mpaka hapo Obama kashinda tayari,kwa sababu kaifanya dunia nzima kutafakari juu yake,na pengine kama si Obama mimi na wewe tusingejadili habari ya uchaguzi wa Usa kwa kiwango hiki.
Kama vijiwe kadhaa huko USA vinamjadili in the positive way inakuwaje sisi wenzake tunamjadili in the negative way? Obama kafikisha ujumbe na ndio maana hata mzee Mcain (spelling) kwa sasa sio the talk of the world licha kuwa ni mgombea toka chama tawala.
Hata kama atashindwa,lakini jamaa ni potential kikwelikweli.
Kama vijiwe kadhaa huko USA vinamjadili in the positive way inakuwaje sisi wenzake tunamjadili in the negative way? Obama kafikisha ujumbe na ndio maana hata mzee Mcain (spelling) kwa sasa sio the talk of the world licha kuwa ni mgombea toka chama tawala.
Hata kama atashindwa,lakini jamaa ni potential kikwelikweli.