Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,103
- 136,763
Mabaguzi mengi yalikuwa yakimsubiria Edwards na sasa ameyapa green light kuwa Jaluo ni mtu ni safi!
Kwa hiyo una imply Edwards naye ni mbaguzi?
Mabaguzi mengi yalikuwa yakimsubiria Edwards na sasa ameyapa green light kuwa Jaluo ni mtu ni safi!
.....hii nayo imekaje wasee? lakini mpaka ikifika Nov watakuwa wameelewa somo, hatoki mtu humu mwaka huu mpaka awe kahesabiwa!!
Controversy Created By Tavern Selling Obama 'Curious George' T-Shirts
The owner of Mulligan's Bar and Grill in Georgia has caused quite a stir, leading to protesters outside of his establishment because he has been selling T-shirts that depicts cartoon chimp Curious George peeling a banana, with "Obama in '08" underneath.
The owner of the Georgia Tavern insists that the shirts weren't meant to offend and has described them as "cute," but protesters disagreed, saying that it is a racist slam against Barack Obama.
Several people as well as community groups held protests outside of Mulligan's Bar and Grill on Tuesday. Those groups included, Southern Christian Leadership Conference, the Nation Of Islam, and the Cobb Immigrant Alliance.
Norman, who has been described as "ultra conservative" answers his critics with even more controversial statements, such as, "We're not living in the '40's. Look at him . . . the hairline, the ears he looks just like Curious George."
Approximately a dozen protesters stood outside his tavern on Tuesday, one of which was Marietta native Pam Lindley, who joined the protest after reading about the controversy online and she says, "I don't want people to think this is what Marietta is all about. This is what some people think the South is still like. Marietta's come a long way but I guess it's still got a little ways to go."
Defenders of Norman assert Mulligan's is a refuge and Gene McKinley who is one of Mulligan's patrons says, "This place is a diamond in the rough. People here are genuine and honest. It's the one place I can go without having to worry if I'm offending someone."
Despite the protests, since this has now gotten national attention and media coverage, Norman says he has been fielding calls since the story broke with one man in New Jersey asking him to send him 100 T-shirts.
He said he noted physical similarities between the Democratic frontrunner and the cartoon monkey while watching a Curious George movie with his grandchildren.
He is now planning to use this as his marketing tool.
This has been picked up by CBS, United Press International, Boston Herald and a number of other media outlets.
..je ni ubaguzi, ignorance, janja ya RNC ku-stir trouble au ni vyote kwa pamoja!!?? Nyani, Marietta namna gani tena!!?
"I'm going to work my heart out for whoever our nominee is. Obviously, I'm still hoping to be that nominee, but I'm going to do everything I can to make sure that anyone who supported me ... understands what a grave error it would be not to vote for Sen. Obama."-Hillary Clinton
*and she meant picking McCain over Obama. Ila washabiki wake aaah wanaona ni bora wampe McCain ili wote(Barack na Hillary) wakose.
![]()
Kwa hiyo una imply Edwards naye ni mbaguzi?
MSNBC Article
http://www.msnbc.msn.com/id/24628804
![]()
CNN Article
http://www.cnn.com/2008/POLITICS/05/...ama/index.html
Cobb county noma....
Ila itabidi niende kwenye hiyo tavern nikale mbawa za kuku.....unadhani wataniwekea sumu?
Cobb county noma....
Ila itabidi niende kwenye hiyo tavern nikale mbawa za kuku.....unadhani wataniwekea sumu?
.....eebana utabidi upunguze kuangalia fixnuz na ku-idolize majamaa, maana sasa ipo clear kwamba tunakupoteza!!!
......mie kwa leo!! goodnight and goodluck y'all.
MSNBC Article
http://www.msnbc.msn.com/id/24628804
![]()
CNN Article
http://www.cnn.com/2008/POLITICS/05/...ama/index.html
Amekuja kuwachukua mabaguzi ambao walikuwa wakimsapoti yeye before na kuamua kusympathize na Mama mara baada ya yeye kujitoa!
Amekuja kuwaambia jaluo ni mtu cool tu! Na hivyo warudi nyumbani kwani sasa na yeye yuko pamoja naye!
Hiki ni kipimo tosha..Kama jaluo akiweza kuregain kutokana na hili..then usishangae vijana hawa wadogo wawili waka run together na Mama kudondoshwa kama kiazi cha moto!
Kama endorsement ikilipa kwa kupata kura zaidi ya Mama..Then usishangae Edwards akipata u VP!
Na hii mwenyewe umeiona hoja ya maana? Eti wazungu hawatupendi...well, inawezekana kuna baadhi ambao hawatupendi lakini kusema eti wazungu (ukimaanisha wote) hawatupendi si sawa. Hivi kwa hiyo akili yako unadhani bila wazungu Obama angefika hapo alipo ktk huu mchakato? Wazungu wako wengi mno Marekani kiasi kwamba kama wote wangekuwa wanamchukia Obama na badala yake kumpigia kura Mama, Obama angekuwa kesha achia ngazi muda mrefu. Hakuna jimbo hata moja hapa Marekani ambalo weusi ndio wengi kuliko wazungu. Hata the Deep South wazungu ni wengi sana kuliko weusi. Sasa ndugu yangu fanya utafiti kwanza, halafu ufikirie unachotaka kusema, ukichambue halafu ndio ubandike. Sio kuropoka ropoka kama umekunywa huku hujui unaongelea nini.
Pundit ulikuwa wapi bwana na wewe, haya ma-analyses yako tumeyakosa sana huku!
Hivi kweli hii ya Edwards nayo mnaifanya deal. Edwards mwenyewe inaonekana hana ubavu wa kufanya maamuzi magumu. Anasubiri hadi jamaa ameshamla karibu ng'ombe mzima ndio anajifanya kumpa support, huu ni uhuni au anatafuta ugombea mwenza? Kwa nini hakuwa as courageous and daring as Bill Richardson?
Si ndio mitaa yako ya Cobb County... angalia usije kuambiwa kumeja na ukichungulia ndani unaona kutupu.