Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
hakuna lolote, mie ndio mguu ninao valia, na ni urembo kama ninavyoweza vaa hereni vile...
Vaa pita maeneo ya Tandale, Manzese, Tandika, hata Buguruni na K/koo uone mishe mishe zake.
hakuna lolote, mie ndio mguu ninao valia, na ni urembo kama ninavyoweza vaa hereni vile...
Vaa pita maeneo ya Tandale, Manzese, Tandika, hata Buguruni na K/koo uone mishe mishe zake.
mie najaligi bac luv, wao waseme watakacho mie walaaa.
Kaka acha kutetea ujinga jinsi ulivyo kuja kumake conclusion unaonesha nikiasi gani ulivyo mwanasiasa.Nakufananisha na mwanasiasa kwa sababu kuu mbili.wewe sio mtaalamu wa mambo ya kijamii alafu unantaka kujifanya unajuamambo ya kijamii.Pili wewe hujafanya uchunguzi wa ndani juu ya vikuku na maana yake halisi,waingeleza wanamsemo wao marufu unao sema "no research no right to speak.wewehujafanya reseach juu ya vikuku alafu unajifanya kumake conclusion kuwa vikuku havina maamna nyingine zaidi ya urembo.
Ukweli ni kwamba vikuku vinamaana nyingine chafu zaidi ya urembo .Vikuku vina maana ya mwanamke aliyevaa anafanya mapenzi kwanjia isio halali yaani analiwa ndogo/tigo/mabanda ya uwani/mku......So kama girl frend wako,dadayako au mke wako anatabia ya kuvaa vikuku kama urembo nakushauri umwambie aache mara moja coz one day she is going to get trouble!
Kaka huyu shemeji yako umeona mguu huo? Tulikuwa ufukweni ndo huyu alikuwa ananikamua 70,000 kwa wiki.
Kikuku ni urembo tu, kama unapovaa mkufu shingoni au hereni sikioni. Hivyo kikuku ni urembo tu. Kilikuwepo toka enzi hizoooooo!!
yeah, huwa navaa kutokana na mazingira.Wewe unavaa?
yeah, huwa navaa kutokana na mazingira.
Kaka acha kutetea ujinga jinsi ulivyo kuja kumake conclusion unaonesha nikiasi gani ulivyo mwanasiasa.Nakufananisha na mwanasiasa kwa sababu kuu mbili.wewe sio mtaalamu wa mambo ya kijamii alafu unantaka kujifanya unajuamambo ya kijamii.Pili wewe hujafanya uchunguzi wa ndani juu ya vikuku na maana yake halisi,waingeleza wanamsemo wao marufu unao sema "no research no right to speak.wewehujafanya reseach juu ya vikuku alafu unajifanya kumake conclusion kuwa vikuku havina maamna nyingine zaidi ya urembo.
Ukweli ni kwamba vikuku vinamaana nyingine chafu zaidi ya urembo .Vikuku vina maana ya mwanamke aliyevaa anafanya mapenzi kwanjia isio halali yaani analiwa ndogo/tigo/mabanda ya uwani/mku......So kama girl frend wako,dadayako au mke wako anatabia ya kuvaa vikuku kama urembo nakushauri umwambie aache mara moja coz one day she is going to get trouble!
...loh, mwanamke ana miguu mizuri huyu mashaallah!...
Twaib!
kumbe kishaufu ndio hereni ile ya puani? Loh!! sikujua, katika urembo wote kama mwanamke, hakuna kitu kinachonikera kama huko kuning'iniza kihereni puani na kutoboa sikio zaidi ya mara moja.