Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,272
- 138,003
Mfano mzuri wa kitu kinachofanana na monarch ni Cuba! Eti sasa Raul Castro ndio raisi....hivi lini walifanya uchaguzi?
Hillary Clinton sees this race as a fight whilst Barack Obama sees it as an intellectual exercise! Read this stuff!
http://www.politico.com/news/stories/0308/8950.html
..
..kwa upande mwingine nadhani wanaompigia kura Hillary are democrats to the core and will vote for any democrat nominee come november.
Hillary Clinton sees this race as a fight whilst Barack Obama sees it as an intellectual exercise! Read this stuff!
http://www.politico.com/news/stories/0308/8950.html
ukisoma maoni ya watu baada ya hiyo article, utaona "brain backers" won!!!
kuna just and unjust wayz of doing things, Obama kaamua kuchagua just wayz....kwani Spitzer kilichomwangusha si ni huo u-machiavelli wake!! in all of NY spitzer ana handfull of friends kwasababu ka-step into almost everybodies toes. hata hao Clintons, kinachowaponza hivi leo ni hako kamchezo, kwani watu wamechoka!!!.
ni makosa ku-compare politics na game kama football, mara ya mwisho ni lini superbowl champions wamepeleka nchi vitani???? football ni football na politics itabaki kuwa politcs, let's get real!!!
ati fighter!!! kama ingekuwa ni good strategy basi leo hii angekuwa na delegates wengi kuliko Obama........Mahtma Gandi na MLK wali-win agenda zao, je Malcom X and Co waliishia wapi?? its about better reasoning, sophisication and interllectuality at its highest level (something new....alijisemeaga Craig Mark, "Nu flava in ya earz, uuuuuuh!!), mind games bila watu kujua kwamba wanachezewa akili zao. hata researches mbalimbali zinaonyesha pple tends to admire that!!!...........hata true win ktk cold war, ilikuja bila kumwagika damu.
hii ni 2008, wakina clintons bado wanatumia tacts za mwaka '47!!! what happened to creativity?? Mark Penn kwanini analipwa mipesa yote hiyo......sasa ni nani anaye "xerox."??
I still question the validity of obama's message of hope, he talks hope but support abortion, the killing of innocents who also hope to be members of the globe one day!-may be thats why clinton said "Shame on you Obama"
Perhaps you could shade more light on conservatives who admonish abortion but support capital punishment in the same America! What is it if not the first class hypocricy?
Politics bila vijembe inawezekana...Campaigning bila ku mock and belittle your opponent kama ile ya Mrs. Clinton ya "Shame on you Barack Obama" inawezekana.
Why not be like Barack who in many instances has said "I think my opponent is qualify to be the Commander in Chief, but I think I am a better candidate." Don't you think this sound civil???
Watu wengi hapa mnasahau kwamba kila kampeni huwa ni kampeni za mabadiliko. Sijawahi hata siku moja kusikia eti mtu akikampeni na kusema hataleta mabadiliko yoyote yale.
Kitu kingine ambacho wengi wenu hamja-notice...ukiangalia electoral college map...Clinton ana 290 dhidi ya 190 za Obama. Mama kashinda swing states kama Ohio. Of course kashinda Arkansas na kama akibahatika kubeba bendera ya Democrats atachukua ataichukua tena novemba. Hiyo ni guarantee. Alishinda pia Tennessee nyumbani kwa Gore. Sasa kama Mama kishinda hayo majimbo wakati huu wa primary yenye mchuano mkali basi kwa maoni yangu yuko positioned vizuri kushinda tena majimbo hayo novemba. Na ndio maana anajenga hoja bwa mdogo achukue nafasi ya pili tu sasa hivi. Hamtaki?
...spin spin spin,sasa hapo electoral colllege za nini? ili muonekane mnashinda tuu huku reality kila mkilala mkiamka gap ya delegates imeongezeka,mmekwisha nyie with zero chance of getting nomination,karibu obama camp Bill kishajiunga kisirisiri
Masanja,Kitila,YNIM,Koba,Nyani Ngabu,
..Halafu hebu fikiria mtafaruku ambao ungetokea kama Hillary angesema Obama hana judgement ya kuwa the President and C-I-C. Hivi si wangeitwa ma-racicst wakubwa.