US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

..kile kitendo cha Obama kumficha Pastor Wright kwenye basement inaonyesha dhahiri kwamba ni SIASA.

..vilevile kitendo cha Obama kumtosa Pastor wake, kinadhihirisha kwamba Obama is doing this for politics. kama Obama angekuwa anachukua uamuzi on principles basi angemtosa Pastor Wright muda mrefu hukohuko kwao Chicago.

..hivi kuna yeyote asiyeamini kwamba ugaidi unachochewa na siasa za nje za USA? ina maana Obama halijui hilo?mbona Mario Cuomo alitoa kauli kama hiyo?

..mimi nilifikiri Obama ataleta fikra mpya ktk siasa za mambo ya nje za marekani. jinsi muda unavyokwenda unagundua kwamba ndiyo walewaleee!!

..kuna kipindi alisema atazungumza na maadui wa USA. aliposikia kwamba Jimmy Carter anakwenda kuonana na Hamas akaanza kumpiga madongo.

..hivi mnategemea mtu anayeshauriwa na Ted Kennedy, Tom Daschel, Susan Rice, Anthony Lake, ataibadilisha Washington in any significant way?

..katika kura 85 kuhusu Iraq amepiga kura mara 84 sawasawa na Hillary Clinton. sasa mabadiliko gani anayoyazungumzia?

Sema wewe bwana maana wengine tukisema tunaambiwa hatuna akili...
 
Halafu hawa watu weusi wananishangaza sana. Eti wamewakomalia kina Clinton na tuhuma za ubaguzi wakati Pat Buchanan wa PMS-NBC aliandika makala ya kibaguzi kweli kweli lakini siwasikii hao kina Clyburn wakiishikia bango hiyo network ambayo inam-support Obama....hehehe...yangu macho

...who cares about useless Buchanan said? hes just mr.irrelevant!
 
..kile kitendo cha Obama kumficha Pastor Wright kwenye basement wakati anatangaza kugombea Uraisi inaonyesha dhahiri kwamba ni SIASA.

..vilevile kitendo cha Obama kumtosa Pastor wake kwasababu amezungumza kwenye press conference pia kinadhihirisha kwamba Obama is doing this for politics. kama Obama angekuwa anachukua uamuzi on principles basi angemtosa Pastor Wright muda mrefu hukohuko kwao Chicago.

..kabla ya hapo team Obama walijaribu kucheza na race card kwa kudai kwamba it was an "attack on the Black church."

..hivi kuna yeyote asiyeamini kwamba ugaidi unachochewa na siasa za nje za USA? ina maana Obama halijui hilo? mbona Mario Cuomo alitoa kauli kama hiyo?

..mimi nilifikiri Obama ataleta fikra mpya ktk siasa za mambo ya nje za marekani. jinsi muda unavyokwenda unagundua kwamba ndiyo walewaleee!!

..kuna kipindi alisema atazungumza na maadui wa USA. aliposikia kwamba Jimmy Carter anakwenda kuonana na Hamas akaanza kumpiga madongo.

..hivi mnategemea mtu anayeshauriwa na Ted Kennedy, Tom Daschel, Susan Rice, Anthony Lake, ataibadilisha Washington in any significant way?

..katika kura 85 kuhusu Iraq amepiga kura mara 84 sawasawa na Hillary Clinton. sasa mabadiliko gani anayoyazungumzia?

...endeleeni kutafuta na mengine yapo mengi tuu!
 
Mkuu samahani mimi huwa sijiiingizi kwenye yanga na simba, mwanzoni nilikuwa ninamuamini Jaluo, lakini juzi amenihakikishia kuwa ni another politician kama kina Clinton, alipojaribu kumkana mtu aliyemfikisha alipo, yaani mkulu wright na the fact kwamba amekuwa akimkana, wakati Wright anasema walikuwa wote ile siku alipotangaza kugombea lakini alimficha basement, that is pathetic!

