US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

nani aliyesema solidly kwamba "atavote" democrats.....ile ni open ended statement! ndio maana nikasema ni assertion ya kile alichosema!! kwa taarifa yako haku-vote McCain kwenye primaries.....ukiendelea kusoma ile report ya pensitoreview utajifunza mengi!!

unajua wewe jamaa unanikumbusha sana Ziro, ile katuni bongo....yaani ni bonge la bwiko!!.
 
Rev,

...Snipes kacheza na uncle sam, naona wamemnyea 3!!
...binti mmoja wa Joji kichaka anasema atavote BO au HRC, kaboooom, kaaaazi ipo!....nitasubiri hizo picha kwa hamu!

NB: nadhani tupo pamoja kwamba hizi ni jokes tu...thanks.

Hiyo yenye nyekundu ni nukuu kutoka kwako. Umeandika statement of fact.....kwamba "anasema" as if she was quoted saying what you said she said. Aliyasema wapi hayo ya kuvote BHO au HRC? Kubali umeboogie hapa. Kama ukiendelea kubishana nitakuacha kama ulivyo....
 
Hiyo yenye nyekundu ni nukuu kutoka kwako. Umeandika statement of fact.....kwamba "anasema" as if she was quoted saying what you said she said. Aliyasema wapi hayo ya kuvote BHO au HRC? Kubali umeboogie hapa. Kama ukiendelea kubishana nitakuacha kama ulivyo....

nikubali nini? hiyo ni interpretation yako, mie naweka "m-stand" kwa kile nilichoandika!! Jenna Bush kasema, "atavote dems come november."
haya, there it is...........kwani unadhani mie nipo hapa kukufurahisha wewe? ala, mbona unajisahau namna hiyo!!?.
 
nikubali nini? hiyo ni interpretation yako, mie naweka "m-stand" kwa kile nilichoandika!! Jenna Bush kasema, "atavote dems come november."
haya, there it is...........kwani unadhani mie nipo hapa kukufurahisha wewe? ala, mbona unajisahau namna hiyo!!?.

Endelea na ujinga wako....
 
tatizo lako unatolea sana 'mimacho' mambo madogo madogo.......fixnuz ishakuharibu!

FOX NEWS kiboko!! Uliona siku ile ya primary walivyokuwa sharp na ku-call ushindi kwa Mama way before PMS-NBC na CNN?.....hadi Terry McAuliffe mwenyewe ilibidi atoe compliments.....FOX NEWS....the best in business...always ahead of the curve...

Halafu Obama atakuwa kwenye kipindi cha Chris Wallace (FOX NEWS SUNDAY) baada ya kukikwepa kwa siku 700 na kitu. Najiuliza kwa nini finally ameamua kwenda.....hmmmmmm....do you know?
 
..naona Democrats wameanza tena kumuita Bill Clinton a racist.

..Rep.James Clayburn ameibuka na kukumbushia zile remarks za Bill Clinton wakati wa kampeni za South Carolina.
 
YNIM: mi siingili ucheshi wenu na Nyani Ngabu lakini we have to conceed a point tusije tukajikuta kwamba tumefanana na Billary. Uliexaggerate hiyo statement ya Jenna, maybe because you read the analysis somewhere else, but Jenna never said she will vote Democratic, she said she is out there 'shopping'. Tusitake kupindisha mambo.
Actually I think Obama will be just fine without Jenna's vote!
Take it easy brother na wikendi njema!
 
..naona Democrats wameanza tena kumuita Bill Clinton a racist.

..Rep.James Clayburn ameibuka na kukumbushia zile remarks za Bill Clinton wakati wa kampeni za South Carolina.

