the decision for John McCain to select Sarah Palin. Absolutely. It's the thinking that settled on Sarah Palin that's missing.

No doubt John McCain will get some women to vote for him who wouldn't have otherwise, and even some independents. But he will also probably lose as many Republicans uncomfortable with a woman on the ticket - let alone a woman with so little experience as Sarah Palin. Not to mention that the choice will cause many undecided Democratic women to be aghast and push them back to following their Democratic beliefs. And further, it will lose all the independents who look at the GOP ticket and say "This is who I'm supposed to give my vote for the next four years to lead and protect America??" It may even appeal to right-wing evangelicals for her strong pro-life stance and get some to vote - but that position and others related to it are specifically what loses even more women voters. And men. Ultimately, the nomination will lose far, far more votes than it gains.

But this is not the reason the decision is so terrible.

It's always said that the most important decision a presidential candidate makes is their pick for vice president. It shows their thinking and judgment. John McCain, in his first decision, has just told the world that he believes Sarah Palin is the most qualified person to be a heartbeat from the presidency. Forgetting all the available men for a moment, if John McCain felt it critical to select a woman in an effort to somehow grab the Hillary Clinton supporters, look at his choice of women he had available: Christine Todd Whitman, Kay Bailey Hutchinson, Elizabeth Dole, Susan Collins, even - for goodness sake - Condoleezza Rice. Or Carly Fiorina. Each of these have marks against them, and perhaps some might not have wanted to run, but it's near-impossible to look at the list and suggest to the American public that Sarah Palin is the best choice of Republican women to be vice president. And again, this is ignoring the men he who could have been chosen.

It's not that Sarah Palin is inexperienced. It's that this is gross political misconduct.

Sarah Palin has been governor of Alaska for just a bit over 18 months. Alaska has a population of 683,000. (Though that doesn't include moose.) This would only make it the 17th most populous city in the United States. Just ahead of Fort Worth.

Before that, she was mayor of Wasilla, Alaska. Population 9,000. I know Republicans like to promote "small town values," but this is taking things to ridiculous extremes, don't you think? I'm from Glencoe, Illinois, population 8,762. It's so small it doesn't even have a mayor, it has an appointed village manager. I'm sure that Paul Harlow is doing wonderfully at his job in the village - but I don't expect that he sees himself as even wanting to be a heartbeat from the U.S. President in 18 months. You know what the top news story is on the Glencoe website? "Fire Hydrant Painting Underway." (To be fair, it's the #2 story. The top news is a clarification about displaying political signage.)

Do you know what the first two "powers and duties" are for the mayor of Wasilla, Alaska? Check their municipal code:

1. Preside at council meetings. The mayor may take part in the discussion of matters before the council, but may not vote, except that the mayor may vote in the case of a tie;

2. Act as ceremonial head of the city;


Swell.

If you live in small town America (and I mean really, really small), look around you and be honest - do you see your mayor (or village manager) as a heartbeat from the presidency in 18 months?
But that's not the reason either that the decision to make Sarah Palin the VP nominee is so terrible.

It's one thing to discuss how unqualified Sarah Palin is. That's a national matter and huge. But on a grassroots political level, her nomination takes away the Republicans' ONLY weapon in the campaign - calling Barack Obama inexperienced. They haven't even been trying to run on the issues, or on the eight-year record of George Bush, which John McCain has supported almost 95% of the time. They've only been running on the faux-issue of Barack Obama's experience of 14 years in federal and state government. Yes, Sarah Palin is merely running for VP, not president, but with a 72 year-old candidate with a history of serious medical issues, this is who they're saying is able to step in as president in a heart-beat. She has so little experience that she makes Sen. Obama look like FDR, Winston Churchill and Julius Caesar combined. So, the Republicans pulled the rug out from under themselves. They have no issues. The economy? Housing? The national debt? Education? The Environment? Iraq? Afghanistan? Nothing. All they have is "Dear Democratic women: please pretend our VP candidate is Hillary Clinton. Just forget that she's pro-life. And against most things Democrats stand for."

