Masanja: nimekupata mkuu lakini naomba uelewe kwamba 82% ya watanzania waliompigia kura Kikwete walifanya hivyo with very limited information. Usitake tuingie kwenye masuala ya siasa ya Bongo maana hapa si mahali pake, lakini kama Kikwete angekuwa vetted like Obama na Hillary, angekuwa kama Richardson na Dodd! Experience nyingi lakini nothing more.... Bongo hakuna vetting hakuna media inayofuatilia issues. Hiyo ya kumpigia debe nakuhakikishia watu wengi na wasomi walijua huyu JK hana uwezo wa kuendesha nchi mwaka 2005! Lakini baada ya yeye kushinda na rushwa huko Dodoma, wananchi wengi walijiambia MAYBE atatufaa...
Nakwambia Hillary na Obama wote are thousands of leagues above JK, and even we Tanzanians deserve better. Kwanza nilisoma kwenye thread zingine, unafikiri ni akina Obama wangapi wako nje ambao ni half casti au watanzania waliolowea nje na wanashindwa kuchangia maendeleo ya Bongo kutokana na archaic laws zetu. Lakini cheki Marekani wako open, baba yake BO ni foreginer lakini anagombania urais
Tungekuwa open like this, mbona tungepata maendeleo?
Susu mkuu wangu unachoongea hapa ni kweli tupu! BUT lets not walk faster than the music!
Kucompare USA na nchi kama yetu we are missing a point(or losing a bearing?). Iam not trying to bring excuse here..NO..lakini USA nayo ina mapungufu yake ambayo hata mtanzania na umaskini wake asingetamani kuyaexperience leo he (after all we have enough already)! Hivi nikuulize hiyo marekani unayoiona, mtu mweusi ameanza kuthaminiwa lini? watu weusi wameanza KUPIGA KURA lini? kifupi democratic participation ya weusi imeanza juzi! walikuwa consigned kwenye dustbin ya history as a lost course kama Jamaa yetu......Infact mpaka leo wengi wanaamini kwamba wazungu wengi kumpa kura OBAMA ni minimalist approach (though me I believe BO is simply a better politician than his contemporaries..) USA ilikuwa ni preserve ya weupe tuu! Usione akina Wright wanaongea kwa machungu ukawalaumu people have undergone terrible suffering. na exploitation ya miaka mia mbili haitamalizwa na mwesui kuwa WH for four to eight years! rather to change the racial and economic structures of the society
JK ni lost case I agree lakini kama wanavyosema wengine lazima vile vile tuangalie JK alikuwa nani katika mazingira yetu. JK amekuwa FOREIGN MINISTER WA SOVEREIGN STATE (hata kama ni maskini haijalishi) ametuwakilisha raia million 40 kwenye international standing nyingi sana..., sasa obama na hillary hiyo kapriensi waliitoa wapi?? Ni wapi Obama ameshawahi kuiwakilisha serikali katika mazungumzo yoyote? ni wapi Hillary ameshawahi kuiwakilisha serikali kwenye mazungumzo yoyote? (si semi kwamba kapriensi ni serikalini tuu)..lakini experience waliyonayo ni ipi???? sema wote wana EXPOSURE na wamezaliwa na kuishi kwenye mfumo ambao umekamilika tayari. Wewe Susuviri.... Iam sure umefight kwenda huko uliko ukubwani (kunradhi kama wewe umezaliwa huko au wazazi wako walikuwa wanaishi huko)..reflect back unakotoka mpaka ulipofika na sasa unavyoiona dunia..ni viunzi vingapi umeruka?
Kifupi JK ni lost case I fully agree with you.. na amebetray matumaini ya watanzania lakini ukweli ni kwamba hawezi singizia kwamba hana uzoefu neither can we undermine his experience.....he KNOWS what he is doing, protecting his cronies, na kushindwa kupambana na maadui wanaotusumbua kama umaskini.
Hiyo ya kuwa vetted nadhani tunakosea kidogo kaka..why? usiwe kama Mkapa kwamba SI unit ya mwanahabari bora ni RIZI KHAN wa CNN (by the way sijui yuko wapi siku hizi)..bongo hiyo media iko wapi? magazeti yetu mengi ni vijarida vya watu..waandishi wengi ni njaa tupu....hakuna objectivity as you see here at JF na vichwa vya habari vya magazeti.....OK, assume hata JK angekuwa vetted...ni wangapi wana access na hiyo media? personally babu yangu ambaye ndo mpiga kura mahiri tangu uhuru hana TV, redio yake ni mkulima na inashika Majira na KBC ya Kenya! sasa hiyo vetting itamuaffect vipi? na mind you ni wangapi wana redio wachilia mbali hiyo Luninga?
Susu you are one of the people I admire for their objectivity..but mkuu wangu..tunapodiscuss matatizo ya Africa..lazima tujivue miwani ya western world tuingie kwenye hali halisi ya bara letu! Kusema kwamba JK hakuwa vetted kama BO au HRC..tunajidhulumu wenyewe...who will vet who in bongo? mkuu akina Wolf Blitzer, Oberlman, Mathews..bongo hatuna, wanaojaribu ndo akina Ulimwengu hao..wananyang`anywa uraia..upo?
Tuendelee na issues, otherwise I enjoy our diverse perspectives of seeing things. I think its health!