Unamzungumzia Clyburn, nadhani:
The third-ranking Democrat in the House of Representatives and one of the country’s most influential African-American leaders sharply criticized former President Bill Clinton this afternoon for what he called Mr. Clinton’s “bizarre” conduct during the Democratic primary campaign.
Representative James E. Clyburn, an undeclared superdelegate from South Carolina who is the Democratic whip in the House, said that “black people are incensed over all of this,” referring to statements that Mr. Clinton had made in the course of the heated race between his wife, Senator Hillary Rodham Clinton, and Senator Barack Obama.
Mr. Clinton was widely criticized by black leaders after he equated the eventual victory of Mr. Obama in South Carolina in January to that of the Rev. Jesse Jackson in 1988 – a parallel that many took as an attempt to diminish Mr. Obama’s success in the campaign. In a radio interview in Philadelphia on Monday, Mr. Clinton defended his remarks and said the Obama campaign had “played the race card on me” by making an issue of those comments.
In an interview with The New York Times late Thursday, Mr. Clyburn said Mr. Clinton’s conduct in this campaign had caused what might be an irreparable breach between Mr. Clinton and an African-American constituency that once revered him. “When he was going through his impeachment problems, it was the black community that bellied up to the bar,” Mr. Clyburn said. “I think black folks feel strongly that that this is a strange way for President Clinton to show his appreciation.”
Clyburn ni muhimu sana ndani ya chama na kumbuka that the AA ndo waliomfikisha Clinton WH in 1992 and 1995, so any Democratic nominee will need the AA block! Na Clyburn hajazungmzia out of nowhere. Bill aliongea tena pumba over the weekend kama kawa:

Mr. Clyburn was heavily courted by both campaigns before South Carolina’s primary in January. But he stayed neutral, and continues to, vowing that he would not say or do anything that might influence the outcome of the race. He said he remains officially uncommitted as a superdelegate and has no immediate plans to endorse either candidate.
At one point before the South Carolina primary, Mr. Clyburn publicly urged Mr. Clinton to “chill a little bit.”
Asked Thursday whether the former president heeded his advice, Mr. Clyburn said “Yeah, for three or four weeks or so. Or maybe three or four days.”
A Clinton campaign spokesman, Jay Carson, declined to specifically address Mr. Clyburn’s statements.
“Look, President Clinton has an impeccable record on race, civil rights and issues that matter to the African-American community, the strongest of any president in our time,” Mr. Carson said. He added that in making his radio remarks on Monday, the former president was “simply reacting to a deeply offensive accusation that runs counter to principles he’s held and worked for his entire life.”

Unajua remarks za Bill zilikuwa nini? Ngoja nikutafutie....
 
Ok, so our friend Bill alikuwa anafanya interview ya radio WHYY na aliuliwa kuhusu playing the race card akajibu na mwisho kusema:

Clinton told the interviewer that "you have to really go some to play the race card on me." Clinton then lists the reasons why no one should portray him as a racist. He includes the fact that he has an "office in Harlem, and Harlem voted for Hillary, by the way." He goes on to say, "I have 1.4 Million people around the world, mostly people of color... on the world's least expensive AIDS drugs...."

At the very end of the interview, when Bill thinks he is no longer on the line, you can hear him saying, "I don't think I should take any shit from anybody on that, do you?"
 
Susuviri,

..I know the background of all this. actually nimemsikia an AA Rep' toka Florida ambaye alikuwa SC pamoja na Mzee Clinton akielezea exactly what happened.

..Bill Clinton atasema amefanya this and that for ppl of color, na Clayburn atasema ppl of color did this and that for Bill Clinton.

..maswali ya msingi ni haya hapa: is William Jefferson Clinton a racist? or, were the remarks he made in South Carolina racist?
 
Susuviri,

..I know the background of all this. actually nimemsikia an AA Rep' toka Florida ambaye alikuwa SC pamoja na Mzee Clinton akielezea exactly what happened.

..Bill Clinton atasema amefanya this and that for ppl of color, na Clayburn atasema ppl of color did this and that for Bill Clinton.

..maswali ya msingi ni haya hapa: is William Jefferson Clinton a racist? or, were the remarks he made in South Carolina racist?