But that's not the reason the decision is so terrible.

Because if the hope for John McCain is to get women to vote for him who otherwise supported Hillary Clinton - if anything could get Hillary Clinton campaigning in full force and fury...this is it. She likely would have campaigned hard, but it's in Hillary Clinton's best interest to be the leading voice for women, and the leading woman candidate for president in the future, so having another woman as the potential Vice President (and potential President) is a significant challenge to that. The Republicans just opened Pandora's Box and brought Hillary Clinton roaring to Barack Obama's side on the Democratic train. And Bill Clinton, too.

Yet even that's not the reason the decision is so terrible.

What this does in the most profound and grandiose way possible is give lie to John McCain's pompous posturing that he Always Puts America First. And that undercuts the most prominent campaign issue of his entire career, that everything he does is for reasons of honor. There is nothing honorable about making Sarah Palin your vice presidential nominee. Nothing. Unless you define honor as "blatantly pandering."

But that's not the reason either that this decision is so terrible.

But before we get to that, let's look at the actual announcement to make Gov. Sarah Palin (AK - pop. 683,000) the Republican nominee for president, and put the horrible decision in perspective.

First, John McCain stood at the podium, looking up-and-down reading his speech. It's impossible not to compare that to Barack Obama giving his majestic speech the night before that even conservative analysts were admiring in awe.

Second, the cameras were polite enough to avoid it, but there were empty seats in the gym. It's impossible not to compare that to a stadium of 75,000 people that Barack Obama spoke to the night before.

Third, when people around the nation were waiting to hear about Sarah Palin's qualifications and gravitas to be Vice President of the United States, the first five minutes of her speech were spent talking about her husband being a champion snowmobiler.

Fourth, when she finally got around to her qualifications, pretty much all we discovered was that she fought to cut property taxes. And then, she basically stopped there.

She did, however, mention becoming energy self-sufficient - by talking about how she supported drilling in Alaska!!! Perhaps to Republicans this is being an environmentalist, but to most of America, not so much. Then again, she's also against putting polar bears on the endangered species list (which the government did), so maybe her environmental qualifications are more lax than she thinks.

And then, finally, she spent the rest of her time praising John McCain. Fine, that's very supportive of her...except that the one question on everyone's mind was not -- "can you say John McCain is a swell guy and tell us that he was a POW", the question on everyone's mind was - "Who in God's name are you, and please tell us why you should be a heart-beat from the presidency?"

In the end, the only case she herself made for being on the ticket was praising Hillary Clinton! That's it, period. Now, it might be enough to attract some women -- but it doesn't make a case for the ticket. Why? Hint: some women did vote for Hillary Clinton solely because she was a woman. But most women voted for Hillary Clinton because she was a Democrat, as well as a woman, who stood for important Democratic values they seriously believed in. If Sarah Palin wants to praise Hillary Clinton, go for it. But at least understand what you're praising. Because it will likely come back and bite you.

It was a thin, nothing, empty speech. It was a speech to be head of the Chamber of Commerce. Compare that to the speech by Joe Biden when Barack Obama introduced him. Eloquent, soaring and explaining in blunt detail why John McCain should not be president. Joe Biden must have been watching Sarah Palin's speech, in order to take notes in preparation for his debate with her and thought, "This isn't fair."

And all that's not even the reason the decision is so terrible.

The reason is because the election is not about Sarah Palin. Or about Joe Biden. As much as TV analysts want to be excited by the balloons and hoopla, tomorrow the air will be let out, and there are still over two months to go for the campaign.

The campaign is about Barack Obama and John McCain.

Sarah Palin's nomination doesn't change that. In fact, it reinforces it. Nothing about putting Sarah Palin on the GOP ticket changes a word that Barack Obama said in his vibrant acceptance speech - about himself, about his issues, and about John McCain's repeatedly faulty judgment on the critical issues facing America.

