US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Oyaa usimkose anakuja at the top of the hour na atamzungumzia bwa' mdogo...lol

......siangaliagi Lou Dobbs, mara ya mwisho ilikuwa early 2005, his no brainer stand against immigrants, turned me off!!! jamaa ni FISADI, he used the immigaration squabble kujipandisha chati.............hakuna journalism pale, ni opinions za kijinga na mara nyingi anakuwa on the wrong side of tracks and history!!! shame on you Lou Dobbs.
 
......siangaliagi Lou Dobbs, mara ya mwisho ilikuwa early 2005, his no brainer stand against immigrants, turned me off!!! jamaa ni FISADI, he used the immigaration squabble kujipandisha chati.............hakuna journalism pale, ni opinions za kijinga na mara nyingi anakuwa on the wrong side of tracks and history!!! shame on you Lou Dobbs.

Haya basi msubiri jamaa yako wa MSNBC....hata jina lake silikumbuki....kwikwikwiiii.
 
Haya basi msubiri jamaa yako wa MSNBC....hata jina lake silikumbuki....kwikwikwiiii.

sasa hivi ni Hardball(chris matthews then inafuata Countdown(keith oberman), saa tatu inakuja Abrams Report(dan abrams)........Lou Dobbs mnaangalia ninyi wanazi!!.
 
sasa hivi ni Hardball(chris matthews then inafuata Countdown(keith oberman), saa tatu inakuja Abrams Report(dan abrams)........Lou Dobbs mnaangalia ninyi wanazi!!.

lou dobbs is on obama's (vice president's name) Dick !anatafuta umaarufu ! jamaa jinga !
 
Unajua its funny, wiki kadhaa nyuma hapa tulikubaliana(well wengi wetu) kuwa Obama angwekuwa mzungu sasa hivi angekuwa amesha secure nomination lakini kwa sababu ni mweusi basi kutakuwa na vizuizi kibao, ol' boy anavipangua lakini bado tu naysayers wanapiga vijembe.

Where is John Edwards?
 
sasa hivi ni Hardball(chris matthews then inafuata Countdown(keith oberman), saa tatu inakuja Abrams Report(dan abrams)........Lou Dobbs mnaangalia ninyi wanazi!!.

Mimi hilo li-network hata siliangaliagi...kwanza hata kwenye network ratings ni lamwisho kwa sababu ni watu wachache mno (weirdos) wanaoliangalia

Mambo yote Lou Dobbs, Bill O, Hannity and Colmes na Greta Van Susteren
 
Unajua its funny, wiki kadhaa nyuma hapa tulikubaliana(well wengi wetu) kuwa Obama angwekuwa mzungu sasa hivi angekuwa amesha secure nomination lakini kwa sababu ni mweusi basi kutakuwa na vizuizi kibao, ol' boy anavipangua lakini bado tu naysayers wanapiga vijembe.

Where is John Edwards?

Ningependa nitofautiane na wewe. Sidhani kabisa kwamba obama hajapta nomination hadi sasa kwa sababu yeye ni mweusi, ILA naweza nikasema hiyo inatokana na ESTABLISHMENT ya hillary clinton + kampeni chafu walizofanya hadi hivi sasa na still obama is rising ! Ebu chukulia mfano wa mccain, for instance weka position ya mccain angekuwa candidate mweusi na huckabee abaki huckabee, unajua the more huckabee angekuwepo akidhani atashinda watu wangechukulia kwamba hataki mtu mweusi ashinde !

So, hadi hivi hapa obama alipo nadhani ni somethign historical kwamba amempa mama kazi ngumu kiasi kwamba he has become a juggernault !

Edwards sidhani kama alikuwa mwanasiasa ! Atafanya vizuri akiwa volunteer kusaidia jamii maana he was too honest and didnt fit that political field !
 
Mimi hilo li-network hata siliangaliagi...kwanza hata kwenye network ratings ni lamwisho kwa sababu ni watu wachache mno (weirdos) wanaoliangalia

Mambo yote Lou Dobbs, Bill O, Hannity and Colmes na Greta Van Susteren

Lou Dobbs=Masanja Mkandamizaji wa ze comedy
bill o-reilly= sean hannity
greta van susteren= nancy grace

that being said kama nataka kumuangalia lou dobbs naweka ze comedy !
 
Ningependa nitofautiane na wewe. Sidhani kabisa kwamba obama hajapta nomination hadi sasa kwa sababu yeye ni mweusi, ILA naweza nikasema hiyo inatokana na ESTABLISHMENT ya hillary clinton + kampeni chafu walizofanya hadi hivi sasa na still obama is rising ! Ebu chukulia mfano wa mccain, for instance weka position ya mccain angekuwa candidate mweusi na huckabee abaki huckabee, unajua the more huckabee angekuwepo akidhani atashinda watu wangechukulia kwamba hataki mtu mweusi ashinde !

So, hadi hivi hapa obama alipo nadhani ni somethign historical kwamba amempa mama kazi ngumu kiasi kwamba he has become a juggernault !

Edwards sidhani kama alikuwa mwanasiasa ! Atafanya vizuri akiwa volunteer kusaidia jamii maana he was too honest and didnt fit that political field !