Joka Kuu: My personal opinion is that Bill Clinton is not racist but a shrewd politician playing from James Carville's book circa 1990s and he thought that he can categorize Obama as the " Black candidate" na ukiangalia that is what Geraldine Ferraro was doing as well. But it backfired.
So NO Bill Clinton is not racist.
Swali lingine: were his remarks racist? NO, the word racist is too strong and a person who is not racist cannot utter words that are racist, that's an oxymoron.
Lakini ukweli ni kwamba remarks za Bill zinaweza kuwa misintrepreted kwa sababu it is the first time Blacks in America see a real chance for a Black to become nominee and maybe even POTUS. Sasa unapomdismiss, you have to be very careful how you do it and keep the issue of race out. Comparing Obama to Jesse Jackson showed very poor tact.
Na ukiangalia Obama ame-insist sana kwamba Bill asilaumiwe and he never meant any disrespect. Problem ni kwamba Bill amekuwa mbishi kukubali kuzungumzia hii issue and he is seeing his legacy among the AAs evaporating and feels jilted and angry, hivyo anazidi kuongea kwa hasira.
 
YNIM: mi siingili ucheshi wenu na Nyani Ngabu lakini we have to conceed a point tusije tukajikuta kwamba tumefanana na Billary. Uliexaggerate hiyo statement ya Jenna, maybe because you read the analysis somewhere else, but Jenna never said she will vote Democratic, she said she is out there 'shopping'. Tusitake kupindisha mambo.
Actually I think Obama will be just fine without Jenna's vote!
Take it easy brother na wikendi njema!

Wewe ni maniac mwenye akili timamu kidogo...
Asante kwa kumweka sawa mwenzio...
 
Susuviri,

..I know the background of all this. actually nimemsikia an AA Rep' toka Florida ambaye alikuwa SC pamoja na Mzee Clinton akielezea exactly what happened.

..Bill Clinton atasema amefanya this and that for ppl of color, na Clayburn atasema ppl of color did this and that for Bill Clinton.

..maswali ya msingi ni haya hapa: is William Jefferson Clinton a racist? or, were the remarks he made in South Carolina racist?

Democrats hawana hoja zaidi ya kuita watu racists. Chochote negative kitakachosemwa na mtu anayempinga Obama...kitaiwa racist na wewe utaitwa racist. Obama hakosolewi. Akishindwa primary wapambe wanalaumu ubaguzi. Kila kitu against Obama ni ubaguzi. Mimi ninayempinga Obama na kumuunga mkono Mama...kwa macho ya wengi nitaitwa Uncle Tom...kaazi kweli kweli!!!
 
Susuviri,

..umesema kwamba Bill Clinton siyo racist. zaidi, umesema remarks zake hazikuwa racists, lakini zinaweza kuwa interpreted as racist.

..i agree with you 100%. hata Mzee Clinton mwenyewe anasema kile ambacho wewe unakisema, that he is not a racist.

..tatizo ni kwanini hawa AA wanaendelea kumbebea bango kwamba ni racist? some of these ppl worked with him, or for him.

..hivi ni tangu lini kumlinganisha an up coming African American politician[Obama] to a legend like Jesse Jackson ikawa ni TUSI au DHARAU?

..mfano mwingine ni networks kunungunika kwamba weupe wa Pennysilvania ni racist kwasababu wamempigia kura Hillary. lakini hakuna anayeona racism ya weusi ambao wanapiga 90% kwa mweusi mwenzao.

..now, with that background nina swali lingine: Is race card being played against Bill Clinton?
 
Susuviri,

..umesema kwamba Bill Clinton siyo racist. zaidi, umesema remarks zake hazikuwa racists, lakini zinaweza kuwa interpreted as racist.

..i agree with you 100%. hata Mzee Clinton mwenyewe anasema kile ambacho wewe unakisema, that he is not a racist.

..tatizo ni kwanini hawa AA wanaendelea kumbebea bango kwamba ni racist? some of these ppl worked with him, or for him.

..hivi ni tangu lini kumlinganisha an up coming African American politician[Obama] to a legend like Jesse Jackson ikawa ni TUSI au DHARAU?