What Sarah Palin's nomination does do is focus attention on John McCain's age. Indeed, the nomination was made on his birthday, when he turned 72, the oldest man ever to run for president. As the crowd sang "Happy Birthday to You," you almost sensed that through John McCain's clenched smile, saying, "Thanks for reminding me," that what he was thinking underneath was "Please, oh, please, don't sing the 'How old are you now?' part." And how good a message was it that he's saying he supposedly forgot it was his birthday?

Vice presidents are usually selected as people who are adept at blasting the other side's presidential candidate, because it's only the presidential candidate that matters. Joe Biden has already done that - twice - at length, spoken as someone who knows John McCain well and likes him. Sarah Palin had her first chance...and whiffed. Didn't even try. And it's hard to imagine what she has in her arsenal that will remotely allow her to do so in the future.

The election is about the presidential candidates. And the selection of Sarah Palin now allows Barack Obama to campaign untouched by the Republican ticket. John McCain's only other option is for himself to personally become negative for two months - which is disaster in presidential politics.

Now add on all the problems expressed above. Sarah Palin's inexplicably laughable lack of substance, most-especially on the foreign policy stage. Her taking away the one issue, experience, Republicans were even attempting. Her pushing away voters who might otherwise be willing to vote for a senator with 26 years in the Senate. Her bringing Hillary Clinton aggressively back into the campaign. Her inability to offer anything to off-set Joe Biden. Her standing as supposedly the most-qualified Republican woman as John McCain's first decision.

And, in the end, it all focuses back on Barack Obama, with his indictment of eight years of the Bush Administration and of John McCain's flawed judgment - and John McCain's defense of all that.

Republicans might be dancing earlier today, because there was a lot of fun music playing. But the music has stopped. The actual campaign has now started. For Republicans, it might have ended.

I think Sarah Palin has just as little or as much experience to be the president as Obama. The problem with liberal elites such as the one who wrote this article is they are completely disconnected from middle America. I think this woman will resonate in middle America because she is just like them. Middle America is what decides American elections. That's how Bush won the elections because he was viewed as one of their own. Obama will never resonate in middle America and not because he is a Bantu. He is an elitist with exotic background. Indonesia, Kenya, Hawaii, Havard who in middle America is going to identify with that? I don't see Obama winning one single southern state...lol!
 
mmmh?? a 10 year old??? Well she must be a helluva-of-a-ten-year-old to be able to convince us of a racial divide. In so saying, we should go back and declare Princeton graduates as 10-year-olds as well.
interesting...........very interesting

Not so much as the content of thesis but her writing style is that of a 10 year old. Albeit the content of the thesis is just as nonsensical. Princeton graduates? I don't think the woman deserved to be in Princeton let alone graduate from there.
 
Rev.Kishoka,

..orodha ya viongozi waliokuwa na watoto wakiwa madarakani ni ndefu mno.

..nina hakika Nyerere,Kaunda,and Samora, wote walipata watoto wakiwa Ikulu. JFK naye nadhani alipata wakwake Ikulu.Tony Blair majuzi nao walibarikiwa mtoto wakiwa # 10 downing. sina uhakika kuhusu Benazhir Bhuto na Indira Gandhi.

YNIM,Nyani McCain,

..mashaka yangu kuhusu Sarah Palin ni uwezo wake intellectually.

..kuhusu experience itabidi tumpe credit tu kwasababu McCain,Obama,na Biden, wote hawana Executive Experience.

..McCain,Obama,Biden, hawaja-manage chombo chochote kile in the all the decades they have been in public office.

..tunaweza kudai kwamba Mama Palin ameongoza ka-mji kadogo kama Mayor, au jimbo dogo Alaska, je hizo districts za kina McCain,Obama,na Biden, zina ukubwa na population, kiasi gani?

..kuna Republican governors wenye resume nzuri na nzito kuliko Sarah Palin. sijui kwanini McCain akawaacha hao aka-gamble na huyu mama.

