Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,821
Vipi heleni? Au kusuka nywele? Hivi leo tutaweza kusema kweli hivyo ni vitu vya wakina mama tuu?
Au tuangalie ndonya ya wamakonde. Hii mbona baada ya muda wake kupita imepotea. Lakini naamini mjanja ukii-market ulaya ambako vijana wanajitoboa kila sehemu,, unaweza kupata market! Na wakianza wao basi na sisi tutawaiga.
Amandla....
Kabisaa hapo nakubaliana na wewe fundi!