..mfano mwingine ni networks kunungunika kwamba weupe wa Pennysilvania ni racist kwasababu wamempigia kura Hillary. lakini hakuna anayeona racism ya weusi ambao wanapiga 90% kwa mweusi mwenzao.

..now, with that background nina swali lingine: Is race card being played against Bill Clinton?

The race card gets tossed around and used for and against everything so long as they can benefit from it.
 
Susuviri,

..umesema kwamba Bill Clinton siyo racist. zaidi, umesema remarks zake hazikuwa racists, lakini zinaweza kuwa interpreted as racist.

..i agree with you 100%. hata Mzee Clinton mwenyewe anasema kile ambacho wewe unakisema, that he is not a racist.

..tatizo ni kwanini hawa AA wanaendelea kumbebea bango kwamba ni racist? some of these ppl worked with him, or for him.

..hivi ni tangu lini kumlinganisha an up coming African American politician[Obama] to a legend like Jesse Jackson ikawa ni TUSI au DHARAU?

..mfano mwingine ni networks kunungunika kwamba weupe wa Pennysilvania ni racist kwasababu wamempigia kura Hillary. lakini hakuna anayeona racism ya weusi ambao wanapiga 90% kwa mweusi mwenzao.

..now, with that background nina swali lingine: Is race card being played against Bill Clinton?

JokaKuu, we agree on some points hapa lakini I have a few problems with what you have pointed out:
- Kumlinganisha Obama na Jesse Jackson was not misspeak - it was an attempt to show that Obama's win in South Carolina was not a big deal. He only won like Jesse Jackson because of the black vote. Also Jesse Jackson won only South Carolina and then was forced to drop out. So yes, there was a latent connotation that later was even conceeded by Clinton camp, in fact WaPo wrote about this and how irritated the advisors were that Bill decided to strike out on his own. He miscalculated and instead fuelled a lashback. He knew what he was getting into and he made a mistake.

- Networks hazinunguniki that whites are racists it was the Hillary camp who said that there are number of whites in Pennsylvania who will not vote for Obama because he is Black - this was said first by Ed Rendell kama utakumbuka vizuri during the Ohio primary months before Pennsylvania primary. And there is evidence of that as those voters who said that race mattered when voting nearly 70% voted for Clinton and they were from rural areas. (check the exist polls)

- Race card is played by both sides just as sexism is played by both sides. Why, because one side can get away with racism and the other with sexism. Remember when people said that Obama was arrogant and demeaning and sexist when he said "You are likeable enough, Hillary."? Or when Obama camp questioned accuracy of Bosnia sniper fire, Hillary camp said that they are using bullying Rovian tactics?

I don't think that the race card is used against Bill Clinton, I think he assumed that the Blacks are on his side and was not careful what he said and now he realizes that there was room for misintrepretation. I don't think Bill Clinton needs any defending against the race card, he is very good at defending himself. Neither does Obama against sexism, he is just as capable.
 
Susuviri,

..I know the background of all this. actually nimemsikia an AA Rep' toka Florida ambaye alikuwa SC pamoja na Mzee Clinton akielezea exactly what happened.

..Bill Clinton atasema amefanya this and that for ppl of color, na Clayburn atasema ppl of color did this and that for Bill Clinton.

..maswali ya msingi ni haya hapa: is William Jefferson Clinton a racist? or, were the remarks he made in South Carolina racist?

both! words matters....HRC wana-run kampeni kwa ku-spin maneno ya opponents wao, hivyo hapa kuna msumeno mentality!! waache kulialia.
 
both! words matters....HRC wana-run kampeni kwa ku-spin maneno ya opponents wao, hivyo hapa kuna msumeno mentality!! waache kulialia.

Actually nakubali kwamba Bill Clinton analalamika sana kuhusu suala hili lakini Obama waliposema kwamba ABC debate moderators walikuwa unfair alisema Obama should stop whining. Sasa when it comes to whining Clintons are champions! Katika hili hakuna ubishi!
 
Back
Top Bottom