..vilevile hii ticket ya Republican inaonekana iko weak sana intellectually. both McCain and Palin do not come across as policy wonks. naamini Uraisi na Umakamu wa Marekani unahitaji watu wa namna hiyo.

..i dont know how Sarah Palin will stand up to Joe Biden during the debate? kitakachomuokoa ni kwamba wana debate mara moja tu. au labda Biden atatoa kauli ya ajabu itakayowachukiza wananchi. vinginevyo nina wasiwasi Sarah Palin ataonekana kama a college intern.

NB:

..kwa upande mwingine naona watu wamepandwa jazba kwelikweli. majadiliano yamegeuka kuwa kama mibashano ktk kilabu cha pombe. labda ndiyo weekend hiyo.

..pia msi-quote watu kama Jim Clayburn. huyu jamaa ni biased na racist.

Kuhusu intellect....mlisema hivyo hivyo kuhusu GWB na bado akawapiga bao mara mbili. Mlisema hivyo hivyo kuhusu Reagan and the rest is history. Democrats wanapenda sana kujidhania wana akili kushinda Republicans. That's just a myth.

Nakumbuka mlivyosema kuhusu GWB ku-debate na Al Gore.....mkarudia vivyo hivyo 2004 kuhusu GWB ku-debate John Kerry.....and guess what happened?

Halafu una-question intellect yake kwa sababu ni mwanamke. Angekuwa dume wala usingehoji uwezo wake kiakili. Yaani mama wa watu hata humpi nafasi kuonyesha uwezo alionao wewe tayari umeshaanza kuhoji uwezo wake wa akili. Shame on you Jokakuu...shame on you. Mama wa watu alimshinda incumbet GOP gorvenor na akaja kumshinda Dem challenger kwenye uchaguzi wewe bado unahoji akili yake. Hivi mtu kuwa raisi au makamu wa raisi inabidi awe na akili kiasi gani na unapimaje hiyo akili? Shame on you Jokakuu....shame on you.....
 
Kuhusu intellect....mlisema hivyo hivyo kuhusu GWB na bado akawapiga bao mara mbili. Mlisema hivyo hivyo kuhusu Reagan and the rest is history. Democrats wanapenda sana kujidhania wana akili kushinda Republicans. That's just a myth.

Nakumbuka mlivyosema kuhusu GWB ku-debate na Al Gore.....mkarudia vivyo hivyo 2004 kuhusu GWB ku-debate John Kerry.....and guess what happened?

Halafu una-question intellect yake kwa sababu ni mwanamke. Angekuwa dume wala usingehoji uwezo wake kiakili. Yaani mama wa watu hata humpi nafasi kuonyesha uwezo alionao wewe tayari umeshaanza kuhoji uwezo wake wa akili. Shame on you Jokakuu...shame on you. Mama wa watu alimshinda incumbet GOP gorvenor na akaja kumshinda Dem challenger kwenye uchaguzi wewe bado unahoji akili yake. Hivi mtu kuwa raisi au makamu wa raisi inabidi awe na akili kiasi gani na unapimaje hiyo akili? Shame on you Jokakuu....shame on you.....
Nyani,'
Hivi ulikuwepo wakati wa Bush-Gore? I voted for Gore and lost. Lakini wakati huo nilikuwa bado sijajiunga kwenye mtandao wowote. Ungenikoma!
 
Nyani,'
Hivi ulikuwepo wakati wa Bush-Gore? I voted for Gore and lost. Lakini wakati huo nilikuwa bado sijajiunga kwenye mtandao wowote. Ungenikoma!

Nilikuwepo tokea Dole v Clinton.....

Sasa ningekumoa kivipi wakati mtu wako alishindwa......? Wewe ndio ungenikoma.....

Lazima nikupigie simu Novemba 4 kukupa pole na vidonge at the same time......
 
Kuhusu intellect....mlisema hivyo hivyo kuhusu GWB na bado akawapiga bao mara mbili. Mlisema hivyo hivyo kuhusu Reagan and the rest is history. Democrats wanapenda sana kujidhania wana akili kushinda Republicans. That's just a myth.