Edwards mzushi anauhubiri umaskini akitoka hapo anapata hair cut ya $ 400 ebo!!!

Issue ya race Obama ameikwepa, lakini guess who brought it...? Obama never campaigned as a black candidate lakini yakaanza maneno ya ooh bila LBJ dream ya MLK isingefanikiwa, mara oooh Obama anapigiwa kura sana na weusi lakini hawawasemi watu kama akina AY wanaosema jamaa sio black enough, akawatwanga both kwa weusi na kwa wazungu.
 
Edwards mzushi anauhubiri umaskini akitoka hapo anapata hair cut ya $ 400 ebo!!!

Issue ya race Obama ameikwepa, lakini guess who brought it...? Obama never campaigned as a black candidate lakini yakaanza maneno ya ooh bila LBJ dream ya MLK isingefanikiwa, mara oooh Obama anapigiwa kura sana na weusi lakini hawawasemi watu kama akina AY wanaosema jamaa sio black enough, akawatwanga both kwa weusi na kwa wazungu.

Yeah yeah yeah...wa kulaumiwa ni Mama and I can take the heat on her behalf...so nilaumu mimi Nyani
 
Lou Dobbs=Masanja Mkandamizaji wa ze comedy
bill o-reilly= sean hannity
greta van susteren= nancy grace

that being said kama nataka kumuangalia lou dobbs naweka ze comedy !

kuna mtu kamzalisha nancy grace mapacha!!! watu wengine bwana, kwa kujitakiaga balaa!! that bi**h is a disaster for a peace of mind baby mama!! ni wa kumwogopa kama ukimwi.

NN,
wewe unaangalia hao watu kwa sababu unapenda 'mipasho,' sie wengine tunataka nyuzi kama zilivyo.....na hiyo ndio tofauti yetu!!.

polls closed in MS, kipigo chengine hicho, kama kufa!!! kwikwikwikwi.
 
Lou Dobbs=Masanja Mkandamizaji wa ze comedy
bill o-reilly= sean hannity
greta van susteren= nancy grace

that being said kama nataka kumuangalia lou dobbs naweka ze comedy !

I don't care what you say but Lou is always on point. Foreigners wengi hawampendi kwa sababu wako out of status na wanaona anazungumza ukweli na ukweli huuma.
 
I don't care what you say but Lou is always on point. Foreigners wengi hawampendi kwa sababu wako out of status na wanaona anazungumza ukweli na ukweli huuma.

NBC news reports: A nod for Obama from Magnolia, projected winner in Mississippi.......yes we can!!.
 
kuna mtu kamzalisha nancy grace mapacha!!! watu wengine bwana, kwa kujitakiaga balaa!! that bi**h is a disaster for a peace of mind baby mama!! ni wa kumwogopa kama ukimwi.

NN,
wewe unaangalia hao watu kwa sababu unapenda 'mipasho,' sie wengine tunataka nyuzi kama zilivyo.....na hiyo ndio tofauti yetu!!.

polls closed in MS, kipigo chengine hicho, kama kufa!!! kwikwikwikwi.

Wewe unaangalia MSNBC kwa sababu unapenda udaku na watu wengi hatupendi udaku ndio maana iko chini kwenye ratings.

Halafu unafurahia ushindi uliokuwa foregone conclusion? Meet us in PA....
 
Haya CNN nao naona wameproject jaluo atabeba MS

CNN politics
f379b5f6-5c52-4bab-8d7a-d299ce0fea09.hmedium.jpg
 
Edwards mzushi anauhubiri umaskini akitoka hapo anapata hair cut ya $ 400 ebo!!!

Issue ya race Obama ameikwepa, lakini guess who brought it...? Obama never campaigned as a black candidate lakini yakaanza maneno ya ooh bila LBJ dream ya MLK isingefanikiwa, mara oooh Obama anapigiwa kura sana na weusi lakini hawawasemi watu kama akina AY wanaosema jamaa sio black enough, akawatwanga both kwa weusi na kwa wazungu.

hayo maneno nilisikia, na utadhani hao watu weusi wapo 50% katika kila state ! sehemu nyingine pop. ya watu weusi ni less than 5% !
 
hayo maneno nilisikia, na utadhani hao watu weusi wapo 50% katika kila state ! sehemu nyingine pop. ya watu weusi ni less than 5% !

Wewe Kada bana nenda huko kwingine ukadili na Mwanakijiji na Mwafrika wa Kike. Huku kwa Obama hakukufai nana...aaahh
 
I don't care what you say but Lou is always on point. Foreigners wengi hawampendi kwa sababu wako out of status na wanaona anazungumza ukweli na ukweli huuma.

great ! lakini what i dont like about the guy is NOT HIS IDEAS, but his personality, anaona foreigners ni kama sijui watu gani, waliotoka sijui wapi ! sasa angalia, muulize lou dobbs babu yake mtu wa wapi ??

wengi wao utasikia ireland, canada, na nchi za europe huko ! sasa iweje nae ajikanyagekanyage ? KUMBUKA: YEYE ANACHUKIA FOREIGNERS hata kama una papers, uraia or whatever lakini he just cant put it out there, anajua its going to cost his job !
 
Back
Top Bottom