Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,485
- 40,502
Kutokana na utandawazi, karibia robo tatu ya warembo kwa nyakati hizi huwa wanavaa shanga kiunoni au ata miguuni; wao wanaita urembo.
Ingawa wao wanavaa wakiamini, huwa zinawapendezesha na pia uwavutia wapenzi wao pale wanapokuwa au wanapohitaji kuwa kwenye mahusiano.
Mara nyingi warembo ninaokutana nao, huwa wana hizo shanga, na tunapokuwa kwenye tendo la ndoa huwa sioni kama zinaongeza chochote, zaidi tu ya kuziona basi.
Siku moja nikaamua kuzifanyia ubunifu; nikiwa nipo kwenye zoezi, nilizikamata hizo za kiunoni na kuzisokota ili zibane kiuno; baada ya hapo nikawa nachochea moto, mara nikaona ushirikiano unaongezeka kwa spidi kubwa, kiuno kikawa kinazungushwa kama feni huku akilalamika; ndipo nilipogundua, ile ndio itakuwa kazi kubwa ya shanga za kiunoni.
Kwa nyie wakuu, huwa mnazitumiaje zile shanga katika kunogesha tendo la ndoa?
Ingawa wao wanavaa wakiamini, huwa zinawapendezesha na pia uwavutia wapenzi wao pale wanapokuwa au wanapohitaji kuwa kwenye mahusiano.
Mara nyingi warembo ninaokutana nao, huwa wana hizo shanga, na tunapokuwa kwenye tendo la ndoa huwa sioni kama zinaongeza chochote, zaidi tu ya kuziona basi.
Siku moja nikaamua kuzifanyia ubunifu; nikiwa nipo kwenye zoezi, nilizikamata hizo za kiunoni na kuzisokota ili zibane kiuno; baada ya hapo nikawa nachochea moto, mara nikaona ushirikiano unaongezeka kwa spidi kubwa, kiuno kikawa kinazungushwa kama feni huku akilalamika; ndipo nilipogundua, ile ndio itakuwa kazi kubwa ya shanga za kiunoni.
Kwa nyie wakuu, huwa mnazitumiaje zile shanga katika kunogesha tendo la ndoa?