Nakumbuka mlivyosema kuhusu GWB ku-debate na Al Gore.....mkarudia vivyo hivyo 2004 kuhusu GWB ku-debate John Kerry.....and guess what happened?

Halafu una-question intellect yake kwa sababu ni mwanamke. Angekuwa dume wala usingehoji uwezo wake kiakili. Yaani mama wa watu hata humpi nafasi kuonyesha uwezo alionao wewe tayari umeshaanza kuhoji uwezo wake wa akili. Shame on you Jokakuu...shame on you. Mama wa watu alimshinda incumbet GOP gorvenor na akaja kumshinda Dem challenger kwenye uchaguzi wewe bado unahoji akili yake. Hivi mtu kuwa raisi au makamu wa raisi inabidi awe na akili kiasi gani na unapimaje hiyo akili? Shame on you Jokakuu....shame on you.....

Hehe na umeona price ambayo nchi inalipa kwa kumchagua Dubya mara mbili lol....
 
posl01_obama0803.jpg

Two-year-old Barack Hussein Obama, in Honolulu, Hawaii, in 1963. His mother, Stanley Ann Dunham, was the white daughter of a Kansas furniture and insurance salesman who moved his family to Hawaii on the eve of statehood. There, she met and married Barack Hussein Obama Sr., a former Kenyan goatherd and the first African student to enroll at the University of Hawaii
posl03_obama0803.jpg

Barack and his ninth-grade class at Punahou School in 1976. His maternal grandparents arranged for him to receive a scholarship to the prestigious Honolulu school. Obama says his grandmother (who became the first female vice president of the Bank of Hawaii) "injected" into him "a lot of that very midwestern, sort of traditional sense of prudence and hard work."
posl05_obama0803.jpg

Barack playing varsity basketball at Punahou in 1979. "Basketball was a good way for me to channel my energy," he says. "It did parallel some of the broader struggles I was going through, because there were some issues in terms of racial identity that played themselves out on the basketball court."
posl07_obama0803.jpg

The newly elected first black president of the Harvard Law Review, February 1990. His ambitions growing, Obama ran for president during his second year at Harvard Law. "I probably figured I would practice law for a while but then be part of some large-scale community-rebuilding effort," he says. "I don't think at that point that I was absolutely focused on politics."
posl08_obama0803.jpg

Michelle Robinson and Barack Obama on their wedding day, October 18, 1992, with Michelle's mother, Marian Robinson, at left, and Barack's mother, Ann Dunham
 
Naona Wachangiaji wengi kwenye huu mjadala (nadhani wanajijua) wamevimba vichwa kujiona kama wao ni "Wataalamu", "Wachambuzi" au penginepo "Wasomi" wa mambo ya siasa za Marekani. Wengi wanaishia kusoma hoja (au arguments) za watu wengine kwenye blogs au news sites mbalimbali au pengine kusikia kwenye malumbano ya luninga halafu wanakuja humu kuzitema utadhani walizitunga wao, bila ya kutaja vyanzo vya hoja/habari zao. Ujumbe wangu kwao ni: Asilimia 99.9% ya hoja zinazoandikwa kwenye hii mada ni za kukopa (au tuseme kuibwa) na zinakosa "sense of originality". Shame on you fellas! We aren't fooled!

..kweli wewe dude!

..nani kakwambia hapa watu wamevimba vichwa?

..hapa watu wanachangia mada kwa kutoa maoni yao kwa kile wanachokiona,sikia na kuambiwa.

..ujinga utajipa wewe mwenyewe, hamna mtu atakupa humu!

..you are on your own!
 
I think Sarah Palin has just as little or as much experience to be the president as Obama. The problem with liberal elites such as the one who wrote this article is they are completely disconnected from middle America. I think this woman will resonate in middle America because she is just like them. Middle America is what decides American elections. That's how Bush won the elections because he was viewed as one of their own. Obama will never resonate in middle America and not because he is a Bantu. He is an elitist with exotic background. Indonesia, Kenya, Hawaii, Havard who in middle America is going to identify with that? I don't see Obama winning one single southern state...lol!

