Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Kuna baadhi ya wadada (hata wamama) wanapenda kuvaa cheni au kiushanga kwenye mguu au miguu yote miwili. Nimejaribu kuuliza nikaambiwa ni mapambo tu. Baadhi ya watu wanasema ukiona hivyo ujue tigo inaruhusiwa hapo. Wataalamu wa haya mambo naomba mniweke wazi nisijechekwa mwenzenu.