My conclusion ni kwamba Democratic party, haina tofauti yoyote na chama cha Mtikila, either chama ni kibovu au kionaongozwa na viongozi wabovu au hakina viongozi period, kama kipo kweli, halafu for some very unknown reasons, waa-Afrika tunaonekana kuwakumbatia sana hawa wapuuzi Democrats, ambao hawana muelekeo wala fresh ideas, wamepitwa sana na wakati na belive me kama sio huu uchaguzi nisingewaelewa kabisa kama ninavyowaelewa sasa, Republicans would never let chama chao kikajivuruga namna hii,

Hao superdelegates wa Congress wanashawishiwa na Pelosi, another joke, spika wa bunge lenye 28% approval against 31% approval kwa Joji Kichaka, yaani hata Kichaka anawazidi akili, wakati wao walichaguliwa ili kumnyooosha Kichaka, miaka miwili ya uongozi wao Democrats, kila kitu kimepanda bei mara mbili, Mkuu hizo hela Jaluo anapewa na wanaomchukia Hillary kina Moore, another joke, so far wanachoweza ni kumpitisha Jaluo tu kwenye nomination, lakini hawawezi kumpa urais maana walishindwa kumpa Gore, ni hao hao pia walishindwa kumpa urais Kerry,

Viongozi wa chama chochote cha siasa wenye akili za kuona mbele, by now wasingeruhusu huu mpasuko kufikia ulipo sasa, walitakiwa kuwaunganisha mapema, ili angalau wawe na strong tiketi, matokeo sasa ni Republicans doing enything they could kumsaidia Hillary, na hasa hiii "Operation Chaos" inayoongozwa na mazee Rush, watu laki moja na sitini wa Republican party wali-cross the line na kumpigia kura Hillary, kule Penn state, Hillary alishinda kwa kura laki mbili, kwa hiyo ina maana kati ya hizo kura laki moja na sitini ni za Republicans, sasa kwenye General election itakuwaje?

Makeni kutokuwa na hela sio tatizo, hajawahi kuwa na hela lakini mbona alimshinda bwana hela Romney? Wamarekani wanaenda na a winner, sasa hivi hela zitaanza kumwagika kwa Makeni, kwa sababu watu wengi wameshaanza kukata tamaa na Jaluo, mwanzoni nilikuwa ninazimia na Jaluo, lakini I am sorry next time agombee akiwa Republican sio Democrats, ni chama kibovu kazi kila wakati kuwa on defensive, na kuficha ficha uovu wa viongozi wao, halafu ukijulikana wanahangaika, tizama sasa wameficha uchafu wa Jaluo weee ambao kwanza sio a serious uchafu ambao ungetolewa mwanzoni wala isingefikia hivi, lakini ni kwa sababu ni incompetent kama mtandao, ndio maana hawafai,

Democrat ya kina JFK, sio hiii ya sasa, mkuu wangu unayesema kuwa Jaluo hajawa afected tafuta namba za kuanzia juzi zinasema nini kuhusu kushindana na Makeni, huu uchaguzi umenisaidia one thing ume-expose uozo wa Democrat kuwa ni chama kisichokuwa na muelekeo wala mpangilio!


..nafikiri kuna mtu anaiba password ya FMES kuandika haya mambo,huyu sio FMES tunayemjua for 20 yrs!
 
Susu asante kwa nondo ambazo to some extent hazina rhetorics za wengi....Unajua unayoyaongea ni kweli tupu. Division iliyomo kwenye D party ni kubwa mno. na kila side ya kina Kerry na Clinton inataka ku call shots na huu uchaguzi Dems wakilose, sidhani kama chama kitakuja kuungana in the near future.... Unfortunately Dems walipata divisive candidates, both HRC na BO..ofcourse BO angekuwa Mzungu tusingekuwa tunaongelea nomination anymore...angekuwa anasubiri kuapishwa.

Naamini BO atapata nomination, but reality check ndo hiyo..na kama unajua..in politics its not about who is good all bad..its all about interests....Dems have a lot to learn from Republicans....when it comes to serious business....wako united sana...na kama Makeni amekuwa mkweli from point one kuhusu Iraq..whether you like it or not....hajawahi kubadilika kutokana na siasa...tofauti na dems. huwezi kuwategemea independents hata siku moja..wanavote kutokana na mood...Dems ought to sit back and do their mathematics..siasa za populism hazilipi.