..unatakiwa kufikiria zaidi, huwezi mfananisha huyo mama na obama, hamfikii hata robo.

..we'll see who win this election..........
 
Nilikuwepo tokea Dole v Clinton.....

Sasa ningekumoa kivipi wakati mtu wako alishindwa......? Wewe ndio ungenikoma.....

Lazima nikupigie simu Novemba 4 kukupa pole na vidonge at the same time......


..babu yako mcsame akishindwa hilo jina utalifanyaje?
 
Nyani McCain,

..sikuwa na nia ya kumnyanyapaa Mama Sarah Palin hata kidogo.

..lakini ninachojiuliza ni: what is McCain trying to get by picking her as his running mate?

..Obama amemleta Joe Biden ili kumsaidia ktk masuala ya Foreign Policy.
 
Hehe na umeona price ambayo nchi inalipa kwa kumchagua Dubya mara mbili lol....

Alisema uvamizi wa Iraq ungegharimu $30 billion, mpaka sasa hivi gharama ni $700 billion and counting. Aliingia madarakani kukiwa na budget surplus kaitafuna yote sasa hivi kuna budget deficit ya $500 billion! Aliingia madarani deni la US likiwa $4.5 Trillion, sasa hivi deni hilo ni $9.5 Trillion and counting! kumchagua tena Republican the so called 'fiscal conservative' kutakuwa ni disaster kubwa siyo tu kwa Marekani bali kwa dunia nzima.
 
..unatakiwa kufikiria zaidi, huwezi mfananisha huyo mama na obama, hamfikii hata robo.

..we'll see who win this election..........

DSL, Wanaweza kushinda kwa kuiba kura na kuintimidate wapiga kura hasa weusi. Si waliiba kura katika chaguzi za 2000 na 2004. Mwaka huu watatangaza katika maeneo ya weusi kwamba wote wenye criminal record wakienda kupiga kura watakamatwa (huwa wanatangaza hili kila chaguzu) halafu huweka mabango katika maeneo ya weusi wengi kwamba uchaguzi umeahirishwa kwa wiki moja na hawa weusi wanaongalia BET 24/7 huwa wanaamini hivyo. Halafu katika maeneo ya weusi wengi kupiga kura inabidi usimame kwenye mstari si chini ya masaa 5 na kuendelea wakati kwa wazungu hata haiwachukui dakika 10 kupiga kura.

Republican watatumia kila njia hata za haramu ili kuhakikisha wanashinda na pia namwamini Putin aliposema kwamba Marekani iliishawishi Georgia ivamie jimbo linalotaka kujitenga la Ossetia ili kumpa advantage Mcsame
 
DSL, Wanaweza kushinda kwa kuiba kura na kuintimidate wapiga kura hasa weusi. Si waliiba kura katika chaguzi za 2000 na 2004. Mwaka huu watatangaza katika maeneo ya weusi kwamba wote wenye criminal record wakienda kupiga kura watakamatwa (huwa wanatangaza hili kila chaguzu) halafu huweka mabango katika maeneo ya weusi wengi kwamba uchaguzi umeahirishwa kwa wiki moja na hawa weusi wanaongalia BET 24/7 huwa wanaamini hivyo. Halafu katika maeneo ya weusi wengi kupiga kura inabidi usimame kwenye mstari si chini ya masaa 5 na kuendelea wakati kwa wazungu hata haiwachukui dakika 10 kupiga kura.

Republican watatumia kila njia hata za haramu ili kuhakikisha wanashinda na pia namwamini Putin aliposema kwamba Marekani iliishawishi Georgia ivamie jimbo linalotaka kujitenga la Ossetia ili kumpa advantage Mcsame

..kazi kwelikweli.
 
Back
Top Bottom