Clinton is past time, halina ubishi hilo..lakini ni nani ambaye ana influence kama yeye, ambaye anaweza kuiunganisha tena D party? Dont say Pelosi please..Ndugu yangu in US ukishalose uchaguzi you are out of business..Gore na Kerry sasa wangekuwa kingmakers...but ndo hivyo..mwache Clinton aondoke na baby boom..muanze kuweka strategies..Itasikitisha sana Dems wakilose huu uchaguzi....Dunia haitawaelewa...Tuombe heri..
 
Haya superdelegate mwingine huyu hapa hii ni kwa ajili ya mchana:
Texas superdelegate John Patrick endorsed Barack Obama today, citing his record of standing up for working families and opposing trade deals that fail to protect American workers. Patrick explained:

Senator Barack Obama has spent a lifetime standing up for American workers, and he will be a crucial voice for us in the White House. Senator Obama chose a career as an organizer on the streets of Chicago, fighting for working families who lost their jobs, specifically those families in neighborhoods devastated by steel plant closings. He has consistently opposed unfair trade deals that fail to offer protection to American workers - like NAFTA. Senator Obama has a real plan to put money back in the pockets of working families by restoring the manufacturing base in America.

Patrick is a Democratic National Committee member, a 31 year member of the United Steelworkers (USW) as well as a Vice President of the Texas AFL/CIO. The endorsement brings the total number of superdelegates to endorse Barack Obama to 249. Barack is now 283 delegates away from securing the Democratic nomination

Joka Kuu, Nyani na Hillary camp naonaleo mtamsema sana Reverend Wright lakini you have to understand Wright does not speak for Obama and never has!!! And Americans wameanza kuamka na kuona upuuzi unaoendelea kwa kujaribu kuleta non issues as if they were issues.
Mi niliwaambia Obama Nation, RELAX, this skinny kid with a funny name came from far and has not made it this far by coincidence.
 
Masanja: mimi sidhani kama Clinton atatupwa even after Obama gets the nomination, in fact I think that Bill will be a great surrogate and campaign for Obama, in fact I am sure Obama atamfagilia na kumpa nafasi kubwa. Also Hillary hawezi kutupwa! I am not worried about that because naona hata superdelegates want to end this and concentrate on the GE.
 
TIME FOR COMMERCIAL BREAK

1205628576.jpg
 
..nafikiri kuna mtu anaiba password ya FMES kuandika haya mambo,huyu sio FMES tunayemjua for 20 yrs!

Hapana mkuu Koba, sijawa kwenye forum for the last 20 years, na hakuna aliyeiba anything, this is me kwamba I am very disappointed na chama cha Democrat, ingawa pia nilifundishwa sana shuleni kule NY nilipokuwa kwenye undergraduate ya political science, lakini sikutegmea kabisa kuwa one day nitakuja kuyaona kwenye reality,

Sina tatizo sana na wagombe a wa Democrats, ingawa nao wote wana matatizo makubwa, lakini nina tatizo kubwa sana ana hiki chama kwa sababu kinachoendelea sasa hivi ni pure insanity, hicho chama kinahitaji marekebisho makubwa sana, ninaaamini kuwa ni Clinton na tamaa ya power ndiye aliyekiharibu alipokuwa rais, hasa pale alipoanza kuzikumbatia baadhi ya sera za Republicans, kama vile Welfare Reforms, sasa kimekuwa chama cha kufanya anything ili kushinda tu,

Mkuu Koba hebu naomba niambie exactly nini msimamo wao on vita vya Iraq?
 
Mkuu Koba hebu naomba niambie exactly nini msimamo wao on vita vya Iraq?

...to withdraw troops period,unajua sizimii sana hawa Repubs wanafikiri Iraqis ni wapuuzi na hawawezi kuongoza nchi yao,Iraqis ni matajiri sana na hawahitaji chochote kutoka hawa neocons ila Bushs hawaishi na hizi spin zao za terrorism kumbe wanataka oil na kudominate the region na wajanja wameshaona ila kwa siasa za US huwezi kusema hivyo maana itakuwa suicide,Iraq(Babylon) ilikuwepo na ina History ya zaidi ya miaka 10000 hata kabla US haijazaliwa ilikuwa Empire..Obama ataondoa majeshi na itakuwa aibu sana kwa Repubs ndio mana wanaona bora Hillary ingawaje naye hawampendi!
 
TIME FOR COMMERCIAL BREAK

1205628576.jpg

...hilo tank sio mchezo na inabidi kushiba kabla ya kulikabili,check mzee mzima alivyomix hii joint na beats zimeshiba kama hilo tank

[media]http://www.youtube.com/watch?v=UYzUWtml8Fc[/media]
 
...hilo tank sio mchezo na inabidi kushiba kabla ya kulikabili,check mzee mzima alivyomix hii joint na beats zimeshiba kama hilo tank

[media]http://www.youtube.com/watch?v=UYzUWtml8Fc[/media]

Obama Hato weza kuondoa majeshi kabla ya muda ulio pangwa...

Suala la Iraq na utajiri wake sio neno Kubwa Hapa...Utajiri wa ardhi yeyote hapa dunia ni Ni uatajiri wa Dunia...Hakuan maana Mtu yeyote anaye paswa kuji nufaisha na mawazo yake Yasio na manufaa kwa viumbe vilivyopo...

Hata kama ataondosha majeshi...Lakini atawajibika na Tabia yeyote mbaya Against Utawala wake...
 
One Preacher says Catholics (the biggests electoral group in US) connived with Nazis to kill the jews and that Hurricane Katrina was the God`s retribution for homosexuals in USA and he endorsed the Republican front runner without any word from the media and politicians. Indeed the preacher was never a victim of the nazis or anything! Here Iam talking J Hagee and Pat Robertson..

Another one says Go damn America and that America is capable of doing anything even of having invented AIDS to kills the Africa Americans (remember this was the `primary victim of this conondrum of white supremacy...and just know he has experienced poverty and injustice of the first degree of African American in Chicago and all over USA)..Here you have a man in the name of Obama who was attending his church....But is now being crucified for not distancing from Mchungaji Wright! Jamani reasonable watu mnataka Obama afanye nini kujua kwamba he doesnt share his belief in the words of Wright?

Ni kitu gani ambacho Wright alikisema ambacho kina uongo? magereza ya USA yamejaa watu gani? na mengine mengi? well Obama as any politicians he is supposed to please different factions. But supporters wa Makeni should know..the test for Obama is way too high.

Hivi kweli wanao mcrucify Obama kwa maneno ya Wright....what makes you think you arent bigots and men and women of double standards? why should Makeni get different standards from the same media? mbona makeni haja-denounce ENDORSEMENT ya Hagee?

At times I understand frustrations za supporters wa Obama....It seems Obama should be an angel who does no wrong! what will happen kila politician akianza kupimwa kwa matendo ya rafiki zake? Au anayoyasema Hagee na Robertson, ni sawa simply because they are whites? Anyway...I think as Obama puts it..he underestimated the odds of being black when he wanted to run for presidency...Surely, this is one of the biggest double standard in US media I have seen..

Anyway the candidacy of Obama rests in the media..they can do anything...maana kuna vitu vingine by human power, you can simply do nothing!
 
Na kama wamerekani wangekuwa that smart kuscrutinize wagombea basi Bush hakustahili kabisa kuwa raisi!!!!
 
kuna statement Rev Wright aliisema ninamuunga mkono mia kwa mia, alisema akimaanisha kwamba mtu alichoandikiwa na Mwenyezi Mungu lazima atakipata tu, akasema iwapo Obama ameandikiwa kuwa raisi wa marekani hakuna pundit wala media itakayoweza kubadili amri hiyo.

nimemcheki wright, huyu jamaa maneno yake yanawachoma hawa jamaa,yanawaingia, ila kutokana na sense of denial ya mambo ambayo serikali yao imeyafanya katika historia baadhi yao yanawachukiza. wao wanapendwa kuambiwa America is Great, civilized society, leader of democracies.lakini fact kama kuwapiga wajapani bomu la nyukilia,mauaji ya wahindi wekundu,mauaji ya watu vietnam, ubaguzi wa rangi na Utumwa, na support isiyozingatia upande juu ya israel, hawataki kuyasikia kabisa
.
 
Susuviri,

..hii race mimi naiangalia kama outsider -- Mtanzania. kwa ujumla sina maslahi nayo.

..ninachokataa mimi ni kuchukuliwa msukule. kama Hillary amekosea nitasema, na kama Obama amekosea nitasema vilevile.

..katika hili suala la Pastor Wright mimi naamini huu ulikuwa mchezo wa siasa. kama siyo siasa kwanini Obama na Wright wafichame kwenye basement wakisali kabla ya kutangaza candidacy yake?

..pia nimemsikiliza Pastor Wright na nina hakika ni mtu mwenye elimu yake. kuna mambo ameyasema ambayo amepotoka. pia kuna mambo mengine ameyasema ni ya kweli isipokuwa ameyawasilisha in an irresponsible way.

..hapa nilipofikia Obama tayari ni President elect of USA. siwezi kuwa kama Andrea Mitchell ambaye kila akitaja jina Obama analengwa machozi. i have already passed that excitement phase. i have gotten used to the speech. namuangalia Obama kwa macho makavu.
 
Susuviri,

..hii race mimi naiangalia kama outsider -- Mtanzania. kwa ujumla sina maslahi nayo.

..ninachokataa mimi ni kuchukuliwa msukule. kama Hillary amekosea nitasema, na kama Obama amekosea nitasema vilevile.

..katika hili suala la Pastor Wright mimi naamini huu ulikuwa mchezo wa siasa. kama siyo siasa kwanini Obama na Wright wafichame kwenye basement wakisali kabla ya kutangaza candidacy yake?

..pia nimemsikiliza Pastor Wright na nina hakika ni mtu mwenye elimu yake. kuna mambo ameyasema ambayo amepotoka. pia kuna mambo mengine ameyasema ni ya kweli isipokuwa ameyawasilisha in an irresponsible way.

..hapa nilipofikia Obama tayari ni President elect of USA. siwezi kuwa kama Andrea Mitchell ambaye kila akitaja jina Obama analengwa machozi. i have already passed that excitement phase. i have gotten used to the speech. namuangalia Obama kwa macho makavu.

You are way ahead of yourself..
Sasa akishindwa uchaguzi utasemaje? Au utaanza kutunga mi conspiracy theory?
 


Anyway the candidacy of Obama rests in the media..they can do anything...maana kuna vitu vingine by human power, you can simply do nothing!

Masanja..Fox News hawataki kuua story ya Rev. Wright, simply because its what they've got night in and night out. Other cable news have started to move forward lakini ukiangalia especially Hannity & Colmes and Hannity America...they keep going at it. Well, I know its their right to do so, lakini pia. Unapoipiga ngoma sana, kuna wakati utafika wachezaji watataka ubadili rythm upige mdundo mwingine kwani watakuwa wamechoka kuucheza ule wa kwanza. I am glad haya mambo ya Rev. Wright yametokea sasa hivi na Obama has time to deal with it na hopefully hata-ingiza mguu mdomoni na kutoa statement kama ile aliyoitoa kule San Francisco, ambayo shame on McCain na Hillary ambao walianza kum label mwenzao (Obama) kama "ELITIST". Swali ni hili hapa. Ni nani amewahi kugombea urais wa Marekani ambaye sio ELITE? Kuna watu wengi wa kawaida kabisa ambao huwa wanagombea lakini majina yao hayafiki popote hata kwenye primaries za vyama vyao. The ones who makes it to the final stage..kwa mfano kwenye Democractic party primaries au GOP party hakuna hata mmoja ambae ni mlalahoi. Hakuna hata mmoja (Edwards, Biden,Dodd, Kucinich, Obama, Clinton, Richardson, etc) na (Ron Paul, McCain, Giulliani, Huckabee, Thompson, and Romney)...hakuna hata mmoja kati ya hawa ambaye anajua gasoline price as of today..unless wasome magazeti au kuangilia news kwenye TV, they don't pump their own gas, they don't go general hospitals..hakuna hata mmoja kati yao anayejua kuwa gallon ya maziwa imepanda bei, na pound ya nyama, yote haya kwa ajili ya mafuta kuwa juu. Hakuna hata mmoja wao anajua pinch ya health care premiums au interest rates za mikopo watu wa chini wanazotozwa. They can talk all the talk..politician way lakini hawa sio wenzetu. Nani wa kumnyooshea kidole mwenzake na kumwita elitist?
 
Back
Top Bottom